Kuna tuhuma imesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii kuwa azam tv kupitia kipindi chao cha Toonami walirusha katuni yenye maudhui ya hovyo.
Azam TV wametoa utetezi kuwa sio ukweli, na ni...
Baada ya kuwa kimya kwenye sekta hii ya uandishi leo naangusha wino wangu kuwapa simulizi. Huku nikiwa na machungu ya kifo cha muandishi wa zamani wa masimulizi ya kurudi kwa James akeke basi...
Hiki kipindi kinafurahisha na kuburudisha. Kinachonifuarahisha ni namna wadada wanavyochagua wanaume kwa sifa za kipuuzi kama Urefu, mara rangi ya ngozi na kadhalika.
Wadada wanataja sifa fulani...
Habari wakuu..
Hapa bongo kumeibuka kitu kinachoitwa EP ,mpaka Sasa naona neno album limeshaanza kupoteana kabisa kwenye tasnia ya mziki ,kila msanii anajificha kwenye EP ,mara EP ya nyimbo...
Kwa kiasi kikubwa kwenye mechi za hivi karibuni Djigui Diarra ameanza kutoa ushuhuda wa sifa alizopewa wakati wa usajili wake. Screen protector, mdaka mishale, mdaka mabomu na na sifa zote niliona...
Hawapigi tena track redioni,
Na hata kwenye TV haunioni,
Na jina haliendi chini,
Najua unashangaa hata mimi sijui kwanini,
Je ungenipenda Kama nisingekuwa Staa!?
Kwasababu sio handsome wanasema...
JUZI nilikuwa nikiangalia mahojiano katika stesheni moja ya televisheni ya lugha ya Kifaransa. Aliyekuwa akihojiwa alikuwa Youssou NDour, mwimbaji maarufu wa Senegal aliyetangaza kwenye...
Kazi ya Mzungu
1
DAVID NGOCHO SAMSON
Miaka miwili iliyokuwa imepita, Masuke aliamua kuondoka kijijini kwao Malonje na kuingia jijini kutafuta maisha kama ilivyo kuwa desturi ya vijana wengi...
Kwanza niseme mimi ni Simba lilia ila hapa nitaongea ukweli
1. Mo Dewj
Huyu bwana tunamshukuru sana kwa sababu tangu alipoichukua team kwa miaka minne mfululizo tumekuwa mabingwa na tumekuwa...
Nimeangalia video zake kadhaa, mfano Daraja la Kijazi-Ubungo, Eco-Village Kigamboni, Makumbusho n.k.
Afanyie kazi haya;
1. Anachapia kiingereza(ajifunze lugha hiyo) utadhani ni Watanzania pekee...
Wanasimba wenzangu, hivi karibuni nimesikia tetesi (ingawa hazijavuma Sana ) kwamba Simba inamuwinda Papaa Ibenge, nasikia hana furaha na maisha ya Berkane,
Wazee wa za ndaaani embu tujuzane hapa
See the video at Niamini ft. Alikiba - Hamadai - Lyrics & Music Video
"Hamadai" - Song Lyrics
eyyoooo
oh beby mwezi hauishi takuvisha pete
niaamiiini
vicheche sina mpango nao nimeacha mapepe...
Nimeshatikisha tikisha nyavu mi ndo Mvp wakakimbia depo ka police wa ccp niliwapigisha kuruta kwata la jkt ninakioaji mimi kushinda tht……. Ebu tumwagike wazee…….
Ilikuwa majira ya saa 3 usiku nipo zangu nyumbani naangalia movie,
Ghafla simu yangu inaita, kucheki hivi, namba ni ngeni,
Nikapokea, Upande wa pili inasikika sauti ya mdada ikiongea,
“ Hallo...
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa movies utagundua jambo hili. Movie au vipande vingi vya sinema vinavyohusu nchi zisizo za kimagharibi utakuta wameweka rangi kama kuna vumbi vumbi😀. Hivi huwa...
huyu jamaaa huwa namkubali sana miondoko yake..
hasa ile ngoma ya PAINKILLER!
anateremka na biti kama hataki.
style yake ya kipekee kabisaaaaa!
big up sana sakordie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.