Dr King (M.L.King Jr) alishawahi nukuliwa akisema “ Not everyone can be FAMOUS , but everyone can be GREAT. Japo hotuba yake ilikuwa yenye mlengo wa kisiasa, lakini kupitia nukuu hii alikuwa...
Tetesi mpya zimeibuka katika ndoa ya mastaa wa muziki, Offset na Cardi B, baada ya Offset kudai kuwa Cardi B amemsaliti na hata kupata ujauzito wa mwanaume mwingine. Tukio hili limezua gumzo kubwa...
Wanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia
Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza...
Kimberly Denise Jones (born July 11, 1974), better known by her stage name Lil' Kim, is an American rapper and reality television personality. Born and raised in Brooklyn, New York City, she lived...
Nimepigwa nimeenda mpaka lock up wanazengo bint yangu bado mdogo nmetoka mwanza nmemfuta mosh nmettoroka kazin mwanamke kanikana Yuko fuel station station lawate
Kwa wapenzi wa muziki na wenye masikio thabiti kwenye muziki (vyombo) kumekuwa na ubishi mrefu juu ya nani zaidi ya wapiga solo guitar kati Flamme Kapaya na Kimbangu Solo.
Je, wewe ambae...
TRAILER YA THE CHURCH OF THE UNBORN!
Ndani ya jumba la Cinema lililoko Mlimani City. Ukumbi umejaa. Watu wanashauku ya uzinduzi wa filamu mpya ya The Church of the Unborn" ambayo inatokana na...
Msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, ameibuka hadharani akilalamikia kile alichokiita uvunjifu wa sheria za hakimiliki baada ya kuona mdundo wake (beat) ukitumika katika mikutano ya kampeni ya...
[Chorus:]
Heey Lord
Hear my plea
I am living on the Streets
I have Nothing to eat
Heeey Lord
What shall I do?
Do I become a Hardcore Gangster
Or Get a Jobs within the Streets?
The richest man I...
Leo mtanange bado unaendelea baada ya Eviction show ya jana,waliokuwa probation walikuwa wiki iliopita walikuwa
Fess - Kenya
Jennifer – Kenya
Michelle – Kenya EVICTED
Bior South...
Battling is the basis for all rap music. The battle is the truest essence of rap and where rap music started. The object of a rap battle is to come up with insulting rap lyrics on the spot (not...
NYEMO CHILONGANI.
UCHAWI WA BILIONEA BAZOKA.
0718069269
Ndiyo kwanza mwanga wa asubuhi ulikuwa ukitokeza, watu waliokuwa wakifanya kazi sehemu za mbali, wakaamka na kuanza kujiandaa kwenda...
Dunia ya muziki wa Tanzania imekuwa ikipitia mageuzi makubwa kwa miongo kadhaa. Kila zama imezaa nyota zake – kuanzia wasanii, watunzi, waimbaji, hadi watayarishaji muziki (producers). Katika zama...
Nakumbuka nilianza kuisoma mwishoni mwa mwaka 2023 mpaka naimaliza mwaka jana. Lakini mwaka huu mwezi wa kwanza nikairudia tena na nikamaliza mwezi wa tatu.
Sasa leo nimeamua kuanzia kesho muda...
Naam changamkia fursa kwa shilingi 3750 kwa miezi miwili mfululizo tu unaweza kusikiliza muziki na midundo mipya kutoka kwa wasanii mbalimbali ndani ya Spotify kisha utakuwa unalipia 7200 tu Kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.