Bongo movie mjitathimini , Tamthilia ya Huba leo ni siku ya nne inarusha scene ya safari toka Zanzibar to Dar .
Humo ndani siku zote hizo nne hakuna cha maana kinarushwa humo ndani ya ndege zaidi...
Kuna msanii wa nyimbo za injili jina limenitoka kdg alishawahi kuimba "Baba wew ni wakuaminiwa, hubadiliki milele na milele hata nikibadilika wew unabaki yule yule hata nikikengeuka wew utabaki ni...
Hakuna watu wanaona ni wataalamu wa hizi kazi na wao ndio wanajua kama washabiki wa dizasta vina, bob Marley, wasikilizaji wa Hiphop, wapenzi wa movie za kijasusi.
Wanaonaga wengne kama mazuzu...
"Trust In You"
Letting go of every single dream
I lay each one down at Your feet
Every moment of my wandering
Never changes what You see
I’ve tried to win this war I confess
My hands are weary I...
Habari wakuu
Kwa wafuatiliaji wa movie zilizotafsiriwa kiswahili nadhani hili jina sio geni. Ila kwa miaka ya karibuni sioni tena movie zake mpya.
Wapi aliendaga?
Kama Uliangalia Jolt Basi Hii moto sana Movie ina action za kutosha Binti Anadunda Balaa
Binti Anapewa mafunzo makali tokea akiwa mdogo na Bwana varriK (V) Jamaa anaanza kumtumia kate kwenye...
Ladies and gentleman its your boy selemani sele mzee wa mastory,kinachokuja mbele yenu ni story ya maisha na mziki ni story fupi natumai watu watajifunza.
MAISHA NA MZIKI
Episode 1.
(KUZALIWA)...
Wakuu,
Kuna nyimbo za husen jumbe nazitafuta sana bila mafanikio. Nilizisikia zamani sana wakati mtoto sasa zimeganda kichwani.
Naombeni mnisaidie kutaja band ambazo ameimba nazo au...
Wakuu habari za wakati huu.
Samahani naomba kufahamu je kuna application yoyote au site yoyote ambayo inaweza kunipa synopsis kwa ajili ya kufanya short swahili movie reviews.
Asanteni
Mwenye kujua katuni flani hivi ilikuwa ikioneshwa ITV wanaingia kwenye kitu kama Elevator hivi afu wanaenda kupigana na wadudu mbalimbali pamoja na monsters mbalimbali.
Nkumbushe jina ya hii...
Mzee Juma alikuwa amekaa nje ya nyumba yake asubuhi anakunywa pombe.
Mudi jirani yake anapita na kumuuliza, "Juma, kwa nini umekaa hapo asubuhi yote hii ukinywa pombe?"
Juma: Kuna baadhi ya...
Walikuwa na sauti za kuvutia na za kipekee, mwenye audio tafadhali anaweza kupandisha (ku-upload nyimbo husika)
Maunda Zorro - Nataka niwe wako
Vumilia (Vumi) - Tatizo umasikini
Weka orodha...
Mzee wangu anaamini sana kwenye kilimo, nahofia nikimuomba mtaji wakuipromote app yangu ataona huyu kijana ananiletea utandawazi nyumbani kwangu. Ninamsimamia kazi yake moja huku Dar, yeye yupo...
Hahahaha ah vijana sasa hivi naona wanajitahidi
Ari Mpya
Kasi Mpya
Nguvu Mpya
Ehee hata mimi nimeliona hilo toka longi taim
Au siyo Babu Ayubu
Hilo liko wazi
Jamani vijana wapewe nafasi
Si ndio...
Kuna baadhi ya mistari au beti za nyimbo za wasanii wetu wa kizazi kipya ambazo ukizisikiliza kwa umakini lazima uondoke na tashwishi.
Lakini kubwa zaidi ni pale unapojaribu kuusikiliza wimbo...
Leo nilikuwa nasaka kitabu kipya chochote cha kusoma, ila kiwe cha kipelelezi na mapigano, nikakutana na kitabu kipyaaaa! Quality nzuri cha Musiba kiitwacho hujuma. Kilikuwa kimefungiwa kitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.