Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Napata shida sana kwenye kupakua movie kwenye website ya www.netnaija.com, yaani unaanza vizuri tu lakini ukishafika kwenye sehemu ya kupakua muvi na subtitle ukishapress tu ili ikupeleke kwenye...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
JASMINE . MTUNZI BEBAS CUTELY SEHEMU YA 1 . BOOKING 0756748557 . Majira ya usiku kwenye nyumba moja kubwa sana mjini ambayo iliyopo karibia na bichi . Nyumba hiyo walikuwa akiishi wadada wengi...
1 Reactions
55 Replies
20K Views
Mke wangu mimi ni darasa la saba, mimi nimemaliza chuo kikuu ni mhasbu nafanya kazi benki na nina mshahara mkubwa tu. Nilikutana na mke wangu kipindi kaja kuchukua mkopo wa Biashara yake, wakati...
16 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya kumaliza kumshukuru Maanani Muumba Mbingu na ardhi. Nikapata kikombe cha kahawa, nikatafakari yale yangu ya siku na ratiba za hapa na pale lakini akili ikanisukuma kusikiliza kidogo...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Muendelezo wa john wick bado ni moja ya movie nazozipenda sana sio mamilion ya watu wanavutiwa na hii movie. Kilichonivutia kwenye hii jamaa sio insane wala tributal martial art lakin anapiga kwa...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwandishi: J.K.kiimbila MFALME BINTA NA RAIA ZAKE _1 Hadithi hii inaanza Zama za Giza _ jina la kukebehi katika Afrika. Wakati wanadamu walipoabudu miungu wengi lakini wakaendelea kuamini juu ya...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Lawyer wa kimexico ambae familia yake iliuliwa na boss wa kundi la madawa ya kulevya na uharifu anaamua kuungana na task force moja ya marekani huku yeye akiwasaidia intel za kuangusha drug...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Harmonize ametoa wimbo mkali, lakini bado beat na production za Tanzania hazipo kwenye kiwango sahihi na Wala haziendi na wakati, beat ni ya kizamani na production ni low quality. Harmonize...
0 Reactions
3 Replies
704 Views
Nyie watu wapenzi wa movie aloangalie hii achambue ni kama inatisha hivii na ina code kibao hivi wachambuzi mkuje tuchambue hii movie sio mpira tu [emoji12]
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Kwa utoto huu anaofanya Konde Boy ndio tuendelee kumuweka kwenye mizani sawa na la Masimba Dangote [emoji3063]? Konde Boy anakipaji kikubwa sana akiacha kukurupuka kwa stress za wasanii wengine...
1 Reactions
10 Replies
826 Views
Kama wewe ni mtumiaji wa mtandao wa Tik Tok basi tambua kuwa Kuanzia sasa muziki wowote unaomilikiwa na Universal Music Group hautakuwepo kwenye orodha ya nyimbo za kutumia TikTok. Video za zamani...
2 Reactions
8 Replies
778 Views
JUMA MCHOPANGA,JAY MOE Habari nyingine, Cheki hapa SOLO THANG Anvyokimbizwa kwenye WERE ARE FAMILY.[emoji91][emoji119] Tatoo sio Nyingi kama P FUNK ila mi mpenzi wa MAJANI/ JAY ndio mimi MASTER...
4 Reactions
2 Replies
778 Views
Rose Muhando? Bahati Bukuku? Christina Shusho? Bonny Mwaitege? Upendo Nkone? Jennifer Mgendi? Beatrice Muhone? Ambwene Mwasongwe? Martha Mwaipaja? Flora Mbasha?.............
3 Reactions
153 Replies
39K Views
Mwaka jana 2023 niliamua pia kusoma vitabu vya riwaya za kiswahili ambapo niliegemea zaidi kwenye zile za ujajusi. Katika hizi niliamua kusoma riwaya za waandishi watatu 1. Calvin Mponda 2...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
movie ambayo inamuonesha jason mzee wa ngumi za kutosha ambaye ni mtandao wa siri wasio julikana ndani ya serikali nyingi duniani. tuje kwenye mada: kiufupi ukiangalia hii movie iliyotoka 2024...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
Finally Msanii Harmonize ameuachia wimbo wake wa "I made it" ambao kawashirikisha wasanii Bien wa kenya na Bobby Shmurda toka States. Huu wimbo ulikuwa unasogezwa siku mbele kuachiwa, sio mara...
2 Reactions
2 Replies
855 Views
Wakuu Kitambo Fulani pale Kenya ulihit sana wimbo kwa jina la Stella .. Wimbo huo ulioimbwa na mtu aitwaye freshley mwamburi ni kisa cha msichana aliyeitwa Stella , ambaye alipelekwa japan na...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
SIMULIZI YA MAISHA : Mzigo wa Bosi uliharibu maisha yangu. MWANDISHI: Gilbert Evarist Mushi PHONE: +255621249611 SEHEMU YA 01 Kwa Majina Naitwa Gilbert Mwaitika, Nina umri wa miaka 25...
4 Reactions
116 Replies
42K Views
Nimekaa kwenye ofisi na siyo ofisi ndogo,ofisi kubwa sana,Tena ninaimiliki mwenyewe iliyosheheni furniture za thamani na kila kitu nilichokuwa nakitamani muda wote wa maisha yangu,ninayo Amani ya...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Sehemu ya kwanza Habari za wakati huu, Niite Mark ni mtu mzima nilikuwa na mke na watoto 6. Nimzaliwa wa mkoani Kilimanjaro, moshi mjini Njoro. Elimu yangu ilikuwa ya kulenga kwa manati...
13 Reactions
86 Replies
14K Views
Back
Top Bottom