Miaka ya 2005 mpaka 2013 redio ambayo nilikuwa navutiwa nayo ilikuwa ni Radio Free Africa, nilivutiwa sana na Watangazaji wazuri waliokuwa na weredi mkubwa moja vipindi hivyo Ni pamoja na ASUBUHI...
Kikundi hiki kina miaka mingi sana katika sanaa. Mpaka leo mwanaume hajawahi vaa magauni au nguo za ajabu ajabu.
Wamekua katika mazingira halisi kabisa na bado kazi zao hazichoshi kutazama...
Habari za wakati huu wana jamvi!!! Ni siku tulivu kabisa ya mapumziko!! Leo nilikua nasikiliza kibao nnachokipenda zaidi kutoka kwa Mwanamuziki nnayemkubali sana katika Bara hili. Binafsi kibao...
Ah
Nilipanda kwenye jukwaa, watu walinishangaa
Unadhifu wa meli haukufanana na nilivyovaa
Kabla sijatoa salamu, walipoteza hamu
Ya kuburudika wengine wakaanza kusambaa
Nilikuwa na nywele nyingi...
ISHI HUMO...
Focus kwenye jambo unalolipenda zaidi kuliko lile unalolijua!!?...
Unaweza kuwa na maswali mengi sana juu ya kauli iliyotajwa hapo juu. Usiwe na shaka kwani majibu ya maswali yako...
Kampuni ya kuonyesha Filamu ya Netflix imetajwa kwa awamu ya pili kuachisha kazi takriban wafanyakazi 300 kama namna ya kudhibiti gharama za uendeshaji. Mnamo mwezi Mei kampuni hiyo ilipunguza...
Rais wa awamu ya tatu Hayati Benjamini Willliam Mkapa aliwahi kusema, ukitaka kumficha mtanzania kitu chochote mfiche kwa njia ya maandishi. Sisi binafsi tunaungana na kauli hii kwa asilimia 100...
Haki zote zimehifadhiwa Ni marufuku kucopy, kunakili, kuhariri wala kutumia sehemu ya kisa hiki popote bila ridhaa ya mwandishi.
Tabaruku kwa
"kila anayeamini siku mpya ni Zawadi.
Shukrani...
Mi siyo mpenzi wa Hip hop lakini kwa bahati jana nimemsikia Dizasta Vina.
Leo nipo spotfy naunganisha ngoma zake tu.
Jamaa anajua sana. Anajua kuandika.
Inaonekana anafeel kabisa...
Muasisi wa kipindi hiki huko radio free afrika,alikipangilia vizuri kiasi kwamba sisi wahenga ikifika alhamis tulikuwa hatulali mpaka saa7 usiku.
Zilizopendwa za kibongo zilipigwa toka saa4 mpaka...
kuna promoter wa muziki ana mtafuta please anae jua details zake afunguke hapa.
anyways: huyu kwenye hii video sio bi zuhura shaabani, huyu anaitwa bi samra alifanya cover ya...
Hawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.
Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii...
Mwana labda vipindi kama ICU\ SHILAWADU unaweza mchukilia poa Kwissa(kamanda mzee mkavu) kuwa si lolote ni mbea tu wa mjini
Ila ukweli utabaki kuwa jamaa ni mwanzilishi wa vipindi vingi vikubwa...
Wakuu ndio nimeanza kuuza movie online natoa ofa mpak mwezi wa saba nitakua natuma movie bure kabisa iwe imetafsiriwa au haijatafsiriwa link nakutumia pm nikiweka hapa mods wanafuta uzi wangu...
Kuna tamthilia 2 ivi huwa nazikubali sana isivyo bahati siku pataga wasaa wa kuzimalizia na kuzifuatilia coz nilikuwa na muda finyuu sanaa alafu ilikuwa ni kitambo sanaa
Sasa ivi i wiah nizione...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.