1- taylor swift anti hero
2- mbosso huyu hapa
3- SZA nobody gets me
4- kizz daniel cough
5- Drake ft 21savage Rich flex
6- The weekend die for you
7- rema ft sele gomez calm down
8- the kid...
Mfanyabiashara na Meneja wa Masuala ya Sanaa nchini, Sallam SK Mendez, amefunguka kuhusu taarifa za mtandaoni zinazodai kuwa ameiacha Lebo ya Wasafi Record ya Diamond Platnumz (WCB) kujiunga lebo...
Washaimba wasanii nyimbo nyingi kuelezea nafasi ya mwanamke katika jamii, Washaandika waandishi wengi wa hadithi na vitabu kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii.
Serikali na asasi za kiraia...
Ni series ya muendelezo wa ile iliyo tangulia ya game of thrones kutoka HBO..
Series ime base na House Tygaryan ambao ni dragons rider na rulers wa Seven Kingdoms za westoras ambao ki asiri wao...
Katika wimbo wa Dulla Makabila wa Pita huku, kaelelezea hukumu ya adhabu ya moto wa milele. Kwamba hukumu hii inaweza kumpata yeyote kutegemea na matendo yake maovu aliyoyafanya hapa Duniani...
Wakuu amani itokayo juu iwe nanyi. Amina. Nashauri miziki ya baongo fleva na bolingo iwe rated above 18 ili iwekwe mbali na watoto. Huwa nasikitika sana kula niwapo safarini kuona aina ya miziki...
Tumezoea kuona drama au series za Korea.Ila ni mara chache kusikia watu wakiongelea movie za Korea,au wengine hua wanaziona ila wanadhani zinatoka China.
Movie za Korea zipo na zinafanya vizur...
Rapa Tory Lanez mwenye asili ya Canada amekutwa na makosa 3 ya Kushambulia kwa kutumia Silaha aina ya Bastola, Kubeba Bastola yenye Risasi ikiwa ambayo haina usajili na Kufyatua Bastola hiyo kwa...
KISANGA!!!
(Hisia za Mrithi)
Mtunzi: Akida Siri Rambao
Contact: 0658328596
Email: akidasiri@gmail.com
MSIMU WA 1
NCHINI ZHONGO
SEHEMU YA 1A
KITONGOJI CHA NYAKWA-WILAYA YA CHOZI
Sauti yenye...
Hakuna ubish, Bongo Fleva ni Moja ya muziki pendwa Afrika mashariki na kati. Huu uwe kumbukumbu ya nyimbo zote za Bongo Fleva ambazo zilishawahi kuwa hit song.
Unjani sabuwona,
Kiukweli nimependa Ubunifu wa dulla makabila! Nyimbo imekamilika kila idara kila kitu alichoongea makabila kina uhalisia kabisa
Nimependa idea ya dulla makabila kumtumia...
Kama sio kosa kidini kutumia maneno yasiyo rasmi, ninatamani mziki wa kileo/bongo flavor itumike kueneza neno la Mungu.
Nimesikiliza wimbo wa PITA HUKU wa Dulla Makabila wimbo umeyasema yale...
Nadhani ifikie mahali kila msanii anapotaka kuweka maneno au Vionjo vinavyo husu Imani za Kidini ndani ya Wimbo au video yake.
Msanii huyo azingatie Dini yake kama ni Mkristo afanye kulingana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.