Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kama uliiona moja na mbili ya tatu imeachiwa hd leo.
2 Reactions
16 Replies
1K Views
The series dramatizes the history of "Easy" Company, 2nd Battalion, 506th Parachute Infantry Regiment of the 101st Airborne Division, from jump training in the United States through its...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Ipi nyimbo kalii na beats kalii kati ya hizi nas i can na dr dre still dre
0 Reactions
2 Replies
466 Views
Hongereni sana watani kwa kuvunja mwiko wa miaka 25 na kutinga makundi ya Klabu bingwa Afrika kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1998. Ni jambo kubwa sana kwa wana Uto wote. Mnastahili pongezi. Japo...
2 Reactions
6 Replies
748 Views
Sikumbuki jina la choir. Ila wanaimba "Mimi ni kitu gani Bwana uniokoe Ninapojitazama mimi sistahili Ninazo dhambi tele Shetani kanisonga Yesu uniokoe Unishike mkono bwana Ni moja ya choir za...
1 Reactions
0 Replies
647 Views
Hawa jamaa mwaka huu wapo kimya, Kwa kawaida harakati zamsimu wao wa fiesta huanza mwezi wa saba mpaka sada tumeifikia october ambapo huwa fiesta inakua inakaribia kuhitimishwa Bila shaka huenda...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Tumpe maua yake Wallace Karia Soka la Tanzania limepiga hatua kubwa sana
3 Reactions
17 Replies
784 Views
Katika watu waliotulia na kuandika series hakuna kama walioandika The Sopranos.
3 Reactions
44 Replies
5K Views
Akiwa kama mwanamuziki maarufu na anayekubalika zaidi, nyimbo zake nyingi anahamasisha mambo yasiyofaa kwenye maadili, nyimbo zake nyingi zinabomoa zaidi jamii kuliko kujenga jamii. Ombi kwake na...
26 Reactions
143 Replies
7K Views
Habari za jumapili Naam ni wikiendi Leo baada ya mihangaiko ya kutafuta chapaa Tunajiliwaza na starehe tunazoona zinatufaa Mimi binafsi ni mlevi wa movie & music beer Kidogo Kuna hiki Chuma...
0 Reactions
2 Replies
451 Views
Wale wenzangu na mie tunaochungulia Kenya kwenye tasnia ya muziki, hasahasa muziki wa hawa malijendari Sauti Sol tukutane hapa: (a) Tujuzane the best song of each one humu jf. Kwa kuanzia napenda...
2 Reactions
8 Replies
849 Views
Hii ni simulizi ya yaliyomtokea mtoto wa marehemu rafiki yangu Mwinyi Mkila wa Bagamoyo. *********** 1. ALFA Nilifahamiana na Mwinyi Mkila katika harakati za kutafuta shamba Bagamoyo na hatimaye...
31 Reactions
280 Replies
35K Views
Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo. Hivyo tu.
41 Reactions
241 Replies
21K Views
Eti nani alikuwa mpiga gitaa bora zaidi kati ya hawa watatu 1. Lokasa ya mbongo 2. Dally Kimoko 3. Diblo Dibala Japo kuna watu kama Nene Tchakou
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Maulid njema wapendwa ndg zangu Waislam. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkuu. Ila tunamchosha Kwa kutokuchungulia fursa alizotupatia. The Ramadhan Brothers wamefanikiwa kuchukua nafasi ya 5. Ni...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Hii ni orodha tukufu ya makundi yaliyoweka alama kwenye muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania. Nyimbo zao zikipigwa hadi leo zinasisimua. 1. Hard Blasters Crew (HBC) Kundi liliundwa na Profesa...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Aya baada ya mizunguuko ya maisha kula ngoma hiyo
3 Reactions
7 Replies
390 Views
Mwenye hii movie ya NSYUKA(part 1&2) msaaada tafadhali. Au ambaye anajua mahali naweza kuidownload yote FULL naomba LINK tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
SEHEMU YA 1 A. NINAITWA MTUMISHI PAPA Mtumishi Papa: Penny wewe unapenda stori jaman sijakuona sikunyingi ujue! Money Penny: basi tukasalimiana hapo wee tukajikumbushia ya zamani akyanani...
13 Reactions
290 Replies
38K Views
Namkubali sana T.I, jamaa lyrics ipo mahali pake na flow.
1 Reactions
0 Replies
490 Views
Back
Top Bottom