Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Harmonize kumpiga beat shabiki ni kitendo cha kuonesha kutokuheshimu mashabiki waliouzulia show yako.
Shabiki katenda wajibu wake wa kuja kwenye show yako, alafu kisa tu kazengua mahala fulani unampiga beat kwamba utampiga kichwa na ashindwe kuamka.
Hii kauli aliyotoa Harmonize sio ya kiungwana kwa sisi mashabiki wa burudani nchini Tanzania. Na inatuogopesha kuhudhuria matamasha ya Harmonize, tusijekumbwa na vipigo tusivyovitalajia.
Maama hivi karibuni Harmonize ameonekana kuzidi kuwa mkorofishi baada ya wiki chache zilizopita kusemekana kumpiga Baba Levo ndani ya moja ya casino, na kupelekea baba levo kufungwa head support. Let's boycott all Harmonize show.
Tizama hiyo clip
View: https://www.instagram.com/reel/C33c871L4ZR/?igsh=MW9vamRvc29ldmpyYQ==
Shabiki katenda wajibu wake wa kuja kwenye show yako, alafu kisa tu kazengua mahala fulani unampiga beat kwamba utampiga kichwa na ashindwe kuamka.
Hii kauli aliyotoa Harmonize sio ya kiungwana kwa sisi mashabiki wa burudani nchini Tanzania. Na inatuogopesha kuhudhuria matamasha ya Harmonize, tusijekumbwa na vipigo tusivyovitalajia.
Maama hivi karibuni Harmonize ameonekana kuzidi kuwa mkorofishi baada ya wiki chache zilizopita kusemekana kumpiga Baba Levo ndani ya moja ya casino, na kupelekea baba levo kufungwa head support. Let's boycott all Harmonize show.
Tizama hiyo clip
View: https://www.instagram.com/reel/C33c871L4ZR/?igsh=MW9vamRvc29ldmpyYQ==