Hawa jamaa ni amsha, ni kwere, ubunifu wa Hali ya juu, sifurahii camera wanayotumia Ila action zao ni za kiwango cha standard gauge.
Kitu Kingine kizuri kwao, ni kuwa hawatumii sauti , na hii...
Mwana labda vipindi kama ICU\ SHILAWADU unaweza mchukilia poa Kwissa(kamanda mzee mkavu) kuwa si lolote ni mbea tu wa mjini
Ila ukweli utabaki kuwa jamaa ni mwanzilishi wa vipindi vingi vikubwa...
Wakuu ndio nimeanza kuuza movie online natoa ofa mpak mwezi wa saba nitakua natuma movie bure kabisa iwe imetafsiriwa au haijatafsiriwa link nakutumia pm nikiweka hapa mods wanafuta uzi wangu...
Kuna tamthilia 2 ivi huwa nazikubali sana isivyo bahati siku pataga wasaa wa kuzimalizia na kuzifuatilia coz nilikuwa na muda finyuu sanaa alafu ilikuwa ni kitambo sanaa
Sasa ivi i wiah nizione...
Nyota wa Sinema za Bongo, mjasiriamali na mwanamitindo anayepanda kwa kasi nchini, Jacqueline Wolper 'amevunja kibubu' kwa kumnunulia baba wa mtoto wake, Richi Mitindo zawadi ya cheni mbili, pete...
"1001 Movies You Must See Before You Die"
1. A Trip to the Moon (1902)
2. The Great Train Robbery (1903)
3. The Birth of a Nation (1915)
4. Les Vampires (1915)
5. Intolerance...
RIWAYA: Fedha Au Risasi
MTUNZI: Emmanuel Phiri
NAMBA: 0758 195 890
SEHEMU YA 01
Aliamshwa toka usingizini kwa teke kali la mbavuni, akakagumia kwa maumivu makali yaliyosambaa mwili mzima kama...
What Woman Sir? This is one Here is a Whore.
Kwa wapenzi wa The Boondocks mnatukuwa mnaelewa na ku enjoy hii scene ya Slickback oops 'the pimp named slickback".
Huyu jamaa alinifurahisha sana...
Hawa wote Wana asili ya uzungu uzungu, Kila mmoja alitengeneza hits nyingi, Ila pfunk alikuwa akisaidiwa na bizman kwa Sana , Sasa he Nani Alikuwa Mkali zaidi, nimesahau track nyingine lakini hizi...
Wakuu habari, nauliza kwa yeyote anaejua ile Jingo inayopigwa kila jpili kwenye kipindi cha Asian flava cha Radio Free Africa ni ya wimbo gani wa kihindi. Nikipata na jina la msanii na muvi...
Sehemu ya 01.
Nataka nicheze mpira, niwe na mafanikio makubwa, kama yule aliyekuwa anachezea Brazil ambaye uliniambia sana kuhusu yeye!” alisikika kijana mmoja akimwambia mwanaume aliyekuwa...
Hili suala linazid kukua kila siku movies mbaya zinaongezeka kwa kasi kubwa sana, Movie nyingi siku hizi zina agenda za ajabu hadi unashangaa hivi waliwaza nini kutengeneza huu upuuzi, hapo chini...
MPELELEZI TOKA KUZIMU
UTANGULIZI
Poaba Wilabo, ni mfanyakazi kwenye taasisi nyeti ya upelelezi nchini inayoitwa Self Investigation Unit au kwa kifupi SIU akiwa ni shushu anayetegemewa sana...
Kuna vijana humu majumbani kwenu mna viwanja vya kufagia halafu Bado mnashindia kutukana watu humu Jf,
Sisi wengine tuna Backyard ina garden majani na maua tutafagia wapi sasa..?
MWANZO
Hebu jaribu kuwaza, upo ofisini kwako. Unapata taarifa kuwa mke wako kipenzi amepata ajali ya gari. Walioshuhudia wanakwambia watu watatu wamekufa hapo hapo na mke wako amepakiwa katika...
Woudaaa
Junior Chalii, maisha niliochezea yalikua ni balaa. Hapa town yalikua ni balaa
Nilijifanya mkora kipindi nipo skuli. Wazazi na waalim nkawaletea kiburi. Arusha Sec ndo shule nilioskul...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.