Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Huyu hapa msanii kipenzi cha Gen Z, akitumbuiza goma lake pendwe la "mshike kende, bonyeza pembe, kende ndende ndendeee". show ilipigwa Maeneo ya Gaza kimara
0 Reactions
1 Replies
232 Views
https://jumpshare.com/s/BPRuo4CnmKJMIEkfPZe4
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Kuanzia tarehe moja August taanza likizo ya mwezi mmoja, nimeplan kufanya road trip kuanzia Dar - Moshi - Arusha - Babati-Mara- mwanza-Geita-Kagera...
1 Reactions
8 Replies
461 Views
Wadau nataka kufahamu tu nani alikuwa nyuma ya kazi njema za huyu mrembo Ray c kama vile Na wewe milele, umenikataa n.k
3 Reactions
36 Replies
678 Views
THE JOURNALIST (TONE LA DAMU) AMANI KILONZO!!!!!... Ni jina ambalo lilikuwa alama ya ushindi, lilikuwa ni jina maarufu ambalo kila mwandishi wa habari pamoja na waandishi wote walikuwa...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Wana jamii wenzangu naombeni tafsiri ya ile T-shirt ya mwakinyo. Kwanini upande wa mbele na upande wa nyuma aweke picha tofauti.!?
1 Reactions
21 Replies
854 Views
Habari wana Jamiiforums, Karibuni kusikiliza EP yangu mpya niliyotengeneza Kwa AI inaitwa Street codes, Ngoma Karibu zote ni melodic rap Track 1: Hustle everyday Track 2: life is simple...
1 Reactions
0 Replies
126 Views
Nyote mnaopenda riwaya pendwa nadhani mnawajua Joram Kiango ambaye alikuwa muhusika wa mwandishi Ben R Mtobwa, huku Willy Gamba akiwa muhusika wa Elvis Musiba. Hawa walikuwa wanabaadhi ya sifa...
6 Reactions
49 Replies
760 Views
Nikiri wazi: tangu nimeacha kusikiliza muziki wa hawa wasanii chawa, moyo wangu una amani sana. Nimengundua muziki wa zilipendwa umejaa madini na hekima nyingi sana, usiochosha kusikiliza. Muziki...
1 Reactions
1 Replies
169 Views
Habari wanajamvi! Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa. Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Watu wengi wamekua wakiuskiliza huu na umewahudumia sana lakini bila kujua ukweli ya kuwa huu wimbo umetengenezwa kwa AI. Ukiangalia kuanzia mpangilio wa sauti, mguso wa hisia na namna ulivyokaa...
4 Reactions
5 Replies
480 Views
“Watu waliopiga kura milioni 31 wameshindwa hata ku-view nyimbo za wasanii wao 😂😂 Demokrasia online imegoma kufanya kazi 🤣” WE NANI ANA NAMBA ZA MAMA AMPIGIE KUNA WATU WANAVIPAJI VYA...
4 Reactions
7 Replies
228 Views
KISA CHA MSAFIRII _____________________ Mwaka 2000 katika ukumbi wa Mambo Club (baadae ukaitwa Maisha Club) uliopo pale Oysterbay jijini Dar, lilifanyika tukio kubwa la kihistoria la muziki wa...
2 Reactions
0 Replies
204 Views
Taja simulizi 3 bora ulizosoma JamiiForums 2023 Za kila aina"
4 Reactions
51 Replies
9K Views
Kwenye pitapita zangu, wadau wanadai huyo mtoto ndio DR DOOM mwenyewe 😀😀, can't wait to see this movie😀
1 Reactions
3 Replies
119 Views
Epiphyllum Dream: hii movie ina story line bora sana katika movie zote za china nlizowahi kuziona, Sjajua mtunzi na director ni nani ila walifanya kazi moja kubwa sana hapa, japo ni ya mda kidogo
1 Reactions
23 Replies
537 Views
Bongo Star Search (BSS) ni moja ya mawazo makubwa na bora sana kuwahi kuzaliwa katika tasnia ya burudani Tanzania. Tangu kuanzishwa kwake hadi sasa, BSS imekuwa zaidi ya shindano la kuimba...
0 Reactions
0 Replies
277 Views
Dunia ya muziki wa hip hop mara nyingi hukumbwa na misukosuko ya wasanii kuwa kwenye kutokuelewana ama bifu, lakini mashabiki wengi sasa wanaamini ni muda sahihi kwa Disasta Vina kumfungulia tena...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
Inasemekana hii ndiyo moja filamu nzuri iliyowahi kupendwa hapa duniani. Imetengenezwa mwaka 1972 na mara ya kwanza ilikuwa riwaya lilioandikwa na mwanafasihi wa Kiitalia Mario Puzo. Hii filamu...
51 Reactions
296 Replies
34K Views
Back
Top Bottom