Beyoncé anatimiza umri wa miaka 41 leo

Aug 31, 2022
54
99
Beyoncé, ambaye alizaliwa mnamo Septemba 4, 1981, alipata umaarufu akiwa member wa Destiny's Child (hapo awali kilijulikana kama Girl's Tyme), moja ya bendi kubwa zaidi za wasichana katika historia ya muziki.
1662285313227.png

Baada ya kuachana na Destiny’s Child, alianza kazi kama msanii mmoja akiongeza mauzo ya rekodi zaidi ya milioni 200 duniani kote, hizi ni pamoja na albamu safi milioni 40 zilizouzwa na zaidi ya nyimbo za kidijitali milioni 165 zilizouzwa. Beyoncé anashika nafasi ya 2 kama msanii wa nyimbo za kidijitali anayeuza zaidi wakati wote.

Yeye ndiye msanii wa kike aliyeteuliwa zaidi katika historia ya tuzo za Grammy, akiwa na uteuzi wa kazi 79 na ameshinda tuzo 28 za Grammy wakati wa usanii wake.

Kazi yake ya pekee ilipamba ulimwengu wa muziki kwa mara ya kwanza kwa Dangerously Woman mwaka wa 2003, iliyoshirikisha vibao vya R&B kama vile Crazy in Love.
 
Back
Top Bottom