Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,843
- 2,272
Habari nyote
Ninaomba kufahamishwa uzi makini unaojadili tabia za wanyama na maumbile ya dunia na vilivyomo hapa JF. Mimi ninapenda hizi mambo. Hunitoi National Geographic TV, Discovery channel...
Siku hizi nimenogewa na WildEarth Tv, hawa wanarusha video live toka mbugani kule South Africa. Ninatamani na sisi tungefanya hivi hapo Mikumi, Gombe, Serengeti n.k. Hawa SA vimbuga vimechoooka lakini wanavyojua kujitangaza mpaka inafurahisha. Dah! Kwa uzoefu wangu, hawaingii kwenye mbuga za kibongo hata kwa nusu kwa maana ya vilivyomo (uoto, wanyama, landascapes, n.k), sema wametuzidi hapo kwenye kujinadi tu.
Kwa sasa nipo nakula kitu live
Ma-naturalists, ma-ecologists, ma-botanists, ma-zoologists n.k tafadhali tujuzane uzi huo.
Ninaomba kufahamishwa uzi makini unaojadili tabia za wanyama na maumbile ya dunia na vilivyomo hapa JF. Mimi ninapenda hizi mambo. Hunitoi National Geographic TV, Discovery channel...
Siku hizi nimenogewa na WildEarth Tv, hawa wanarusha video live toka mbugani kule South Africa. Ninatamani na sisi tungefanya hivi hapo Mikumi, Gombe, Serengeti n.k. Hawa SA vimbuga vimechoooka lakini wanavyojua kujitangaza mpaka inafurahisha. Dah! Kwa uzoefu wangu, hawaingii kwenye mbuga za kibongo hata kwa nusu kwa maana ya vilivyomo (uoto, wanyama, landascapes, n.k), sema wametuzidi hapo kwenye kujinadi tu.
Kwa sasa nipo nakula kitu live
Ma-naturalists, ma-ecologists, ma-botanists, ma-zoologists n.k tafadhali tujuzane uzi huo.