Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wapenzi wakuangalia Movies, ni Kampuni gani kati ya hizi ukiiona kwenye movie unakuwa na hamu ya kuangalia hiyo Movie. Mimi ni WB (Warner Bros) Boqin Naomba ubadilishe Thread Title...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Hi guys nyimbo Kali nyingi zilitungwa kipindi hicho kama vile 1)Dynamite ya taio Cruz 2)International love ya pitbull ft Chris brown 3)Coconut tree ya mohombi 4)Bumpy ride ya mohombi 5)Moves like...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
LANGA alikuwa Msanii wa Hip-hop hapa Bongo,Alijulikana sana kupitia mashindano ya Coca-cola Pop Star akiwa na wenzie,1.Sarah Kaisi - Shaa2. Witnes Mwaijage - Witness3.Langa Kileo - LangaNgoma yao...
12 Reactions
22 Replies
4K Views
Hapa Bambo kule Kingwendu nani kaangusha Melodies kali zaidi?
0 Reactions
7 Replies
611 Views
Kulikuwa na bifu lililotikisa miaka ya mwanzoni ya 2000 kati ya TMK na east coast, kipindi hiko watoto wengi wa 2000 ndo walikuwa wakitungwa so hawajui lolote. Gk kupitia truck yake kali ya hii...
1 Reactions
3 Replies
588 Views
Let me go bare knuckles. Our majirani (Tanzanian) are needful lot. They depend on The Storybook, a show on Wasafi TV, hosted by Jamal April who translates Wikipedia stories to Swahili while...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Binafsi nmeona vitu vitatu Kwa la masimba dangote 1. Baada ya zile tuhuma za Kwamba mwamba anawavimbia wasanii wa kibongo Sasa kaamua kuwapa airtime wabongo ...mind you alianza na jux.....Gnako...
13 Reactions
138 Replies
10K Views
Hapa ni maduu, mabitozi na machizi wa kipindi hiyo. Hili goma la mtu mzima joslin lina kukumbusha wapi na tukio gani ? Hili goma lina historia nami nzito sana kila nikikumbuka huwa nabaki...
3 Reactions
6 Replies
471 Views
Hapa nasikiliza mahaba ya alikiba ngoma inayo fata ni burnaboy common person
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna wimbo unaitwa "Huu Mwaka". Kiukweli huu wimbo leo ndio mara yangu ya kwanza kuusikia. Nimeshangaa sana kusikia muimbaji akisema "Kudanga Danga sana ila usisahau kujenga kibanda" Wimbo kama...
7 Reactions
64 Replies
3K Views
...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
https://youtu.be/FFY_B6PuMA8? si=K7BnBmCJjhhaSPot I dedicate to my boo my husband to be my lovely only one . I LOVE U SO MUCH
9 Reactions
231 Replies
6K Views
Licha ya kutafuta sana mitandaoni sijafanikiwa kuona kazi za hapa karibuni kutoka kwa hawa wadada wawili, kazi zao ni zile zile za zamani. Hivi bado wapo kwenye tasnia au walishastaafu?
6 Reactions
89 Replies
6K Views
Kichwa kinajieleza, Kuna baadhi ya muvie na simulizi ukiziangalia basi unajikuta umewakubali sana baadhi ya wahusika. Kwa mimi ni kama ifuatavyo: 1. Pedro Alonso/Berlin - Money heist Jamaa ana...
0 Reactions
0 Replies
645 Views
MAMA’KE MAMA - 1 IMEANDIKWA NA : GEORGE IRON MOSENYA ******************************************************************************** Simulizi : Mama’ke Mama Sehemu Ya Kwanza (1) Laiti kama...
5 Reactions
10 Replies
30K Views
Naona vipaji vya kawaida sana na hawazitendei hali nyimbo wanazoimba. Kuna wimbo aneimba Allan nipeni dili,uliwahi kuimbwa na mshiriki mmoja binti alikiwasha sana na ninakiri mimi ndipo nilianza...
1 Reactions
3 Replies
520 Views
Sehemu ya kwanza: Nilikua peke angu chumbani, ni siku muhimu kwangu kuliko siku zote nimewahi ishi katika umri huu wa miaka ishirini na moja, mwanaume niliempenda sana tangu nikiwa kidato cha...
7 Reactions
70 Replies
34K Views
Back
Top Bottom