Unaionaje show ya Mr Right?

Ile n biashara 100% pale kila mshiriki analipwa kwa show mpaka mashabiki wanalipwa 10000 kama naul na wale mr right n 100000 wadada n 50000 mana wao wanakaa muda mrefu pale jukwaan mkishatoka apo kila mtu na harakati zake labda manz awe kakuelewa ndio utaendelea kumchimba
 
Back
Top Bottom