Li tamthilia lenyewe haliishagi halafu waongo sana.Duh,
Kumbe?
Wadada wa kazi mnapenda sana hizo kitu. Na kazi huwa hamfanyi. Mimi mke wangu huwa hataki kabisa kutumia azam.Naomba wenye kuelewa ni chaneli ipi na mda gani kupitia king'amuzi cha Azamtv wanaonyesha tamthilia ya brothers( Cardo Dalisay) kwa tafsiri ya kiswahili?
Pia ni ombi langu kujuzwa mda na chaneli katika dish la dstv-zambia kwa lugha ya kiingereza.
Kwa sasa nipo Zambia na nilikuwa nafuatilia kupitia channel 400 Startimes Tanzania.
Kama isidingo? Ivi iliisha au ipo? Ina umri wa miaka 30Li tamthilia lenyewe haliishagi halafu waongo sana.