Duniani kuna kazi nyingi sana za mziki ambazo kutokana na culture barriers au kukosa promotion zinashindwa kutoboa but ndio nature ya muziki. Muziki mzuri huwa unakosa promo hivyo kufa kibudu na...
True Story. (Simulizi ya kweli yaliyonikuta kwenye maisha yangu)
SEHEMU YA KWANZA
Mwaka 2001 mimi na familia yangu tulihamia Mkoa wa Mbeya baada ya Mzazi kuhamishiwa kikazi huko, hivyo...
Usione watu wanapita pita mitaani ukadhani wana raha,
Usione watu wanasulubika mitaani ukadhani walishapataa,
Maisha yanatisha, maisha yanaumiza jamaani,
Maisha yanatisha maisha yanaumiza moyoni...
Mwaka 2006 tarehe kama ya leo ilikuwa ya majonzi saana kwa wanafamilia na wapenzi wa utamaduni wa hip-hop na mziki wake jijini arusha, Tanzania na dunia kwa ujumla.
Father nelly au Nelson...
Wadau nasikiliza hii ngoma ya Godzilla inaitwa STAY[emoji119][emoji119]
Hii flow sijawahi kuona, Hip Hop ilikuwa imepoteza mtu kweli. Yani hii Stay dah[emoji119][emoji119]
R.i.p Zizi.
Tuongelee filamu kidogo..
Inasadikika kuwa baadhi ya movies (Filamu) ukitazama zinaweza kukufundisha ujuzi au masuala ambayo hukuwahi kuyafahamu kwa urahisi kabisa.
Mfano movies zinazohusu...
Kill the boredom
1. Money Heist Season 1 - 4
2. Ozark Season 1- 3
3. Sex Education Season 1 – 2
4. Power Season 1- 6
5. The Mentalist Season 1 - 7
6. Altered Carbon Season 1 - 2
7. A Million...
Mtunzi: Iddi Makengo
BABA JOAN; MIMI NA MWANANGU JUU YA KABURI LA MKE WANGU!—SEHEMU YA KWANZA
“Baba kwani na Mimi ni mchawi kama Mama?” Joan aliniuliza tena, wakati huo tulikua tunaweka mchanga...
Naenda kwenye mada! Nimechukua namba ya mhadhiri wa chuo cha NIT asubuhi hii hapa Big Brother kwa kuona nasikiliza hili goma.
Aisee 'mademu' wanadata hatari, hii ni history na sitosahau...
Wasambaa wana ngoma yao moja inayofahamika kama Mdumange ambayo huwa inachezwa taratibu huku maungo yakitikishwa na wachezaji walio katika umbo la duara, wakiwazunguka wapigaji vyombo kama vile...
Tafadhari shufu kichwa cha habari hapo juu
Mpaka Sasa Haijatokea Bandi Yoyote Kufunika Video ya "Mapenzi Kitu Gani" Ngwasuma Miaka ya 2007 huko
Video haijapata mpinzani mpk leo,,
Full...
Wanaume tumeumbiwa huu ulimwengu.
Movement na maisha ya sasa yamefanya wanaume kuonekana watu wa chini sana.
Wanaume tusimame.
Lakini najua hatuhitaji nguvu au movement kama za wenzetu ili...
Trailer no. 1 imetoka leo. Hatimaye baada ya miaka 13 ya uvumilivu kitu kitarudi tena kwenye big screen mwaka huu.
Lakini itaweza kukata kiu yetu na kufanya vizuri sokoni kama ilivyo fanikiwa...
kuna kampuni nyingi lakini zile maarufu zaidi zinazopendwa na zinazotoa filamu kali kama hizi
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji117]PARAMOUNT PICTURES...
Just the other day, the other day
I was talking to the weather man
About today oh oh oh
And all, all he could say
Was no one knows tomorrow
See I can read the weather child
I can say maybe the...
Bila shaka umeshawahi kusikia mstari fulani kwenye wimbo fulani wa miondoko ya Hip hop ambao ukiutafakari unakua hauna maana au hauusiani kabisa na maudhui ya wimbo husika.
Mimi nimewahi kukutana...
Hello,
Naomba tusaidiane kujuzana ni miziki gani ya kibongo mizuri imetoka kwa kipindi hiki kuanzia Januari had Mei. Nikipata hata 30 itakuwa vizuri.
NB: Sihitaji nyimbo za Dini with all due...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.