Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Duniani kuna kazi nyingi sana za mziki ambazo kutokana na culture barriers au kukosa promotion zinashindwa kutoboa but ndio nature ya muziki. Muziki mzuri huwa unakosa promo hivyo kufa kibudu na...
1 Reactions
53 Replies
7K Views
True Story. (Simulizi ya kweli yaliyonikuta kwenye maisha yangu) SEHEMU YA KWANZA Mwaka 2001 mimi na familia yangu tulihamia Mkoa wa Mbeya baada ya Mzazi kuhamishiwa kikazi huko, hivyo...
9 Reactions
59 Replies
11K Views
Usione watu wanapita pita mitaani ukadhani wana raha, Usione watu wanasulubika mitaani ukadhani walishapataa, Maisha yanatisha, maisha yanaumiza jamaani, Maisha yanatisha maisha yanaumiza moyoni...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwaka 2006 tarehe kama ya leo ilikuwa ya majonzi saana kwa wanafamilia na wapenzi wa utamaduni wa hip-hop na mziki wake jijini arusha, Tanzania na dunia kwa ujumla. Father nelly au Nelson...
22 Reactions
142 Replies
36K Views
Wadau nasikiliza hii ngoma ya Godzilla inaitwa STAY[emoji119][emoji119] Hii flow sijawahi kuona, Hip Hop ilikuwa imepoteza mtu kweli. Yani hii Stay dah[emoji119][emoji119] R.i.p Zizi.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Tuongelee filamu kidogo.. Inasadikika kuwa baadhi ya movies (Filamu) ukitazama zinaweza kukufundisha ujuzi au masuala ambayo hukuwahi kuyafahamu kwa urahisi kabisa. Mfano movies zinazohusu...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Jela sio sehemu nzuri tujirekebishe.Tusifanye utani na Jela.Hongereni wote mliotoka jela. cc: Nyani Ngabu Simba bujibuji pasco
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Kill the boredom 1. Money Heist Season 1 - 4 2. Ozark Season 1- 3 3. Sex Education Season 1 – 2 4. Power Season 1- 6 5. The Mentalist Season 1 - 7 6. Altered Carbon Season 1 - 2 7. A Million...
10 Reactions
36 Replies
22K Views
Mtunzi: Iddi Makengo BABA JOAN; MIMI NA MWANANGU JUU YA KABURI LA MKE WANGU!—SEHEMU YA KWANZA “Baba kwani na Mimi ni mchawi kama Mama?” Joan aliniuliza tena, wakati huo tulikua tunaweka mchanga...
4 Reactions
3 Replies
7K Views
Naenda kwenye mada! Nimechukua namba ya mhadhiri wa chuo cha NIT asubuhi hii hapa Big Brother kwa kuona nasikiliza hili goma. Aisee 'mademu' wanadata hatari, hii ni history na sitosahau...
5 Reactions
60 Replies
3K Views
Wasambaa wana ngoma yao moja inayofahamika kama Mdumange ambayo huwa inachezwa taratibu huku maungo yakitikishwa na wachezaji walio katika umbo la duara, wakiwazunguka wapigaji vyombo kama vile...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Tafadhari shufu kichwa cha habari hapo juu Mpaka Sasa Haijatokea Bandi Yoyote Kufunika Video ya "Mapenzi Kitu Gani" Ngwasuma Miaka ya 2007 huko Video haijapata mpinzani mpk leo,, Full...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanaume tumeumbiwa huu ulimwengu. Movement na maisha ya sasa yamefanya wanaume kuonekana watu wa chini sana. Wanaume tusimame. Lakini najua hatuhitaji nguvu au movement kama za wenzetu ili...
8 Reactions
63 Replies
9K Views
Trailer no. 1 imetoka leo. Hatimaye baada ya miaka 13 ya uvumilivu kitu kitarudi tena kwenye big screen mwaka huu. Lakini itaweza kukata kiu yetu na kufanya vizuri sokoni kama ilivyo fanikiwa...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
kuna kampuni nyingi lakini zile maarufu zaidi zinazopendwa na zinazotoa filamu kali kama hizi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] [emoji117]PARAMOUNT PICTURES...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Just the other day, the other day I was talking to the weather man About today oh oh oh And all, all he could say Was no one knows tomorrow See I can read the weather child I can say maybe the...
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Weka bando...chagua mzigo unaoutaka then ushushe.... Ukitaka kunipa ya vocha unakaribishwa pia...ili niendelee kuwatafutia vitu vitamu zaidi.... http://103.222.20.150/ftpdata/Movies/Hollywood/2022/
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Bila shaka umeshawahi kusikia mstari fulani kwenye wimbo fulani wa miondoko ya Hip hop ambao ukiutafakari unakua hauna maana au hauusiani kabisa na maudhui ya wimbo husika. Mimi nimewahi kukutana...
20 Reactions
258 Replies
58K Views
Hello, Naomba tusaidiane kujuzana ni miziki gani ya kibongo mizuri imetoka kwa kipindi hiki kuanzia Januari had Mei. Nikipata hata 30 itakuwa vizuri. NB: Sihitaji nyimbo za Dini with all due...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Back
Top Bottom