Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Sehemu ya 1. Naitwa Rojaz na nimezaliwa kwa wazazi ambao baba na mama matamanio yao ni kuona watoto wao tunasoma kwa bidii ili kuweza kufikia malengo yetu na ndoto ambazo wao kama wazazi...
47 Reactions
613 Replies
110K Views
Hapo zamani za kale palikuwa na Mfalme ambaye hakujali kitu chochote katika mamlaka yake isipokuwa mavazi yake, aonekane amependeza. Mfalme huyu hakufanya kazi wala hakupatiliza majukumu yake...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Redirect
29 Disemba, 2025 Baraza la Sanaa la Taifa kupitia kanuni ya 18.- kifungu (1) (a) na (b) ni msajili mkuu na mtoa vibali vyote vya kufanya kazi za Sanaa na kutoa vibali kwa makampuni, wadau...
6 Reactions
Replies
Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limekumbusha kuwa, kwa mujibu wa Kanuni za BASATA za mwaka 2018 na Tozo za mwaka 2025, waongoza sherehe, burudani na matukio (MC) pamoja na Manju Muziki (DJ)...
2 Reactions
37 Replies
916 Views
Kuna series moja nzuri sana ambayo sasa ndio inashika vichwa vya habari duniani kote na hii series inaitwa Tom Clancy's Jack Ryan. Mfululizo wa Tom Clancy’s Jack Ryan unamuhusu mwamba mmoja wa...
2 Reactions
8 Replies
573 Views
Wapenzi wa kuangalia action movies na Blockbuster movies karibuni tuweke maoni yetu. Tuambie nani unamkubali sana uingizaji wake au uhusika wake kwenye movie zilizo fanya vizuri sana. Hapo chini...
2 Reactions
24 Replies
499 Views
NINI SIRI YA NAFSI ZILIZO TELEKEZWA? Inahusu nini, inamhusu nani, kipi kipo nyuma yake? Ungana nami kwenye mtiririko huu uweze kuelewa NAFSI ZILIZO TELEKEZWA inahusu nini. Mwaka 1991, ni mwaka...
6 Reactions
253 Replies
63K Views
Lyrics Siku ya kwanza kukutana naye alikuja kwetu usiku, alikuta nimechoka nimetoka ku record usiku, walikua kama wanne hivi ndani ya gari aina ya chaser, wamejaa hangover utazani jana yake...
3 Reactions
7 Replies
996 Views
UPEPO WA USIKU-1 BONIFACE BIRAGE Upepo upima mti nguvu na kuuona uhodari wake katika kujishikilia udongoni kwa kuimrisha mizizi iliyojikita.Ndiyo falsafa ya maisha na mikumbo yake hujikita katika...
2 Reactions
66 Replies
27K Views
Netflix ni propaganda ya mlengwa wa kushoto wa kuigeuza dunia katika suicidal empathy juu ya upinde, kama uongo kagua shows mule ndio utaamini
6 Reactions
17 Replies
362 Views
Uenda maendeleo ya teknolojia, uwingi wa Smartphones, Online media, Podcasts kwa namna moja ama nyingine kumeathiri Programms nyingi za Main Streams kwa kiasi kubwa, kuna idadi kubwa ya watu...
1 Reactions
15 Replies
484 Views
Baada ya miaka 44 ya kuiburudisha dunia, hatimae MTV imesalimu amri mbele ya YouTube na TikTok. Soma zaidi... https://www.instagram.com/p/DS-AHXHFF22/?igsh=a29rb2JwZHJqbHZ3
3 Reactions
3 Replies
205 Views
"Leo" by Harmonize featuring Mbosso, produced by Mafia, is a heartfelt Bongo Flava love anthem that captures the raw honesty of falling deeply for someone at the most unexpected time. Harmonize...
3 Reactions
32 Replies
733 Views
Filamu zangu za mwaka ni; 1. Superman(2025) Wamemuonesha superman kwa usahihi kama alivyo kwenye vitabu. Mpole, anayejali watu na ni ishara ya matumaini. 2. Mickey 17(2025) Inaelezea vizuri...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Aisee kuna hii nyimbo inaitwa; “Sasa ni lunch time tufunge makazi,” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula! Plus kuna nyimbo za marehemu; Siri ya nini Sarafina Kachichi Hizi nyimbo hazinitoki.
5 Reactions
62 Replies
7K Views
Chombezo : Beki Tatu Mcharuko Sehemu Ya : Kwanza (1) “Shogaa yule mfanyakazi nimeshampata ni wewe tu uje kumchukua maana kadada kenyewe kamekaa kazungukazungu kasije kuniibia mume haka.” “Mhhh...
5 Reactions
25 Replies
37K Views
TAARIFA KWA UMMA KUANZA KWA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA KAMATI YA KITAIFA YA TUZO ZA MUZIKI TANZANIA (TMA) Baraza la Sanaa la Taifa linapenda kuufahamisha umma wa Watanzania na wadau wote wa...
1 Reactions
2 Replies
946 Views
Huyu hapa msanii kipenzi cha Gen Z, akitumbuiza goma lake pendwe la "mshike kende, bonyeza pembe, kende ndende ndendeee". show ilipigwa Maeneo ya Gaza kimara
0 Reactions
1 Replies
240 Views
https://jumpshare.com/s/BPRuo4CnmKJMIEkfPZe4
0 Reactions
0 Replies
137 Views
Kuanzia tarehe moja August taanza likizo ya mwezi mmoja, nimeplan kufanya road trip kuanzia Dar - Moshi - Arusha - Babati-Mara- mwanza-Geita-Kagera...
1 Reactions
8 Replies
474 Views
Back
Top Bottom