msaada wa hizi nyimbo kali za bongo old skul.

orangutan

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
759
772
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa muziki huu wa kizazi kipya tangu kipindi kile cha miaka ya 98 ulipoanza kukubalika katika jamii yetu ya kibongo na kukonga nyoyo za watu wa rika lolote bila kujali wadhifa wa mtu. Na kusema kweli nikijaribu kucheki ngoma za siku hizi za hiphop ya kibongo, nimegundua kuwa hazifikii hata chembe mikwaju iliyokuwa ikigongwa na real MCs wa kipindi kile cha kina fanani na Hasheem Dogo.
Kilichonishawishi kuanzisha huu uzi ni kutokana na ukweli niliogundua kuwa baadhi ya nyimbo nyingi kali za wasanii wa hiphop wa kipindi kile hazipatikani kabisa mitandaoni hata kupata album zao kitaa ni ishu. Huwa naishia tu kuzisikia mara mojamoja kutoka kwenye zile redio kongwe zenye maDJ wanao-appreciate muziki wa kikizazi kipya old skul.
Nimejaribu kuzitafuta ngoma zifuatazo mtandaoni bila mafanikio kwa muda mrefu sasa;
1.GANGWE MOBB-Laifu la uswazi
2.KALI P-Tumbo joto
3.HITS za waturutumbwi kutoka r CHUGGA
4.Mr 2 SUGU-hii ni noma
5.Inspector Haroun-kisa cha baba mkwe
6.AY-mchanga wa macho
7. Pauline Zongo-Dunia ni ndogo sana
8.Stan boy-njoo kwangu
9.Balozi-wengi walikuwepo
10. Manyema Family-Jinsi Tulivyo
11.Wagosi wa kaya-nyeti, soka la bongo
12. Chindo Man-Mbwa mzee ndo Anabweka
13.EStam-sikiliza wimbo

Yeyote mwenye wowote kati ya hizo nyimbo naona afanye namna aweze ku-upload hiyo ngoma ili wadau wa muziki tuendelee kuenjoi haya mangoma adimu. (Link za mtandaoni pia zinakaribishwa- ila zisiwe zile zinazoruhusu kuplay online peke ake kama muziki.net au eastafricantube). Thank you in advance!!!!!!!!!!!!!!
 
Estam na stanboy walikua wanajua sana r n b, af kuna ngumu 1 ya chindo man 'wuu wuu mbwa mzee ndo anabweka'
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa muziki huu wa kizazi kipya tangu kipindi kile cha miaka ya 98 ulipoanza kukubalika katika jamii yetu ya kibongo na kukonga nyoyo za watu wa rika lolote bila kujali wadhifa wa mtu. Na kusema kweli nikijaribu kucheki ngoma za siku hizi za hiphop ya kibongo, nimegundua kuwa hazifikii hata chembe mikwaju iliyokuwa ikigongwa na real MCs wa kipindi kile cha kina fanani na Hasheem Dogo.
Kilichonishawishi kuanzisha huu uzi ni kutokana na ukweli niliogundua kuwa baadhi ya nyimbo nyingi kali za wasanii wa hiphop wa kipindi kile hazipatikani kabisa mitandaoni hata kupata album zao kitaa ni ishu. Huwa naishia tu kuzisikia mara mojamoja kutoka kwenye zile redio kongwe zenye maDJ wanao-appreciate muziki wa kikizazi kipya old skul.
Nimejaribu kuzitafuta ngoma zifuatazo mtandaoni bila mafanikio kwa muda mrefu sasa;
1.GANGWE MOBB-Laifu la uswazi
2.KALI P-Tumbo joto
3.HITS za waturutumbwi kutoka r CHUGGA
4.Mr 2 SUGU-hii ni noma
5.Inspector Haroun-kisa cha baba mkwe
6.AY-mchanga wa macho
7. Pauline Zongo-Dunia ni ndogo sana
8.Stan boy-njoo kwangu
9.Balozi-wengi walikuwepo
10. Manyema Family-Jinsi Tulivyo
11.Wagosi wa kaya-nyeti, soka la bongo
12. Chindo Man-Mbwa mzee ndo Anabweka
13.EStam-sikiliza wimbo

Yeyote mwenye wowote kati ya hizo nyimbo naona afanye namna aweze ku-upload hiyo ngoma ili wadau wa muziki tuendelee kuenjoi haya mangoma adimu. (Link za mtandaoni pia zinakaribishwa- ila zisiwe zile zinazoruhusu kuplay online peke ake kama muziki.net au eastafricantube). Thank you in advance!!!!!!!!!!!!!!

Uko wapi mkuu?
Nina stock ya hizo nyimbo ni kama 7GB.
Leo nipo Dodoma baada ya siku 3 ntakuwa Dsm! Sizufanyii biashara unakuja na flash au ext HDD unachukua nikuamini kuwa ipo siku ntazihitaji na sitokuwa nazo isipokuwa ntazipata kwako. Kwa kifupi naongeza backup ya huo mzigo.
 
Uko wapi mkuu?
Nina stock ya hizo nyimbo ni kama 7GB.
Leo nipo Dodoma baada ya siku 3 ntakuwa Dsm! Sizufanyii biashara unakuja na flash au ext HDD unachukua nikuamini kuwa ipo siku ntazihitaji na sitokuwa nazo isipokuwa ntazipata kwako. Kwa kifupi naongeza backup ya huo mzigo.

Mr. Uko Dodoma sehemu gani? Me mwenye kuna badhi ya nyimbo naziitaji katika hiyo list
 
Uko wapi mkuu?
Nina stock ya hizo nyimbo ni kama 7GB.
Leo nipo Dodoma baada ya siku 3 ntakuwa Dsm! Sizufanyii biashara unakuja na flash au ext HDD unachukua nikuamini kuwa ipo siku ntazihitaji na sitokuwa nazo isipokuwa ntazipata kwako. Kwa kifupi naongeza backup ya huo mzigo.
Mkuu nipo DSM. nadhani ntakutafuta niipakue hiyo stock ya mikwaju ya kitambo.:cool:
 
Manduli mob,mabaga fresh,gwm,nature ilikuwa noma. Mkuu Twilumba nami nitafanya mpango nikutafute niwe mmoja wa backup wako.
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa muziki huu wa kizazi kipya tangu kipindi kile cha miaka ya 98 ulipoanza kukubalika katika jamii yetu ya kibongo na kukonga nyoyo za watu wa rika lolote bila kujali wadhifa wa mtu. Na kusema kweli nikijaribu kucheki ngoma za siku hizi za hiphop ya kibongo, nimegundua kuwa hazifikii hata chembe mikwaju iliyokuwa ikigongwa na real MCs wa kipindi kile cha kina fanani na Hasheem Dogo.
Kilichonishawishi kuanzisha huu uzi ni kutokana na ukweli niliogundua kuwa baadhi ya nyimbo nyingi kali za wasanii wa hiphop wa kipindi kile hazipatikani kabisa mitandaoni hata kupata album zao kitaa ni ishu. Huwa naishia tu kuzisikia mara mojamoja kutoka kwenye zile redio kongwe zenye maDJ wanao-appreciate muziki wa kikizazi kipya old skul.
Nimejaribu kuzitafuta ngoma zifuatazo mtandaoni bila mafanikio kwa muda mrefu sasa;
1.GANGWE MOBB-Laifu la uswazi
2.KALI P-Tumbo joto
3.HITS za waturutumbwi kutoka r CHUGGA
4.Mr 2 SUGU-hii ni noma
5.Inspector Haroun-kisa cha baba mkwe
6.AY-mchanga wa macho
7. Pauline Zongo-Dunia ni ndogo sana
8.Stan boy-njoo kwangu
9.Balozi-wengi walikuwepo
10. Manyema Family-Jinsi Tulivyo
11.Wagosi wa kaya-nyeti, soka la bongo
12. Chindo Man-Mbwa mzee ndo Anabweka
13.EStam-sikiliza wimbo

Yeyote mwenye wowote kati ya hizo nyimbo naona afanye namna aweze ku-upload hiyo ngoma ili wadau wa muziki tuendelee kuenjoi haya mangoma adimu. (Link za mtandaoni pia zinakaribishwa- ila zisiwe zile zinazoruhusu kuplay online peke ake kama muziki.net au eastafricantube). Thank you in advance!!!!!!!!!!!!!!
Huo mzigo wa Stanboy Njoo kwangu kama ushaupata nibariki mkuu, natanguliza shukrani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom