Nimeshatikisha tikisha nyavu mi ndo Mvp wakakimbia depo ka police wa ccp niliwapigisha kuruta kwata la jkt ninakioaji mimi kushinda tht……. Ebu tumwagike wazee…….
Ilikuwa majira ya saa 3 usiku nipo zangu nyumbani naangalia movie,
Ghafla simu yangu inaita, kucheki hivi, namba ni ngeni,
Nikapokea, Upande wa pili inasikika sauti ya mdada ikiongea,
“ Hallo...
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa movies utagundua jambo hili. Movie au vipande vingi vya sinema vinavyohusu nchi zisizo za kimagharibi utakuta wameweka rangi kama kuna vumbi vumbi😀. Hivi huwa...
huyu jamaaa huwa namkubali sana miondoko yake..
hasa ile ngoma ya PAINKILLER!
anateremka na biti kama hataki.
style yake ya kipekee kabisaaaaa!
big up sana sakordie
RIWAYA: MATEKA
MTUNZI: EMMANUEL PHIRI
NAMBA: 0758 195 890
(KIPANDE CHA KWANZA)
UTANGULIZI
Licha ya baridi kuwa kali kwa sababu ya mvua iliyokuwa ikiendelea kunyesha, lakini bi Nadia Ali Rayan...
Waimbaji wa kwaya hii walikuwa wanaimba nyimbo za Kiswahili.Wengi wa o walikuwa wazungu(kutoka Sweden) na wabongo wachache.Ilikuwa na nyimbo murua sana.
Baadhi ya nyimbo zao ni kama;Roho...
Habarini wana jamvi
Nakumbuka miaka ya 90, kupitia Redio Habari Maalum (RHM) Kuna kwaya moja iliyoitwa "Huru Waimbaji was Sofa" waliimba nyimbo za kusifu zikiwamo "Jina LA Yesu", " ROHO...
Hii ngoma ni club banger, mwendo wa Instrumental kwa HIT song yes producer kafanya poa sana.
Tunda kaonesha atleast yeye ni msanii mkubwa na sipingi ujuzi wake wa kutunga mashahiri (Kamuulizeni...
Hii ndio Official Trailer ya Filamu ya Vuta N'kuvute (Adaptation ya ile novel ya Vuta N'kuvute by Shafi A. Shafi)
Filamu ilikuwa Directed & kuandaliwa Amil Shivji (Kijiweni Production)...
Kipindi cha BLOCK 89 hakipo hewani kwa muda sasa, hii inaashiria nini..?, kimefutwa, kimebadilishwa muda...,
well, kwa mtazamo wangu mimi, BLOCK 89 Ilikuwa lazima ifutwe/kusimamishwa, Why...
Kimsingi kila binadamu anapitia kwenye mood swing kutokana na situation mbali mbali anazopitia na kusababisha awe down and hollow sometimes...sasa katika hali hiyo ya upweke na kuona mlima umekuwa...
intro:
What don't kill me, make me stronger,
Bado najiamini na bado nasonga
What don't kill me, make me stronger,
Bado najiamini na bado nasonga
I'm survivor, i'm survivor, i'm survivor...
verse...
RIWAYA YA KIPELELEZI: ANGAMIZO
MWANDISHI: HALFANI SUDY
SIMU 0674 395733
WHATSAPP 0757 633010
SEHEMU YA KUMI NA NNE
Daniel hakusubiri.
Alichukua lile begi lenye laptop na kutoka nalo nje akiwa...
Haya wadau wiki hii najua wengi wamesafiri kwenda maeneo mbali mbali,,,tuwasaidie wale ambao wapo mikoa ya ugenini kufahamu wapi wanaweza kwenda kupata moja baridi...baadhi ya maeneo ni;
1.New...
Uzi huu wakuu uwe wa kupatiana lyrics za nyimbo mbali mbali ziwe za sasa za zamani.
Ziwe za muziki wa aina yoyote kikubwa lugha ieleweke kwa hadhira legwa.
Mimi naanza na...
Wakuu naomba msaada wa kupata jina la series kali ya kucheki weekend hii. Mimi ni mpenzi wa series za Kijasusi, Lovestory pia ila iwe Kali sana.
Mfano wa Series ambazo tayari nilizitazama na...
♦️Nimefuatilia maudhui ya films za KITURUKI za kihistoria ambazo zinahusisha kwa kiasi kikubwa mapambano ya mapanga nikaona kwa mawazo yangu hazifai kuonyeshwa Tanzania
♦️ Zinaonyesha ukatili wa...
Duniani kuna kazi nyingi sana za mziki ambazo kutokana na culture barriers au kukosa promotion zinashindwa kutoboa but ndio nature ya muziki. Muziki mzuri huwa unakosa promo hivyo kufa kibudu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.