kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 721
- 907
Kiukweli huyu jamaa anajua mnoo ameandaa tamthilia kadhaa kama vile saluni ya mama kimbo, Kombolela na sasa tamthilia ya zahanati ya kijiji.
Mwisho natoa rai kwa waongozaji wengine wa tamthilia kujifunza kwake kuanzia katika uandaaji, maudhui nk ili kutengeneza tamthilia zenye ubora ili kazi zetu za hapa ndani ziweze kufanya vizuri katika uga wa kimataifa
Naomba kuwasilisha wakuu.
Uzi tayari
Mwisho natoa rai kwa waongozaji wengine wa tamthilia kujifunza kwake kuanzia katika uandaaji, maudhui nk ili kutengeneza tamthilia zenye ubora ili kazi zetu za hapa ndani ziweze kufanya vizuri katika uga wa kimataifa
Naomba kuwasilisha wakuu.
Uzi tayari