Michael Jackson

barcelonista

Senior Member
Apr 26, 2021
158
146
Ngoma gani ilikufanya useme Michael Jackson ni moja kati Msanii bora kuwahi kutokea.




Mimi---Thriller🙌🙌🙌


Vipi kuhusu ww mdau.

#forgive Me

images (1).jpeg
 
Stranger in Moscow

Black Or White

The way you make me feel

Heal the World

Man in the Mirror

Who is it (Hapa aliimba 😂)

Don't stop till get enough


Do you remember the time

Thriller

Billie Jean.


Sema zikavuja stori mitaani, wengine wanadahi yupo mahali anaishi.Mara wengine wanasema Wacko Jacko Original alikufa kitambo, ila yule wa 2009 ni Clone yake.

Madahi ya Clone kama yanavyosogezwa kwa Mkali wa Rap - Eminem, naye inadaiwa huyu wa saizi ni Clone, yule wa Kitambo aliuawa siku nyingi.


Ila kwakuwa ni maneno ya watu wa Conspiracy naweka msimamo wangu kati. 😎
 
Dont stop till you get enough

kuna jamaa mshikaji wangu kipindi kile MICHAEL JACKSON amefariki tukawa tunamjadili maskani
akapayuka wanamsifia tu sijaona nyimbo yoyote kali kama wanavyomsifia
siku akaja gheto kipindi mp3CD ndio habari ya mjini kuplay kwenye deki ya DVD halafu nyimbo zitokea list kwe TV la chogo unaselect tu remoti
basi bana nikaunganisha na AUX nilikuwa na kinu cha maana cha KENWOOD cha vipande vinne halafu kina equlaiza basi bana nikaiset mbala mwezi
nikaiplay hiyo ngoma mzee
akawa anatingishaa kichwa huku anasema dah hii nyimbo naipenda inanikumbusha kitambo sana

nikamuuliza " unajua kaimba nani"
akajibu " hata sijui me naielewa tu ngoma kali"
.nikamuambia sasa huyo ndo JACKO na ana ngoma zingine kali zaidi nikaanza kumpigia moja baada nyingine
basi bana mpk kesho anamkubari MICHAEL JACKSON kinoma
 
Mimi nazikubali ngoma zote za huyu legend hadi alizoshirikishwa. Ila hizi nne Money, We have had enough, This time around na Slave to the rhythm napenda sana kuzirudia kusikiliza.
 
Dont stop till you get enough

kuna jamaa mshikaji wangu kipindi kile MICHAEL JACKSON amefariki tukawa tunamjadili maskani
akapayuka wanamsifia tu sijaona nyimbo yoyote kali kama wanavyomsifia
siku akaja gheto kipindi mp3CD ndio habari ya mjini kuplay kwenye deki ya DVD halafu nyimbo zitokea list kwe TV la chogo unaselect tu remoti
basi bana nikaunganisha na AUX nilikuwa na kinu cha maana cha KENWOOD cha vipande vinne halafu kina equlaiza basi bana nikaiset mbala mwezi
nikaiplay hiyo ngoma mzee
akawa anatingishaa kichwa huku anasema dah hii nyimbo naipenda inanikumbusha kitambo sana

nikamuuliza " unajua kaimba nani"
akajibu " hata sijui me naielewa tu ngoma kali"
.nikamuambia sasa huyo ndo JACKO na ana ngoma zingine kali zaidi nikaanza kumpigia moja baada nyingine
basi bana mpk kesho anamkubari MICHAEL JACKSON kinoma
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom