Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 557
Movie inaaction za kutosha wale wapenzi wa action Muje Huku kuna watalaam wakina Iko uwaisi Andre Koji Yule Alicheza character ya bruce lee kwenye series ya warrior Ah sahm na wengineo
Story
Wanamwita snake Jamaa Kakua kwenye mitaa maisha ni ya kuungaunga anacheza ngumi za mtaani ili asogeze siku moja anatoka kwenye anakutana na bwana kenta huyo bwana anamwambia nahitaji mtu kama wewe jamaa anakataa lakina bwana kenta anamwambia naweza kukutafutia mtu aliyumuua babaako na kuchoma nyumba yenu moto mwamba analegeza msimamo anaingia kwenye kikosi cha bwana kenta jamaa anafanya dili chafu ikiwemo kuuza silaha kinyemela na dili zingine haramu.
Siku moja bwana kenta anambaini Tommy (andre koji) kuwa ni spy toka arashikage clan kumbuka hii ni koo ambayo hata yeye ametoka huku moja ya koo kubwa sana Baasi anampa snake bunduki amuuwe lakini cha ajabu snake anamwokoa wanapambana na kusepa jamaa anamwambia umeokoa maisha yangu kwahiyo utakuwa upande wetu Kumbe jamaa kaingizwa apeleleze Kwenye hio himaya Bwana kenta anamwambia snake katika hiyo kuna jiwe la moto hivyo ukinipatia nami nitakupa muuaji wa babaako hapo mambo yanaanza asee
Naipa rate ya 7/10
Story
Wanamwita snake Jamaa Kakua kwenye mitaa maisha ni ya kuungaunga anacheza ngumi za mtaani ili asogeze siku moja anatoka kwenye anakutana na bwana kenta huyo bwana anamwambia nahitaji mtu kama wewe jamaa anakataa lakina bwana kenta anamwambia naweza kukutafutia mtu aliyumuua babaako na kuchoma nyumba yenu moto mwamba analegeza msimamo anaingia kwenye kikosi cha bwana kenta jamaa anafanya dili chafu ikiwemo kuuza silaha kinyemela na dili zingine haramu.
Siku moja bwana kenta anambaini Tommy (andre koji) kuwa ni spy toka arashikage clan kumbuka hii ni koo ambayo hata yeye ametoka huku moja ya koo kubwa sana Baasi anampa snake bunduki amuuwe lakini cha ajabu snake anamwokoa wanapambana na kusepa jamaa anamwambia umeokoa maisha yangu kwahiyo utakuwa upande wetu Kumbe jamaa kaingizwa apeleleze Kwenye hio himaya Bwana kenta anamwambia snake katika hiyo kuna jiwe la moto hivyo ukinipatia nami nitakupa muuaji wa babaako hapo mambo yanaanza asee
Naipa rate ya 7/10