JISOO and ZAYN Team Up for Emotional New Single “EYES CLOSED”
K-pop and pop music fans have a reason to celebrate: JISOO and ZAYN have finally teamed up for their first-ever collaboration, “EYES...
Hadhira ambayo ilikusanyika kutazama filamu katika Ukumbi wa La Plata huko Argentina walipata zaidi ya walichokilipia wakati wa kutazama filamu ya Final Destination: Bloodlines.
Katika hali ya...
Bob Marley na wailers wamesahidia kuufanya muziki wa reggae kuwa mkubwa na pendwa duniani kwa kuubiri upendo, ukombozi na ukweli.
Msanii gani wa reggae kakushawishi kupenda au kufuatilia mziki wa...
Devil’s family(familia ya mashetani) 01
angalizo: kama upo chini ya umri wa miaka 18. Tafadhali usisome hii hadithi.
Kila kilicho andikwa katika hadithi hii ni utunzi hakiendani na kisa chochote...
Mitaa imeshkuta sio sauti tu kibunda nacho kipo.
Sio Abdul Nondo wa ACT, hapana, wanaweza wakawa wanajuana, ila sio huyo, ni Dully mwenyewe.
Another "UZI MFUPI ILA UNAWAFIKIA"
Pole sana Ferre Gola kwani kila ukijitahidi kumkimbiza na kumkuta Mpinzani wako Fally Ipupa tokea mkiwa Waimbaji na Wanenguaji wa Kiume wa Koffi Olomide unakuta ameshafika mbali Kimuziki muda...
Who's your favourite person to play the character of Hercules for God Of War series.
1. Triple H
2. Uncle Snoop
3. Kanye West
4. Hulk Hogan
5. Rambo
6. Van Damme
7. Liam
8. Jack Chan
GT
Naomba mnijuze huu wimbo una maana gani?
Unaitwa 'Velvet Horizons'
Ni wimbo mzuri sana umetoka mwaka huu 2025 naupenda ila nimeshindwa kujua maana yake,kila nikisoma maana ya maneno hayo...
Kuna Jumong na A man called god zote ni korean, mtaalamu akiwa Song il gook, a.k.a Jumong
Jamani tuacheni maskhara, kwa upande wangu, movie/series zitakuja na kuondoka, hizi mbili ni mwisho...
Kool & the Gang : "Let's Go Dancin' (Ooh La La La)"
Mimi niusikia kwa Mara ya kwanza Morogoro mwaka 1982/83 kwenye Bilibi Disco ambayo nadhani ilikuwa pia inamilikwa na Joseph Kusaga. Ulikuwa...
Kwenye huu ulimwengu wa mabavu kuna mambo mengi yanatokea kiasi kwamba wanadamu tunakimbilia kulaumu bila kujua sababu ya mambo hayo kutokea.
Kwenye IDAIWE MAITI YANGU uliisoma historia na...
Uzi huu utakuwa mahususi kwa ajili ya kutuma simulizi hizi mbili kwa wapenzi wasomaji wangu. Simulizi hizo nazo ni: ANGA LA WASHENZI na JOANA ANAONA KITU USIKU mpaka vikomo vyake.
Karibu tufurahie.
SIMULIZI-JAYLAN
MTUNZI-JAPHET LUFUNGULO
SEHEMU-01
Nø-+255680113178
MWANZO
Ni majira ya jioni angani ambapo katika ndege moja ya kijeshi ndani yake walionekana wanajeshi wakiwa katika purukushani...
Yeah habari wana JF
Hii ni special thread kwa Hawa jamaa bongohoodz pichaz
Kama ni mpenzi wa movie zenye miondoko ya crimes basi Hawa jamaa ni best kwa hapa bongo maan movie nyingi hapa ni...
Binafsi nadhani burudani mwisho wa siku ipo kuburudisha na sio kuhakikisha mburudishaji mmoja anapata kiasi gani au kukosa kutokana na ujio wa hiki au kile; Ofcourse pale AI inapojifanya mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.