Salamu nazitia kapuni naenda moja kwa moja kwenye mada. Je, mziki wa Tanzania (BongoFleva) unaweza kutusua na kuwekewa category yake pekee kwenye platform kubwa za mziki kama Billboard Hot...
Kiukweli huyu jamaa anajua mnoo ameandaa tamthilia kadhaa kama vile saluni ya mama kimbo, Kombolela na sasa tamthilia ya zahanati ya kijiji.
Mwisho natoa rai kwa waongozaji wengine wa tamthilia...
Wana hip hop hamjambo?
Aisee hii diss ya dkk 8 ya DIZASTA VINA ni balaa, mtoto RAPCHA amechanwa mno umo ndani. Siku zingine apunguze kiherehere, maradona DIZASTA ni moto sana kwa kizazi iki kwa...
Nakumbuka kuanzia miaka ya 1990 Hadi 2006 na sita hivi, nilikuwa napenda Sana movie za kihindi...
My favorite actor ni mzee mzima Sunny Deol...
My favorite movie inaitwa Ziddi...
Je, wewe ndugu...
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za Kongo, Mfalme JEAN BEDEL MPIANA wa TSHITUKA aka PAPAA CHERII aka MUKULU aka SOUVEREIN 1er aka BIN ADAM aka LEADER CHARISMATIQUE aka MOTO PAMBA ameamua kutuzawadia...
MTUNZI:MSANII JOTO LA MOTO
SEHEMU YA KWANZA
MSITUNI-JIONI
Hali ya utulivu imetawala, huku sauti za Ndege na mivumo ya matawi ya miti inayopulizwa na upepo ikisikika, mara unasikika MNGURUMO WA...
SIMULIZI: NILIVYOMPA MIMBA BINTI WA KAZI, IKATUNGA NJE YA KIZAZI.
SEHEMU YA KWANZA (01)
MTUNZI @middotz_
“Aisee kumbe hivi ndio watu hukataa mimba! ndio nagundua leo ukiwa hujajipanga”
Jina...
DRUG LORDS
Wanasiasa walilalamika!
Wafanyabiashara walilalamika!
Viongozi wa dini walilalamika!
Kila mtu alilalamika
Yes! Mtu yeyote aliyekuwa kwenye ile orodha alilalamika.
Msingi wa...
Ni kama ule ubishani nani msanii bora Kati ya lucky dube na Bob Marley unashangaza kidogo japo kwangu lucky dude ni msanii bora kuliko Bob Marley the same kwa madilu systerm na franco luambo...
Niaje, najua wengi wetu tuna ka addiction flani kwenye hii tasnia mi nikiwa na ulevi kabisa wa hizi Mambo.
Najua tunatofautiana hasa kwenye categories za games tunazopendelea, upande wangu...
THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO) SEHEMU YA 01
Mtunzi: HASHIMU AZIZI
“Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!”
“Nanii?”
“Fungua!”
“Jitambulishe kwanza, wewe nani?”
“Nimesema fungua! Fungua kwa hiyari yako!”...
Wanasema zubaa uchekwe na Ujanja ni kupata/kuwahi,
Unaweza ukawa uliisha isikia redio inaitwa TONE RADIO (TONE MEDIA COMPANY) Hawa jamaa waliibuka mnamo mwaka 2012 wakiwa na namna ya urushaji wao...
Hadithi: TEARS IN MY HEART {Machozi moyoni mwangu}
Mtunzi: SALUM SAID NGUATE
Simu:0784989666
Sehemu ya KWANZA
Nadhani alikua muhanga wa MOYO wake mwenyewe. MOYO wake unamnisaliti kila iitwapo...
Hadithi: TEARS IN MY HEART {Machozi moyoni mwangu}
Mtunzi: SALUM SAID NGUATE
Simu:0784989666
Sehemu ya KWANZA
Nadhani alikua muhanga wa MOYO wake mwenyewe. MOYO wake unamnisaliti kila iitwapo...
Hadithi: TEARS IN MY HEART {Machozi moyoni mwangu}
Mtunzi: SALUM SAID NGUATE
Simu:0784989666
Sehemu ya KWANZA
Nadhani alikua muhanga wa MOYO wake mwenyewe. MOYO wake unamnisaliti kila iitwapo...
Kama ilivyo Katika michezo mingine ya Maigizo Kama vile Film, Pia mchezo huu wa Mieleka ni Maigizo so kweli unacho ona hapo ni 100% ukweli hapana.
Michezo hiyo hua imeandaliwa kua pambano hili...
Wimbo wa champion at first time niliuona kwenye status ya rafiki yangu, maneno yake yalinivutia hasa pale anaposema "tumeishi na watu wanaoamini kuwa bahati bahati zote alipangiwa Bukuku" enewei...
Nahitaji kufika hapo na hasa kuonana na CEO kwa lengo la kuteta kidogo kuhusu wimbo fulani mpya
Najua iko sinza ila eneo gani ndio sijajua.
Mwenye ufahamu tafadhali tujulishane