Londoni my first 😳

Londoni my first 😳

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,362
Basi bhana kunasiku nilikuwa nimetoka shule. Nimwezi wa kumi na tumemaliza kidato cha nne na nilikuwa na raha sana.
Basi bhana kufika Moshi Mjini nilikuwa na dada alikuja na taxi tukatuwa Moshi stendi.

Tukaonelea jua linawaka ngoja tukale kidogo na kutuliza kiu. Basi bhana ile tu nashuka kwenye taxi na dada kabaki amlipe dereva pesa ya usafiri, wakutoka shule hadi hapo stendi weh nakutana na kijana mzuri naye anashuka kwenye basi nimkali kinyama.

Nikapigwa na butwa, nikatoa hadi mate kama paka aliyeona samaki aliyewekwa viungo akaangwa kwa ufanisi wa hali ya nyota 5. Naye kumbe kaelewa somo akaja mambo, poa, mzima, najibu mzima ninaharaka kaka ananisubiri, ila kweli wewe mwanadada mzuri sana, macho yangu yamekuona wewe tokea nashuka kwenye basi!

Basi akashika mikono yangu kwa upendo nakuondoka. Ila alinibusu shavuni kuonyesha upendo, akaenda alisema "See you soon".

Kaka yake kumbe alituona nakavunga ile kaenda, najilaumu sijapewa namba yake kuangalia mkononi nikitu gani kizito, ni karatasi kadogo ameeniandikia namba yake londoni. Nikahifadhi kwenye simu ya dada yangu tukaondoka kuelekea Polisi Mess kula nyama.

Je nilimwona tena londoni au ilikuwaje?

Mkipenda kujua nini kimeendelea weka maoni "Endelea" mkifika kumi nitaendelea.
 
Kwanza Samaki anaekaangwa kwa hadhi ya nyota tano hana ladha
 
Basi bhana kunasiku nilikuwa nimetoka shule. Nimwezi wa kumi na tumemaliza kidato cha nne na nilikuwa na raha sana.
Basi bhana kufika Moshi Mjini nilikuwa na dada alikuja na taxi tukatuwa Moshi stendi.

Tukaonelea jua linawaka ngoja tukale kidogo na kutuliza kiu. Basi bhana ile tu nashuka kwenye taxi na dada kabaki amlipe dereva pesa ya usafiri, wakutoka shule hadi hapo stendi weh nakutana na kijana mzuri naye anashuka kwenye basi nimkali kinyama.

Nikapigwa na butwa, nikatoa hadi mate kama paka aliyeona samaki aliyewekwa viungo akaangwa kwa ufanisi wa hali ya nyota 5. Naye kumbe kaelewa somo akaja mambo, poa, mzima, najibu mzima ninaharaka kaka ananisubiri, ila kweli wewe mwanadada mzuri sana, macho yangu yamekuona wewe tokea nashuka kwenye basi!

Basi akashika mikono yangu kwa upendo nakuondoka. Ila alinibusu shavuni kuonyesha upendo, akaenda alisema "See you soon".

Kaka yake kumbe alituona akavunga ili kaenda, najilaumu sijapewa namba yake kuangalia mkononi nikitu gani kizito, ni karatasi kadogo ameendakia namba yake londoni. Nikahifadhi kwenye simu ya dada yangu tukaondoka kuelekea Polisi Mess kula nyama.

Je nilimwona tena londoni au ilikuwaje?

Mkipenda kujua nini kimeendelea weka maoni "Endelea" mkifika kumi nitaendelea.
Sina hamu kujua huko mbele itakuwaje.Mambo ya umalay daima hayana mwisho mwema.Mtu aliyekuona mara ya lwanzo anakupa busu hadharani. Hatoishia kwako. Hiyo stori baki nayo mwenyewe.
 
Tukaenda kula chakula hapo police mess baada ya mlo tukaona tuanze safari ya kwenda Arusha .

Basi mawazo yangu yapo kwa kijana wawatu mweupe mhandsome jamani.

Ila kila nikimwaza naona inakataa inakuja sura ya kaka yake maana nilimwona kwa mbali akimsubiri kumpokea mdogo wake .
Basi nikaona nilale tu ndio suluhisho .
Kwa muda mrefu kama lisaa tupo Arusha tukashuka kituo cha home tukaenda home .

Siku hiyo nilikuwa nimechanganya mafile .
Ila potelea mbali. Basi wiki mbilo zikapita nanikaona nimtext haikujibiwa kupiga inaita ila haipokelewi.
Kukaa kama nusu saa nikapiga simu tena .
Akapokea mtu akajitambulisha yeye ni John nikaka wa londoni.

Nikajikuta naomba namba if wangu hatopatikana akatoa .
Mazoea yakaanza na akawa anapiga yeye maisha yakasonga nikawa na mazoea na shem kushinda muhusika .
So tukawa tunameet kwa sababu ya kumuongelea londoni.

Hapo kumbuka kuonana na londoni bado.
Nakumbuka yeye ndio alinifundisha pombe na mazaga zaga mengine makali na kweli nilienjoy kampani yake .

Dah nakumbuka kuna siku usiku londoni alinipigia simu akadai niende kwao asubuhi tuonane atanipokea Moshi mjini nikasema poa .

Siku mention nimeonana na kaka yake ila hakujua pia kuwa hata mimi nilimwona kaka yake ile siku alinivutia ila nilivunga kama alivyovunga.

Basi next day basi tukaonana alinipokea vizuri na alinitoa out mahala pazuri nikala nikaenjoy sana tukabond nakumbuka alinipeleka sehemu yenye mandhari nzuri na nivijumba jumba so tupo comfortable kwa kweli alinishika sehemu nilishtuka kidogo nikaona hebu tule na kwenda ila akainsist nikaone kwao nikawa nasita maana sitapona huko ila lile kiss lake ni amazing alinikiss lile deep kis la uchokozi aisee nilisimumuka balaa .

Nikawaza amenifeel kiasi gani hadi anisumbue hivyoo .
Sio mdomoni tu na shingoni pia yaani unafeel poa hadi unatamani tu asiache .

Ila nilimzuia kuendelea couze sijazoea ndio kwanza naanza uzinifu .
So avumilie ila akawa anadai sawa sijakupendea sex nimependa mzigo tokea moyoni.

Tulienda home nikapokelewa fresh kwao na nilikaa kwao hadi mida ya jioni nikarudi home ila aling'ang'ana hada romance basi jamani nikaona kule ilitosha nikarudi home .

Ila kweli kaka yake alikuwa hot kiasi cha kuwa njia panda .

Tuliendelea kuwa wapenzi wa macho bila kutazama for 3 years nikaona mmh ngoja tu iwe kweli .
Basi karudi kutoka masomoni akawa anaraha sana kuniona nailefuraha niliyokuwa nayo ilikuwa yakipekee kabla yakila kitu kapoa kadai nimekumiss tokea kile kipindi alizoea mie mwaminifu .

Basi nikadanganya tu kwetu nimekwama mahali kwenye sherehe narudi kesho yake wakaaminishwa nikabaki kwao .

Ila baba yake mama yake woi hawajui kama sisi sio wema .

Yalitokea yakutokea walahi sijaamini haikuwa rahisi ila nimaamuzi .
Namwenzangu kaiaminisha kuwa mie ndio wakuwa mkewe baada yahapo.

Wewe haikuwa siku njema nilipata shida za hapa na pale ila za mimba hapana.

Maisha ya kusalitiana yakaanza kweupe .
Huyo jamaa hakuwa anajua kumridhisha mtu anakulia good time tu .
Hajui kumfanya mtu aenjoy nope.
Ila maromance manini anajua akipewa kiti akikalia zero .

Basi bhana alienda kumsalimia ndugu yake kenya kuangalia kama ataajiriwa huko .
Nikaona ngoja nikamsalimie maza ake nikamkuta kaka yake home katulia tuli anafanya kazi kwenye pc yake nikamsalimia fresh tu akanisanua huyo mpenzi wangu hajaenda kutafuta kazi kaenda kwa mwanamke wake mwingine akampe dira ya maisha maana hali sio hali akanionyesha kabisa picha zake na mambo mengi tu .

Kidogo Nikasema kama hawezi mridhisha mie kwendra nikaa kidogo hadi maza arudi maana sikumkuta .
Aliporudi akaona aseme ukweli akasema kuwa londoni anakupenda ila anamtu mwingine ndio kaenda huko kumsalimia na ampe dira ya maisha.

Weeh ! Nililia hiyo siku maana nilitoa penzi kwa mtu wa mtu bila ya mimi kujua nikasema poa ngoja nirevenge basi. Kuamka asubuhi kwao nikaenda jikoni nikapata breakfast nikaona huu ndio muda muafakaa wa revengr yangu nikauliza G anaendaga kazini ijumamosi nikaambiwa nope .
Basi nikaulizia room yake nikamkuta bado kalala nikamuamsha nikamuandalia chai .

Akadai kabla ya mimi kuendelea kula bossy nakitu nataka kukuambia nini??
Mimi tokea i saw you nilikupenda naukiamini kuwa nikweli akanipa mkufu wa love wa silver ndani ilivyoandikwa iliandikwa kwa bashasha nzuri sana.
Kingine akaninong'oneza nakupenda namimi nikamwambia sio leo.

Nikamvungia kidogo kama mwezi the next month niasettle the fight huyu niliamua kumfunika hadi awe kipofu kwangu.

Kwanza it was evening nilienda kwao kwania yakumjulia londoni uzima tukampata tukaongea naye kwa mahaba yote. Halafu simu kuisha ndio mapenzi yenyewe yakatawala .

Nakumbuka niliombwa kupika chakula cha jioni G alinifuata jikoni maana alijua hakuna mtu alinikiss shingoni shavuni na pia mgongoni weeh hiyo ya mgongoni nikaona hai ngoja ni zimejiko nisiunguze chakula ukweni kashika zile maziwa kwa ufanisi hadi nikaona basi tu nimesurrender maana niliona raha sana.
Nikapandwa na mzuka wake watu wanajua mapenzi hadi unyayo wa mguu unapewa mabusu yake kaniweka juu ya bambazoni mwa siment karibu na bomba la maji kapata upenyo vizuri nakuanza shughuli vyema kumbuka nipo juu ya hiyo cement na yeye kasimamia inshu weeh! Nilienjoy sana nikaona hapo mbona sijakosea kusema yes tufanye haya .

Basi tukaona tukamalizie vizuri jikoni huwezi amini nilitoa stlye zote mpaka za kimeru za kipwani za kizungu mara nabebwa kwa makiss moto moto napewa kivile kihivi hadi nikaona hapa tutauna sasa kila nikituma majeshi yangu kwa stlye hii napewa kwa stlye ile hadi jamaa akaona nisindoke nikae kesho yake ndio niondoke anavyokuambia kwa mahaba sema unanipenda nainshu ipo mahali penyewe . Na unaambiwa sema hutokuwa na mwingine nikataja sintokuwa na mwingine nikamtaja mdogo wake kwamoyo wote .

Nakumbuka sikuwahi kufanya penzi zuri kama hili kwa masaa 2 nanusu nikaoga nikaenda kaendelea nakazi zangu za kupika nikapika ikafika muda wa kula tukala tukaenda kulala .

Weeh akaja kwangu chumbani kwa londoni hodi nikamwambia hapana sio huku akanibana ukutani huku akiniss niwapi sema niwapi nimechizika nawewe ujue so sema niwapi nikikukuta namtu mwingine walahi nakuua najiua ndio alisema .

Nakupenda sana nikasema even me nikasahau ulipizaji wakisasi .
Ila nikamjibu nope sio hapa kwa londoni twende kwenye chumba cha usaliti nikaenda huko kilikuwa giza na taa ni hafifu nikamuuliza mpenzi wangu mbona umezima taa zote.
Umebakisha hii akadai ya chooni ipo on nikajibu aisee sawa.

Muda sio mrefu tukaanza tena mchezo wetu wakufarijiana kadai shhh. Huku katoa gauni yangu na kuweka chini katoa suruali yake kabaki na boxer wajameni nikaona kama naanza safari moja ya raha ya mapenzi kwa maana g ni inshu ingine mi siomrefu sana niwastani ila g ni mrefu handsome ni anasix pack ni mzuri kweli .

Akaja akaanza kiss za manyoyo na kunipapasa kwingine akaniss shingoni na mabegani mikononi na pia alinikiss hadi tumboni kiunoni mapajani nilidrive crazy nikamsukuma akalala chali nikamwambia .

Usiwahi kunicheat nitakua kabisa na huyo mtu wako akadai sawa .
Tukaanza kupeana penzi murua nilikaa kisawa sawa nikapewa haki yangu yamsingi ila nilimpa stlye zote hadi za bafuni kimbembe kikaja mama yake alikuwa ananiita walahi sijasikia kwa mautundu ya g halafu tulikuwa tunashout kwa mahaba ningumu mtu kusikia ila tulishtuliwa na hiyo sauti unique mama uko wapi naomba maji leta na jagi anasema kwa chumba cha londoni kwa maana nikanaangaliana weeh nikasema nitajifanya sijasikia nikaa muda akaondoka nikatoka mita kwa huyo fir fire nikarudi kwangu nikaoga fasta nikaenda kwa maza na jagi na kikombe .

Akadai usimsaliti mtoto wangu nani G nikashtuka unampenda sana g kuliko londoni akajibu g ndio anayekupenda londoni huyo anamambo mengi nikaona anataka kunishika nikadai mbona sina mazoea naye akasema anza mazoea sasa usije jutia mbeleni .
Nilipoona niyuko upande wetu basi nikawa ni baba mtu tu ndio namficha.

Hiyo siku nilirudi kwa g nikalala kwake hadi next morning nikaa huko kwao kwa one week ndio nikasepa kwetu.

Kweli mapenzi yetu yalikuwa fine until londoni akarudi hadi next time aisee nimechoka kuandika ...
 
Back
Top Bottom