juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
Kama hujui hip hop au Kama umeujua muziki baada ya Diamond au kama umejua muziki wa hip hop baada ya kumsikia Nikki mbishi au Songa basi naomba uachane na huu uzi Maana itakuwa hujui nyimbo nyingi.
Hizi ndio chorus kali kuwahi kutokea Bongo tangu muziki wa hiphop ukue.
1: Tathimini ya Prof. Jay feat Jay Moe
2: Mtazamo ya Prof. Jay, Afande Sele na Solo Thang
3: Sugu moto chini ya Jongwe a.k.a Sugu
4: Mvua na jua ya Jay Moe
5: Zamu yangu ya Joe Makini
6: Hii leo ya East Coast Team
7: Nini mnataka ya Pig Black
8: Nikizipata ya Eruka
9: Igo la mwaka ya Fanani
10: Nisikilize ya Pig Black feat Mr. Blue
11: Mwanangu huna nidhamu ya Dudu Baya
12: New era ya new generation humu kuna Stereo, One, Gozib, Young Killer, Izzo b na Cyril na Mabestie
13: Fanya fasta ya TLST
14: Trak tatu ndani ya traki moja ya Stopa Rhymes
15: DSM stand up ya Chid Benz
16: Sio lazima ya Watengwa
17: Kina kirefu ya Mansoor
18: Raha tu (original na sio remix) ya Ay
18: Miiko ya rap ya Crazy Gk ft Ay yaani humu ndani Ay alipiga chorus tamu sana
19: Hiphop ya marehemu Vivian feat Ay(humu pia Ay alinyonga bonge la chorus)
20: Yo maam Sapu ya Hard Blasters.
Niambie wewe za kwako ni zipi? Kumbuka hapa naongelea nyimbo ambazo zina chorus ya kurap na zikahit.
Hizi ndio chorus kali kuwahi kutokea Bongo tangu muziki wa hiphop ukue.
1: Tathimini ya Prof. Jay feat Jay Moe
2: Mtazamo ya Prof. Jay, Afande Sele na Solo Thang
3: Sugu moto chini ya Jongwe a.k.a Sugu
4: Mvua na jua ya Jay Moe
5: Zamu yangu ya Joe Makini
6: Hii leo ya East Coast Team
7: Nini mnataka ya Pig Black
8: Nikizipata ya Eruka
9: Igo la mwaka ya Fanani
10: Nisikilize ya Pig Black feat Mr. Blue
11: Mwanangu huna nidhamu ya Dudu Baya
12: New era ya new generation humu kuna Stereo, One, Gozib, Young Killer, Izzo b na Cyril na Mabestie
13: Fanya fasta ya TLST
14: Trak tatu ndani ya traki moja ya Stopa Rhymes
15: DSM stand up ya Chid Benz
16: Sio lazima ya Watengwa
17: Kina kirefu ya Mansoor
18: Raha tu (original na sio remix) ya Ay
18: Miiko ya rap ya Crazy Gk ft Ay yaani humu ndani Ay alipiga chorus tamu sana
19: Hiphop ya marehemu Vivian feat Ay(humu pia Ay alinyonga bonge la chorus)
20: Yo maam Sapu ya Hard Blasters.
Niambie wewe za kwako ni zipi? Kumbuka hapa naongelea nyimbo ambazo zina chorus ya kurap na zikahit.