Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

  • Poll Poll
Salamu nazitia kapuni naenda moja kwa moja kwenye mada. Je, mziki wa Tanzania (BongoFleva) unaweza kutusua na kuwekewa category yake pekee kwenye platform kubwa za mziki kama Billboard Hot...
0 Reactions
0 Replies
366 Views
Kiukweli huyu jamaa anajua mnoo ameandaa tamthilia kadhaa kama vile saluni ya mama kimbo, Kombolela na sasa tamthilia ya zahanati ya kijiji. Mwisho natoa rai kwa waongozaji wengine wa tamthilia...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Wana hip hop hamjambo? Aisee hii diss ya dkk 8 ya DIZASTA VINA ni balaa, mtoto RAPCHA amechanwa mno umo ndani. Siku zingine apunguze kiherehere, maradona DIZASTA ni moto sana kwa kizazi iki kwa...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Nakumbuka kuanzia miaka ya 1990 Hadi 2006 na sita hivi, nilikuwa napenda Sana movie za kihindi... My favorite actor ni mzee mzima Sunny Deol... My favorite movie inaitwa Ziddi... Je, wewe ndugu...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za Kongo, Mfalme JEAN BEDEL MPIANA wa TSHITUKA aka PAPAA CHERII aka MUKULU aka SOUVEREIN 1er aka BIN ADAM aka LEADER CHARISMATIQUE aka MOTO PAMBA ameamua kutuzawadia...
2 Reactions
0 Replies
511 Views
MTUNZI:MSANII JOTO LA MOTO SEHEMU YA KWANZA MSITUNI-JIONI Hali ya utulivu imetawala, huku sauti za Ndege na mivumo ya matawi ya miti inayopulizwa na upepo ikisikika, mara unasikika MNGURUMO WA...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
SIMULIZI: NILIVYOMPA MIMBA BINTI WA KAZI, IKATUNGA NJE YA KIZAZI. SEHEMU YA KWANZA (01) MTUNZI @middotz_ “Aisee kumbe hivi ndio watu hukataa mimba! ndio nagundua leo ukiwa hujajipanga” Jina...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
DRUG LORDS Wanasiasa walilalamika! Wafanyabiashara walilalamika! Viongozi wa dini walilalamika! Kila mtu alilalamika Yes! Mtu yeyote aliyekuwa kwenye ile orodha alilalamika. Msingi wa...
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni kama ule ubishani nani msanii bora Kati ya lucky dube na Bob Marley unashangaza kidogo japo kwangu lucky dude ni msanii bora kuliko Bob Marley the same kwa madilu systerm na franco luambo...
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Niaje, najua wengi wetu tuna ka addiction flani kwenye hii tasnia mi nikiwa na ulevi kabisa wa hizi Mambo. Najua tunatofautiana hasa kwenye categories za games tunazopendelea, upande wangu...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO) SEHEMU YA 01 Mtunzi: HASHIMU AZIZI “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimesema fungua! Fungua kwa hiyari yako!”...
12 Reactions
384 Replies
98K Views
Jamaa ana ujumbe mzuri sana, Japo kachanganya na kilugha huu wimbo ni elimu tosha. Sema tu binadamu wagumu. Kuelewa.
3 Reactions
2 Replies
514 Views
Wanasema zubaa uchekwe na Ujanja ni kupata/kuwahi, Unaweza ukawa uliisha isikia redio inaitwa TONE RADIO (TONE MEDIA COMPANY) Hawa jamaa waliibuka mnamo mwaka 2012 wakiwa na namna ya urushaji wao...
5 Reactions
61 Replies
10K Views
Hadithi: TEARS IN MY HEART {Machozi moyoni mwangu} Mtunzi: SALUM SAID NGUATE Simu:0784989666 Sehemu ya KWANZA Nadhani alikua muhanga wa MOYO wake mwenyewe. MOYO wake unamnisaliti kila iitwapo...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Hadithi: TEARS IN MY HEART {Machozi moyoni mwangu} Mtunzi: SALUM SAID NGUATE Simu:0784989666 Sehemu ya KWANZA Nadhani alikua muhanga wa MOYO wake mwenyewe. MOYO wake unamnisaliti kila iitwapo...
0 Reactions
0 Replies
275 Views
Hadithi: TEARS IN MY HEART {Machozi moyoni mwangu} Mtunzi: SALUM SAID NGUATE Simu:0784989666 Sehemu ya KWANZA Nadhani alikua muhanga wa MOYO wake mwenyewe. MOYO wake unamnisaliti kila iitwapo...
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Naanza Tekno Joh Makini Baraka da prince Temba Tunda man Rose Muhando Tuendelee
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Kama ilivyo Katika michezo mingine ya Maigizo Kama vile Film, Pia mchezo huu wa Mieleka ni Maigizo so kweli unacho ona hapo ni 100% ukweli hapana. Michezo hiyo hua imeandaliwa kua pambano hili...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wimbo wa champion at first time niliuona kwenye status ya rafiki yangu, maneno yake yalinivutia hasa pale anaposema "tumeishi na watu wanaoamini kuwa bahati bahati zote alipangiwa Bukuku" enewei...
6 Reactions
29 Replies
5K Views
Nahitaji kufika hapo na hasa kuonana na CEO kwa lengo la kuteta kidogo kuhusu wimbo fulani mpya Najua iko sinza ila eneo gani ndio sijajua. Mwenye ufahamu tafadhali tujulishane
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…