Nahitaji konekisheni ya wasanii

Nahitaji konekisheni ya wasanii

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Poleni kwa majukumu wakuu wangu, ninahitaji msaada wa kuunganishwa na wasanii wa aina zote.

Lengo kuu ni kujaribu kuona kama tunaweza kufanya kazi pamoja. Mimi ni kijana ninayepambana na maisha, nina eneo langu la biashara linalohitaji promotion, hivyo nawahitaji tushikane mikono kujikwamua.

Hali yangu ya kiuchumi bado ipo chini, kwa hiyo nahitaji ushirikiano wa kidugu zaidi.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa yeyote mwenye msaada wa aina yoyote ile, hata wale wenye ushauri tu.
 
Mkono mtupu haulambwi,
Huwa tunawapa Hela Tu na sio mambo ya KUSAIDIANA.
 
Mkono mtupu haulambwi,
Huwa tunawapa Hela Tu na sio mambo ya KUSAIDIANA.
Nimemwambia anakaza kichwa, vijana wapambanaji wapo maelfu kwa mamia, kwanini ushikwe mkono wewe/unaleta nini mezan?

That’s how world works watu hawaangalii kama unatia huruma au unataka mshikamano sijui
 
Nimemwambia anakaza kichwa, vijana wapambanaji wapo maelfu kwa mamia, kwanini ushikwe mkono wewe/unaleta nini mezan?

That’s how world works watu hawaangalii kama unatia huruma au unataka mshikamano sijui
Mimi nimemuelewa mtoa mada.

Acheni zenu hizo.

Mtu akitaka kushirikiana na watu walete maendeleo.mnataka kumpiga deal.

Yaone kwanza
 
Mimi nimemuelewa mtoa mada.

Acheni zenu hizo.

Mtu akitaka kushirikiana na watu walete maendeleo.mnataka kumpiga deal.

Yaone kwanza
Sasa nitake kumpiga deal mimi ndio ambassador wake au, besides wewe si ndio unajiita msanii haya mfanyie promo utangaze biashara yake mlete...eti maendeleo 😆
 
Sasa nitake kumpiga deal mimi ndio ambassador wake au, besides wewe si ndio unajiita msanii haya mfanyie promo utangaze biashara yake mlete...eti maendeleo 😆
Nimevuruga deal🤣
 
shika simu yako then bonyeza alama ya nyota kwa sekunde 13 utakua umempigia AliKiba
 
Back
Top Bottom