Dear Nyerere,
Remember the country you fought for its independence without any blood shed
Now the blood is heavily flowing within the streets
Its funny because the colonialists left without need...
Kama kichwa cha Uzi hapo juu na wale waliowahi kupitia Uzi wa kula Tunda Kimasihara wa rikiboy watakuwa wanaelewa ninachomaanisha.
Hizi ni movie ambazo Maudhui yake yamehusisha washiriki wake...
MTUNZI: ERICK NZIKU
SEHEMU YA KWANZA
BINTI WA RAISI
Naitwa James david Massawe ni mzaliwa wa Same, Kilimanjaro, naishi na wazazi wangu wote wawili na nna wadogo wawili john na jenny. Maisha...
Annex 3
LOST BOB MARLEY ALBUMS 1972-1980
Although it is an interesting field of study, how Bob Marley developed the songs while recording a couple of different demos with alternate vocals, there...
Simulizi; MLANGO WA 77 "DOOR 77"
Mtunzi; Robert Heriel
Taikon Publishers
0693322300
EPISODE 01.
Mvumo wa sauti za chura uliendelea kuvuma kama kwaya ya Akapella huku masalia ya matone ya mvua...
Wakuu leo tuchambue kidogo ubunifu uliofanywa kwenye huu wimbo wa NANI uliochapishwa na Diamond dakika 30 zilizopita kwenye channel yake ya You Tube.
Tukianzia story telling aliyoitumia hadi...
Ni movie inahusiana na jamaa ambaye ni mstaafu wa jeshi anajikuta anamsaidia bidada mrembo ambaye alikuwa kwenye Hali mmbaya ambaye hamfahamu.
Bidada huyo hana kumbukumbu kwa kile kilichomtokea...
Simulizi : C.O.D.EX. 1
Mwandishi : TARIQ HAJI
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
C.O.D.EX. 1 ................... SEHEMU YA 1
Allen James ni jina langu, ni dereva wa taxi katika jiji moja maarufu...
Kwa upande wangu...
1. Good Kid Maad City - Kendrick Lamar
2. The Verteller - Dizasta Vina
3. Damn - Kendrick Lamar
4. Doo-Whoop & Hooligans - Bruno Mars
5. Bad - Michael Jackson
Mtoto wa Kanye West na Kim Kardashian aitwaye North amesema kama akiulizwa aishi na nani basi ni bora aishi na baba yake kuliko mama yake, tena atachagua hivyo hata akiulizwa mara elfu moja...
Wakuu naombeni mnisaidie application yoyote ile ambayo naweza kudownload movies maana kuna movie au tamthliya naitafuta inaitwa orphan of a nation so nataka niidownload aisee
Mwaka 2014 na 2015 ulikuwa ni wakati wa dhahabu kwa mashabiki wa burudani nchini Tanzania, hasa wale waliopenda muziki na sanaa ya uchezaji. Mashindano ya Dance Mia Mia yaliyokuwa yakirushwa...
Ningependa kuona nyimbo nyingi za zamani ambazo zilitamba na hazikuwa na video zikitengenezewa video. Mad Ice ni kama kashoot video na kama kurudia kuimba wimbo upya, sound ya audio sasa hivi...
Wapendwa hivi shalo tina tina maana yake nini?
Nimekuwa nikisikia haka ka msemo bila kufanikiwa kujua maana yake. Maeneo nilipo sikia ninapokumbuka ni kwenye baadhi ya mashairi ya nyimbo za...
SURA YA KWANZA
Makaburi ya mashujaa wa vita vya dunia, Kijijini Mahiwa, Lindi.
Kadamnasi ya watu walikuwa wamekusanyika wakiwa wamejikunyata vikundi vikundi. Nyuso zao zimegubikwa na majonzi na...
Kuna kundi la watu linalokua kwa kasi ya ajabu sana katika ulimwengu wa burudani – wale wanaopenda kutazama filamu na tamthilia za wauaji (serial killers). Wengine wanajitapa kwamba wameangalia na...
JISOO and ZAYN Team Up for Emotional New Single “EYES CLOSED”
K-pop and pop music fans have a reason to celebrate: JISOO and ZAYN have finally teamed up for their first-ever collaboration, “EYES...
Hadhira ambayo ilikusanyika kutazama filamu katika Ukumbi wa La Plata huko Argentina walipata zaidi ya walichokilipia wakati wa kutazama filamu ya Final Destination: Bloodlines.
Katika hali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.