Wakuu kwema? Poleni na majukumu.
Nimetafuta sana Lyrics ya ngoma ya Marehemu Godzilla.
Ngoma inaitwa Get off my way.
Kama kuna mdau anayo Lyrics plz naomba aitume hapa.
forgive me
Kati ya filamu Bora za mwaka huu basi filamu ya PREY ipo IPO katika chart za juu haswa hii chuma IPO Chini ya kampuni ya 20 Century
Director wa hii movie ni Dan Trachtenberg na Story ya movie...
Dc Comics na Marvel ni washindani wakubwa katika vibonzo au comics lakini pia katika kutengeneza Filamu na hata vikaragosi au cartolns pia.
MARVEL wamewaacha mbali DC katika filamu hasa katika...
Hii ngoma hapa mmiliki wake ni artificial robot aliyekuwa signed na record label kubwa.
It is all AI naona ufake umeingilia mziki.
Soon tutaona artificial movies
Nyimbo za Singeli ziliibuka miaka ya 2013 na msanii mkongwe Dogo Niga Simela kutoka mburahati akivuma na kupendwa na wengi wanaseme Niga ndio muasisi wa Singeli kipindi hicho Singeli ilipendwa mno...
Gereza la Kifo
Mtunzi - HAMISI KIBARI
UTANGULIZI
Hamisi Hussein Kibari ni mtunzi wa riwaya na mashairi, mwandishi mkongwe wa habari nchini na mtengeneza filamu. Kwa kipindi cha takribani miaka...
RIWAYA; MZIGO
MTUNZI; AHMAD MNIACHI
SEHEMU YA KWANZA
Niliwasili Dar es salaam saa tisa na nusu alasiri,
ilikuwa ni mapema zaidi kuliko nilivyotarajia. Mvua
ambayo ilinyesha masaa kadhaa...
Kwanza niwape pongezi watani zetu kwa kuendelea kupata vijambo vya kutusema na kitunanga,hakika tangu siku ile ya mwananchi tumekuwa katika wakati mgumu sana mpaka siku ya kipigo cha jana katika...
Habari.
Kuna series ambazo ni ngumu kuzielewa unaweza kumaliza hadi season moja hata zaidi ila uelewi kabisa nini kinachozungumzwa/ lengo la season/movie husika.
Hivyo basi kupitia huu uzi...
Nimejitahidi kutafuta sio Google, you tube na baadhi ya sites ambazo ziliunganishwa na links za kuupaata huo wimbo kama humu jf niliona links, cha ajabu nikiingiaa nakuta blank page, naitafuta...
Kwa wale wapenzi WA series, kuna series mpya imetoka Kwa sasa ina episodes 2 Tu Ila inaonekana kuwa Moto Sana inaitwa THE ENDGAME.
Bado hatujajua hasa kiini cha matukio haya lakini hii ni sehemu...
Ni nyimbo gani ya kibongo ambayo kwa sasa tunaweza kuishindanisha na Buga ya kizz Daniel katika kipindi hiki ambacho Buga imetoka maana naona wabongo wengi wanalalamika kuwa hii ngoma inapendelewa...
Na Bishop Hiluka
(Mwandishi wa stori za kusisimua zilizowahi kuchapishwa hapa JF za Kizungumkuti!; Laiti Ningejua!; Hekaheka!; Hadi Lini! na nyinginezo)
0685 666964
SAA 1:35 asubuhi, Samuel...
Maoni na kura yako iwe kwa vigezo hivi:
Ni bila kuangalia
_AINA YA MUZIKI
_UJUMBE
_MSANII ALIYEIMBA
_HADHIRA ILIYOKUSUDIWA
_UKUBWA WA MWANAMUZIKI
_MUDA, MWAKA, IDADI YA _MATAMASHA, UKUBWA WA...
Simulizi : MIKONONI MWA NUNDA
Mwandishi : BEN R. MTOBWA
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
UKEKE Maulana alikuwa mzee ambaye siku zote alipingana na uzee, mzee ambaye hakukubali...
JICHO LA SANAAA
MATAA HEIST
Based on true event
"Wakati adui anahitaji nafasi moja katika kutekeleza mipango yake ya kidhalimu, vyombo vya usalama na ulinzi vinahitaji kila nafasi, kila fursa...
Jifunze sanaa ya kuishi kutoka Sri Sri Ravi Shankar katika tukio hili la siku moja BILA MALIPO.
Agosti 25, katika Julius Nyerere International Convention Centre.
Usikose fursa hii nzuri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.