nentewene Senior Member Jun 9, 2017 144 94 Jan 12, 2024 #1 Kitumbua cha asubui, kina raha yake. Watoto wadogo hawajui, kinavyotutoa upweke. Usiombe kikiwekwa tui, utakula usichoke. Ninyime vyote asubui, ila kitumbua ukiweke. Usikifunike baibui, ukafanya nikisake. Kwako wew mie hoi, nipe usinichoke.
Kitumbua cha asubui, kina raha yake. Watoto wadogo hawajui, kinavyotutoa upweke. Usiombe kikiwekwa tui, utakula usichoke. Ninyime vyote asubui, ila kitumbua ukiweke. Usikifunike baibui, ukafanya nikisake. Kwako wew mie hoi, nipe usinichoke.
makaveli10 JF-Expert Member Mar 27, 2013 28,182 81,116 Jan 12, 2024 #2 Morning glory... Na hali ya hewa hii, umkunje mtoto wa mtu kama samaki.. 😋😋
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,559 142,334 Jan 12, 2024 #3 Antonnia nipatie kitumbua cha asubuhi...