GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
Nasikia Kiingilio ni Bure na Bia nazo ni bure kwa idadi uitakayo halafu Wanawake wote wanatakiwa Kuvaa Madela ila ndani wawe Watupu tu
Vile vile Watumbuizaji wakuu ni Christian Bella na Mboso na hivi sasa Saa 6 na dakika 57 hii Mvua ikiwa inanyesha Mboso ndiyo anaanza Kupanda Stejini.
Mimi GENTAMYCINE nitakuja mida ya Saa 8 baadae na Marafiki zangu wenye Camera za Kisasa kabisa na Uweledi wa Kiujasusi kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, Malawi, Marekani, Israel na Zambia ambao Wote wanafanya Kazi katika Majeshi yao ili Waone Ubunifu wa Jeshi la Tanzania kwa Kuanzisha Baa Kubwa eneo Sensitive Kimedani ili na Wao wakirejea Makwao wakauige huu Upuuzi ( Uvaluvalu ) uliovuka Kiwango.
Tayari Jeshi Lina Ukumbi wake mkubwa tu wa ndani Lugalo ambao unaweza kufanyia Shughuli yoyote / Tamasha lolote lile na kujipatia Kipato ila leo kwa Upang'ang'a ( Upumbavu ) wetu tumeamua ku 'Commercialize' Jeshi letu na kufanya Mzaha ambayo GENTAMYCINE nasema ipo Siku tutakuja Kujuta.
Kwakuwa Jeshi letu la JWTZ limeamua kwa Makusudi ku 'Commercialize' maeneo yake Nyeti kama hapo Lugalo ( Kawe kwa Maasai ) GENTAMYCINE nashauri pia Watu wa Ikulu za Magogoni na ile ya Chamwino Wajitahidi nao watuwekee Raia wa Kawaida Ukumbi wa Kustarehe ( Kula Bata ) kwakuwa Tanzania yetu Kiusalama ndiyo Namba Moja duniani, tuna Jeshi Bora duniani na hatuna wa Kututisha kwa lolote lile na kamwe Tanzania hii hakutotokea Mashambulizi ya aina yoyote toka kwa Magaidi au Maadui Jirani.
Mtakaonielewa mbarikiwe sana tu!!!!
Vile vile Watumbuizaji wakuu ni Christian Bella na Mboso na hivi sasa Saa 6 na dakika 57 hii Mvua ikiwa inanyesha Mboso ndiyo anaanza Kupanda Stejini.
Mimi GENTAMYCINE nitakuja mida ya Saa 8 baadae na Marafiki zangu wenye Camera za Kisasa kabisa na Uweledi wa Kiujasusi kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, Malawi, Marekani, Israel na Zambia ambao Wote wanafanya Kazi katika Majeshi yao ili Waone Ubunifu wa Jeshi la Tanzania kwa Kuanzisha Baa Kubwa eneo Sensitive Kimedani ili na Wao wakirejea Makwao wakauige huu Upuuzi ( Uvaluvalu ) uliovuka Kiwango.
Tayari Jeshi Lina Ukumbi wake mkubwa tu wa ndani Lugalo ambao unaweza kufanyia Shughuli yoyote / Tamasha lolote lile na kujipatia Kipato ila leo kwa Upang'ang'a ( Upumbavu ) wetu tumeamua ku 'Commercialize' Jeshi letu na kufanya Mzaha ambayo GENTAMYCINE nasema ipo Siku tutakuja Kujuta.
Kwakuwa Jeshi letu la JWTZ limeamua kwa Makusudi ku 'Commercialize' maeneo yake Nyeti kama hapo Lugalo ( Kawe kwa Maasai ) GENTAMYCINE nashauri pia Watu wa Ikulu za Magogoni na ile ya Chamwino Wajitahidi nao watuwekee Raia wa Kawaida Ukumbi wa Kustarehe ( Kula Bata ) kwakuwa Tanzania yetu Kiusalama ndiyo Namba Moja duniani, tuna Jeshi Bora duniani na hatuna wa Kututisha kwa lolote lile na kamwe Tanzania hii hakutotokea Mashambulizi ya aina yoyote toka kwa Magaidi au Maadui Jirani.
Mtakaonielewa mbarikiwe sana tu!!!!