Hata MimiNdie yeye huyo halafu Queen Darleen nilimuona mzuri kwenye ule wimbo wa
Queen Darlene ft Ali Kiba - Si unajua nakupenda
Kiswahili fasaha ni wimbo wa....Wakuu Leo nilikua najikumbusha kuangalia nyimbo za bongo fleva za zamani, hivi Ile nyimbo ya Abby skills ft Mr blue. Mimi wewe, yule demu alietumika mule kwenye video sio qeeen daaring kweli au nimefananisha?