Amna pesa boss yuko bize na MISHANGAZI madogo nao wapuuzi waliingia CHAKIKE Kule kings Music mbona walikua poa tuu...Walitoa SINA ikaHIT wakatoa MASOZY ikawa HIt wakaja na RHUMBA ikahit vzur tu wakaja na ile nyingine Kiba anaanza kama DJ inaitwaje? IkaHIT sasaaa wakaambiwa ooh Kiba hana amsha amsha waende kwa Konde anapesa atawapromote wakaingia Mkenge!Sasa nani atawapokea tena?? Wenzao kina K2GA na Tommy flavour wanakula mpaka mastar kina Lynn wametulia kwa KIBA pale bila presha yoyote...Ngoja tuone Hii muvi itashaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.