Kwa wapenzi wakuangalia Movies, ni Kampuni gani kati ya hizi ukiiona kwenye movie unakuwa na hamu ya kuangalia hiyo Movie.
Mimi ni WB (Warner Bros)
Boqin Naomba ubadilishe Thread Title...
Hi guys nyimbo Kali nyingi zilitungwa kipindi hicho kama vile
1)Dynamite ya taio Cruz
2)International love ya pitbull ft Chris brown
3)Coconut tree ya mohombi
4)Bumpy ride ya mohombi
5)Moves like...
LANGA alikuwa Msanii wa Hip-hop hapa Bongo,Alijulikana sana kupitia mashindano ya Coca-cola Pop Star akiwa na wenzie,1.Sarah Kaisi - Shaa2. Witnes Mwaijage - Witness3.Langa Kileo - LangaNgoma yao...
Kulikuwa na bifu lililotikisa miaka ya mwanzoni ya 2000 kati ya TMK na east coast, kipindi hiko watoto wengi wa 2000 ndo walikuwa wakitungwa so hawajui lolote.
Gk kupitia truck yake kali ya hii...
Let me go bare knuckles.
Our majirani (Tanzanian) are needful lot. They depend on The Storybook, a show on Wasafi TV, hosted by Jamal April who translates Wikipedia stories to Swahili while...
Binafsi nmeona vitu vitatu Kwa la masimba dangote
1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako...
Hapa ni maduu, mabitozi na machizi wa kipindi hiyo.
Hili goma la mtu mzima joslin lina kukumbusha wapi na tukio gani ?
Hili goma lina historia nami nzito sana kila nikikumbuka huwa nabaki...
Kuna wimbo unaitwa "Huu Mwaka".
Kiukweli huu wimbo leo ndio mara yangu ya kwanza kuusikia. Nimeshangaa sana kusikia muimbaji akisema "Kudanga Danga sana ila usisahau kujenga kibanda"
Wimbo kama...
Licha ya kutafuta sana mitandaoni sijafanikiwa kuona kazi za hapa karibuni kutoka kwa hawa wadada wawili, kazi zao ni zile zile za zamani.
Hivi bado wapo kwenye tasnia au walishastaafu?
Kichwa kinajieleza, Kuna baadhi ya muvie na simulizi ukiziangalia basi unajikuta umewakubali sana baadhi ya wahusika. Kwa mimi ni kama ifuatavyo:
1. Pedro Alonso/Berlin - Money heist
Jamaa ana...
MAMA’KE MAMA - 1
IMEANDIKWA NA : GEORGE IRON MOSENYA
********************************************************************************
Simulizi : Mama’ke Mama
Sehemu Ya Kwanza (1)
Laiti kama...
Naona vipaji vya kawaida sana na hawazitendei hali nyimbo wanazoimba.
Kuna wimbo aneimba Allan nipeni dili,uliwahi kuimbwa na mshiriki mmoja binti alikiwasha sana na ninakiri mimi ndipo nilianza...
Sehemu ya kwanza:
Nilikua peke angu chumbani, ni siku muhimu kwangu kuliko siku zote nimewahi ishi katika umri huu wa miaka ishirini na moja, mwanaume niliempenda sana tangu nikiwa kidato cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.