Nafsi ya Joh Makini imeshindwa kukubaliana na ukweli Mchungu kuhusu mapokezi duni ya wimbo wake mpya uitwao "Bobea"

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,115
27,105
Wimbo ni mzuri lakini wananchi hawaja upokea vizuri kama walivyo zipokea nyimbo zilizo pita za Joh na weusi kwa ujumla.

Wimbo umeshindwa ku hit wimbo umeshindwa ku trend. Joh anatumia nguvu ya ziada ku push wimbo kwenye social networks (jambo ambalo ni nadra sana kufanywa na.mwanamuziki wa kaliba yake) In every comment he must mention his song. Yani anakuwa kama wale wauza dawa za nguvu za kiume na waganga wanao tangaza dawa zao kwenye comment sections za watu wengine. Jambo hili lina mfanya aonekane yupo musically desperate.

Joh, it is high time now ukubaliane na matokeo kuhusu mapokezi ya wimbo bobea..

Kubali kwamba watu hawaja upokea.

Inaonekana ulikuwa na matarajio makubwa sana kuhusu wimbo lakini kuwa dis appointed ni jambo la kawaida in music business.

Inaonekana umetumia gharama nyingi sana kwenye huo wimbo kama vile kumlipa msanii wa Nigeria ambae wimbo wako wa bobea unaendana kivionjo na wimbo wake.

Fanya upya research yako,.nenda studio uje na wimbo mwingine.
 
Huwezi kuajiriwa kama intelligent officer mahali popote pale... maana kama katika umri huu wa 40+ ulionao lakini hujui kwamba matendo ya mtu ni tafsiri ya kile kinacho endelea kwenye nafsi yake basi wewe ni tatizo. Unahitaji kutatuliwa.
Umeshatatuliwa na GENTAMYCINE ?
 
Unamfundisha mtu kukataa tamaa?
Yaani anapambania ugali wake we wataka aache kuupa promo?

Mimi ndo naupa promo hapa. Kazi ya muziki ni kama uganga vile inatakiwa wateja ndio waku promote sio wewe mwenyewe.

Plus huwezi in promote single moja kwa muda wa miezi minne. N.a. kila.siku una promote kama ndio imetoka jana.
 
Tatizo siku hizi watu wanaforce kufanya hit songs na sio kutengeneza good music.

Joh makini is one of the best kwenye music industry na ana ladha yake ya pekee katika bongo flavor music.

Nadhani shida now days artists wanafocus zaidi katika kucompete kwenye soko wakati kuna loyal fan base ambo wanaweza gonga ngoma zako on repeat and replays every morning.

Me binafsi namkubali Joh Makini, ana ile "Home boy" rapping style na utulivu wa sauti wa kukufanya usikilize mziki wake uliwa umechill home weekend, he got that.

Napenda ngoma zake nyingi so sidhani kama jamaa anaforce mziki, he is the best among the best.
 
Tatizo siku hizi watu wanaforce kufanya hit songs na sio kutengeneza good music.

Joh makini is one of the best kwenye music industry na ana ladha yake ya pekee katika bongo flavor music.

Nadhani shida now days artists wanafocus zaidi katika kucompete kwenye soko wakati kuna loyal fan base ambo wanaweza gonga ngoma zako on repeat and replays every morning.

Me binafsi namkubali Joh Makini, ana ile "Home boy" rapping style na utulivu wa sauti wa kukufanya usikilize mziki wake uliwa umechill home weekend, he got that.

Napenda ngoma zake nyingi so sidhani kama jamaa anaforce mziki, he is the best among the best.
Sahihi
 
Leta hoja Mkuu siyo Matusi,Umri wako na Matendo yako haviendani kabisa Dr,nini shida ndugu?
Una tafuta basha siyo bure, soma kuanzia mwanzo kama una akili hata za kuvukia barabara tu utaelewa nani ugomvi?

Au wewe unataka kutatuliwa? Stupid (in Samia voice)
 
Wimbo ni mzuri lakini wananchi hawaja upokea vizuri kama walivyo zipokea nyimbo zilizo pita za Joh na weusi kwa ujumla.

Wimbo umeshindwa ku hit wimbo umeshindwa ku trend. Joh anatumia nguvu ya ziada ku push wimbo kwenye social networks.( jambo ambalo ni nadra sana kufanywa na.mwanamuziki wa kaliba yake) In every comment he must mention his song. Yani anakuwa kama wale wauza dawa za nguvu za kiume na waganga wanao tangaza dawa zao kwenye comment sections za watu wengine...
Jambo hili lina mfanya aonekane yupo musically desperate.

Joh, it is high time now ukubaliane na matokeo kuhusu mapokezi ya wimbo bobea..

Kubali kwamba watu hawaja upokea.

Inaonekana ulikuwa na matarajio makubwa sana kuhusu wimbo lakini kuwa dis appointed ni jambo la kawaida in music business.

Inaonekana umetumia gharama nyingi sana kwenye huo wimbo kama vile kumlipa msanii wa Nigeria ambae wimbo wako wa bobea unaendana kivionjo na wimbo wako.

Fanya upya research yako,.nenda studio uje na wimbo mwingine.
In every comment he must mention his song. Yani anakuwa kama wale wauza dawa za nguvu za kiume na waganga wanao tangaza dawa zao kwenye comment sections za watu wengine...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo siku hizi watu wanaforce kufanya hit songs na sio kutengeneza good music.

Joh makini is one of the best kwenye music industry na ana ladha yake ya pekee katika bongo flavor music.

Nadhani shida now days artists wanafocus zaidi katika kucompete kwenye soko wakati kuna loyal fan base ambo wanaweza gonga ngoma zako on repeat and replays every morning.

Me binafsi namkubali Joh Makini, ana ile "Home boy" rapping style na utulivu wa sauti wa kukufanya usikilize mziki wake uliwa umechill home weekend, he got that.

Napenda ngoma zake nyingi so sidhani kama jamaa anaforce mziki, he is the best among the best.
Tatizo siku hizi watu wanaforce kufanya hit songs na sio kutengeneza good music.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom