Hii sio pure amapiano... Ina mixture ya genre nyingi sana humo....Amapiano zinaniuzi sijui kwanini. Afadhali zile za wenyewe watu wa Jobegi.
Nimesikiliza kwenye soundbar. No issueMwanangu km una "home theater" liweke hili goma, utanishukuru baadae 🤗
Siku mkalie kitako umsikilize neno by neno ndo utamuelewa!Nadhani mimi sikio langu halijapata kumuelewa huyu bwana mdogo,namuweka katika kundi la wasanii wanaotiatia huruma na kulalama/kulialia katika mashairi yao na sauti zao(Spac,pnc,tundaman,& marioo n.k)!!SIFAGILII WATU WA KUTIATIA HURUMA & KULALAMA HOVYO.