Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,421
- 7,911
Salaam wazee wa kambi.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, japo nilikua mdogo ila baadhi ya maneno katika nyimbo hizo nayakumbuka.
1. Muongo mbeya anauaa
2. Nyumba ya jirani yetu inateketea moto twende tukazime
3. Shime shime jaman, shimeshime kuomba tukazanee kuomba
4. Nakazi halina aibuu!
Mwisho ntafurahi sana sana nikipata nyimbo hizi na nitaamini kweli hapa jf ni kunawatu wanatunza vitu kwanamna nilivyo zika hizo nyimbo bila mafanikio.
Namaliza na shukrani.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, japo nilikua mdogo ila baadhi ya maneno katika nyimbo hizo nayakumbuka.
1. Muongo mbeya anauaa
2. Nyumba ya jirani yetu inateketea moto twende tukazime
3. Shime shime jaman, shimeshime kuomba tukazanee kuomba
4. Nakazi halina aibuu!
Mwisho ntafurahi sana sana nikipata nyimbo hizi na nitaamini kweli hapa jf ni kunawatu wanatunza vitu kwanamna nilivyo zika hizo nyimbo bila mafanikio.
Namaliza na shukrani.