Dampa
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 810
- 1,263
Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Umri…………………..18+
Sehemu ya 1
Ngurumo na radi vilitawala,huku wingu zito likitanda,ilikuwa ni dalili kuwa muda wowote mvua itanyesha,tena siyo ya rasharasha ilikuwa ya uhakika!
Muda huo ndiyo nilikuwa nimeshuka kwenye basi lililonileta mpaka Sumbawanga,ilikuwa safari ndefu sana lakini nashukuru nilifika salama!
Kulikuwa na pilika pilika za hapa na pale lakini,lakini zilikuwa za kawaida si kama Dar jiji lenye pilika zake!
Rafudhi za watu wa pale haikunipa tabu kujua kuwa sasa nimeingia Sumbawanga!
Uchovu ulikuwa mkubwa sana ilibidi nitafute sehemu nipumzike kabla sijaunganisha safari kuelekea katika vijiji nilivyovikusudia!
Hali ya hewa ilikuwa tofauti kabisa na Dar hiyo ilinifanya nifungue begi langu lenye nguo chache tu nikatoa sweta nikavaa,sikuja na nguo nyingi sababu niliamini sina siku nyingi huku!
Sikuona sababu ya kuunganisha safari siku ile,niliulizia sehemu ambayo naweza kupata nyumba za wageni!
Nilipata chumba nikalipia kwa usiku mmoja tu sababu kesho yake ilikuwa ni lazima niendelee na safari yangu!
Safari yangu ilikuwa ni kufanya utafiti wa mazingira ya Sumbawanga na vijiji vyake,sababu niko mbioni kuandika kitabu changu kitakachohusisha sana mazingira na tamaduni za watu wa Sumbawanga!
Wakati nikiwa kwenye mawazo nikiwaza kitabu changu kitakuaje mlango wangu uligongwa,nikaufungua mlango nikakutana na dada mmoja mweupe ana umbo zuri sana kasimama mlangoni!
“Vipi dada!”
Nilimuongelesha baada ya kuona simuelewi kasimama ananiangalia kwa macho yaliyolegea legea!
“Safi kaka nili nilikuwa nakuuliza kama hupendi kulala peke yako si unaona baridi!”
Nilishtuka sana kusikia vile ni jambo ambalo sikulitegemea kabisa,tayari nilishamuelewa ila sikutaka kuonyesha nilihitaji afafanue zaidi,mambo kama yale nilijua yako dar tu kumbe mpaka mikoani!
“Samahani sijaelewa unamaanisha nini?”
“Jamani kaka mbona naeleweka au unaninaje?”
Alisema yule dada huku akianza kulivuta juu vazi lake na kuanza kuyaacha mapaja yake wazi,nilishtuka sikutegemea kama tungefika kule!
“Basi!basi!basi!”
Nilimzuia yule dada hasinionyesha maungo yake ila wala hakuwa na habari,ndiyo kwanza alizidi kuipandisha juu mpaka nikaanza kuona kabisa dalili ya kukiona kitumbua chake!
Yule dada macho yake yalitua kwenye zipu yangu na kuona tayari bakora yangu imesimama!
“Wow!jamani niishike basi!”
Alisema yule dada huku ananisogelea ghafla akaleta mkono na kunishika usawa wa zipu yangu,ilinibidi nifanye maamuzi magumu maana niliona naenda kuvunja masharti niliyojiwekea ya kujiepusha na mapenzi ninapokuwa katika harakati zangu za kazi!
Niliufunga mlango ghafla nikamuacha yule dada anashangaa shangaa tu hasiamini kama nimevuka salama kwenye mitego yake!
Nilijitupa kitandani nikavuta pumzi ndefu kisha nikaitoa,muda huo bakora yangu nayo ikaanza kutulia na kurudi katika hali yake ya kawaida!
“Duh nilijua haya mambo yapo Dar tu kumbe mpaka huku daaah!”
Usingizi ulinichukua hata sikujua nimelala sangapi?Nilikuja kushtuka asubuhi na jua tayari limeshatoka!
Nilikurupuka nikakimbilia bafuni japo kulikuwa n baridi kali ila nilijitahidi nikaoga ili kurudisha mwili katika hali yake ya kawaida!
Nilichukua begi langu nikatoka,sikuwa na muda wa kupoteza,nilikuwa na siku tatu tu kule nirudi Dar kuanza kuandika kitabu changu ambacho nilipanga kitawaliwe na mkoa wa Sumbawanga!
Wakati natoka nilikutana na yule dada naye anatoka kwenye chumba cha pembeni yangu kumaanisha kwamba aliponikosa mimi alienda kutega kwingine!
Aliponiona aliona aibu akainama chini nikampita bila kumsalimia,moja kwa moja nikachukua boda boda mpaka kijiji cha Mponda!
Nilipokelewa vizuri japo sikuwa na mwenyeji,niliwaeleza ujio wangu pale wakanipa ushirikiano mkubwa sana!
Nililala pale kisha kesho yake nikaelekea kwenye kijiji cha cha Kisumba ambako ndiko nilikopata hii stori ninayokuletea leo!
Kwanza kilichonishangaza ni mapokezi niliyopewa,nilishawahi kufanya tafiti mbali mbali katika vijiji vingi ila nikiri hiki ni kiboko!
Kwanza hakuna mtu aliyenijali wala kunipokea kama mgeni nilijitahidi kujitambulisha na kuwachangamkia wenyeji lakini hawakunichangamkia kabisa!
Mpaka inafika jioni sikuwa nimeambulia chochote na hata sikuwa nimepata mwenyeji maana kila niliyemfuata alinisikiliza na kunipuuza!
Njaa ilikuwa kali sana muda huo tayari giza lilishaanza kuingia,bahati nzuri niliona sehemu inayouza chakula!
Nilijisogeza nikaagiza chakula nikahudumiwa,niliagiza ugali na maziwa mtindi nikala sana kutokana na njaa kali niliyokuwa nayo!
Baada ya kumaliza tatito la njaa sasa swali likabaki kuwa nalala wapi?nilipowaza kurudi kwenye kijiji nilichotoka umbali wake na usafiri ni wa shida!
Nilihisi kuchanganyikiwa nikikumbuka na stori nazosikia kuhusu Sumbawanga nilichoka kabisa aiseeh!Hakuna gesti wala sehemu ya kulala maeneo yale!
Nilijitahidi japo nizoeane na mwenyeji lakini ilishindikana kabisa,kwenye kile kihotel napo walianza kufunga hapo ndipo nikazidi kuchanganyikiwa!
JE NINI KITAENDELEA?NINI HATIMA YA JACK
Umri…………………..18+
Sehemu ya 1
Ngurumo na radi vilitawala,huku wingu zito likitanda,ilikuwa ni dalili kuwa muda wowote mvua itanyesha,tena siyo ya rasharasha ilikuwa ya uhakika!
Muda huo ndiyo nilikuwa nimeshuka kwenye basi lililonileta mpaka Sumbawanga,ilikuwa safari ndefu sana lakini nashukuru nilifika salama!
Kulikuwa na pilika pilika za hapa na pale lakini,lakini zilikuwa za kawaida si kama Dar jiji lenye pilika zake!
Rafudhi za watu wa pale haikunipa tabu kujua kuwa sasa nimeingia Sumbawanga!
Uchovu ulikuwa mkubwa sana ilibidi nitafute sehemu nipumzike kabla sijaunganisha safari kuelekea katika vijiji nilivyovikusudia!
Hali ya hewa ilikuwa tofauti kabisa na Dar hiyo ilinifanya nifungue begi langu lenye nguo chache tu nikatoa sweta nikavaa,sikuja na nguo nyingi sababu niliamini sina siku nyingi huku!
Sikuona sababu ya kuunganisha safari siku ile,niliulizia sehemu ambayo naweza kupata nyumba za wageni!
Nilipata chumba nikalipia kwa usiku mmoja tu sababu kesho yake ilikuwa ni lazima niendelee na safari yangu!
Safari yangu ilikuwa ni kufanya utafiti wa mazingira ya Sumbawanga na vijiji vyake,sababu niko mbioni kuandika kitabu changu kitakachohusisha sana mazingira na tamaduni za watu wa Sumbawanga!
Wakati nikiwa kwenye mawazo nikiwaza kitabu changu kitakuaje mlango wangu uligongwa,nikaufungua mlango nikakutana na dada mmoja mweupe ana umbo zuri sana kasimama mlangoni!
“Vipi dada!”
Nilimuongelesha baada ya kuona simuelewi kasimama ananiangalia kwa macho yaliyolegea legea!
“Safi kaka nili nilikuwa nakuuliza kama hupendi kulala peke yako si unaona baridi!”
Nilishtuka sana kusikia vile ni jambo ambalo sikulitegemea kabisa,tayari nilishamuelewa ila sikutaka kuonyesha nilihitaji afafanue zaidi,mambo kama yale nilijua yako dar tu kumbe mpaka mikoani!
“Samahani sijaelewa unamaanisha nini?”
“Jamani kaka mbona naeleweka au unaninaje?”
Alisema yule dada huku akianza kulivuta juu vazi lake na kuanza kuyaacha mapaja yake wazi,nilishtuka sikutegemea kama tungefika kule!
“Basi!basi!basi!”
Nilimzuia yule dada hasinionyesha maungo yake ila wala hakuwa na habari,ndiyo kwanza alizidi kuipandisha juu mpaka nikaanza kuona kabisa dalili ya kukiona kitumbua chake!
Yule dada macho yake yalitua kwenye zipu yangu na kuona tayari bakora yangu imesimama!
“Wow!jamani niishike basi!”
Alisema yule dada huku ananisogelea ghafla akaleta mkono na kunishika usawa wa zipu yangu,ilinibidi nifanye maamuzi magumu maana niliona naenda kuvunja masharti niliyojiwekea ya kujiepusha na mapenzi ninapokuwa katika harakati zangu za kazi!
Niliufunga mlango ghafla nikamuacha yule dada anashangaa shangaa tu hasiamini kama nimevuka salama kwenye mitego yake!
Nilijitupa kitandani nikavuta pumzi ndefu kisha nikaitoa,muda huo bakora yangu nayo ikaanza kutulia na kurudi katika hali yake ya kawaida!
“Duh nilijua haya mambo yapo Dar tu kumbe mpaka huku daaah!”
Usingizi ulinichukua hata sikujua nimelala sangapi?Nilikuja kushtuka asubuhi na jua tayari limeshatoka!
Nilikurupuka nikakimbilia bafuni japo kulikuwa n baridi kali ila nilijitahidi nikaoga ili kurudisha mwili katika hali yake ya kawaida!
Nilichukua begi langu nikatoka,sikuwa na muda wa kupoteza,nilikuwa na siku tatu tu kule nirudi Dar kuanza kuandika kitabu changu ambacho nilipanga kitawaliwe na mkoa wa Sumbawanga!
Wakati natoka nilikutana na yule dada naye anatoka kwenye chumba cha pembeni yangu kumaanisha kwamba aliponikosa mimi alienda kutega kwingine!
Aliponiona aliona aibu akainama chini nikampita bila kumsalimia,moja kwa moja nikachukua boda boda mpaka kijiji cha Mponda!
Nilipokelewa vizuri japo sikuwa na mwenyeji,niliwaeleza ujio wangu pale wakanipa ushirikiano mkubwa sana!
Nililala pale kisha kesho yake nikaelekea kwenye kijiji cha cha Kisumba ambako ndiko nilikopata hii stori ninayokuletea leo!
Kwanza kilichonishangaza ni mapokezi niliyopewa,nilishawahi kufanya tafiti mbali mbali katika vijiji vingi ila nikiri hiki ni kiboko!
Kwanza hakuna mtu aliyenijali wala kunipokea kama mgeni nilijitahidi kujitambulisha na kuwachangamkia wenyeji lakini hawakunichangamkia kabisa!
Mpaka inafika jioni sikuwa nimeambulia chochote na hata sikuwa nimepata mwenyeji maana kila niliyemfuata alinisikiliza na kunipuuza!
Njaa ilikuwa kali sana muda huo tayari giza lilishaanza kuingia,bahati nzuri niliona sehemu inayouza chakula!
Nilijisogeza nikaagiza chakula nikahudumiwa,niliagiza ugali na maziwa mtindi nikala sana kutokana na njaa kali niliyokuwa nayo!
Baada ya kumaliza tatito la njaa sasa swali likabaki kuwa nalala wapi?nilipowaza kurudi kwenye kijiji nilichotoka umbali wake na usafiri ni wa shida!
Nilihisi kuchanganyikiwa nikikumbuka na stori nazosikia kuhusu Sumbawanga nilichoka kabisa aiseeh!Hakuna gesti wala sehemu ya kulala maeneo yale!
Nilijitahidi japo nizoeane na mwenyeji lakini ilishindikana kabisa,kwenye kile kihotel napo walianza kufunga hapo ndipo nikazidi kuchanganyikiwa!
JE NINI KITAENDELEA?NINI HATIMA YA JACK