Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 570
- 1,229
Miaka ya 2005 mpaka 2013 redio ambayo nilikuwa navutiwa nayo ilikuwa ni Radio Free Africa, nilivutiwa sana na Watangazaji wazuri waliokuwa na weredi mkubwa moja vipindi hivyo Ni pamoja na ASUBUHI NA VODACOM Jembe FREDDY FIDELIS MASAWE aliongoza hicho kipindi R.I.P pia kulikwa kipindi Cha Bonanza sehemu ya Kwanza alikuwepo Asia Mohamed na GLORY ROBINSON MTOTO WA MAMA SABUNI.
Tukumbushane wengine jamani na wako wapi mfano mtoto wa mama sabuni Yuko wapi?
Tukumbushane wengine jamani na wako wapi mfano mtoto wa mama sabuni Yuko wapi?