Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Naona Tanesco leo karibia nchi nzima wameamua kufanya yao hadi usiku huu. Najua simu zitakuwa zimebaki 8%. Anyway, huwa kuna nyimbo chache za zamani ambazo zikipigwa hata leo unapata vibe ambayo...
12 Reactions
75 Replies
5K Views
Jabari wanajamii forums Kuna wimbo wa zamani sana wa bongo fleva unasema maneno haya SAUTI YAKO INANIWEKA ROJO JUU MAPENZI YAKO YANANIWEKA ROJO JUU SIONI MWINGINE KATIKATI YAKO SIONI MWENGINE...
0 Reactions
2 Replies
660 Views
MIKE TEE ____________ Wengi wanamjua kwa jina la Mnyalu, Mike Tee, The Dangerous Emcee ila jina lake kamili ni Mike Francis Mwakatundu. Mike Tee alianza kuimba mwanzoni wa miaka 1990. Mike Tee ni...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Krystyna Pyszkova kutoka Jamhuri ya Czech ameshinda taji la Miss World 2024 katika fainali ya mashindano hayo tarehe 9 Machi 2024 jijini Mumbai- India. Krystyna Pyszkova kutoka Jamhuri ya Czech...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Fortune tellers ( wapiga ramli) " Fortune tellers kilikuwa ni kikundi cha watoto wawili wakike na wakiume " ambao walikuwa wanashirikiana na kundi la X plastaz kufanya Muziki Enzi hizo kutokea...
1 Reactions
2 Replies
513 Views
AFANDE WA MOROGORO MFALME WA TANZANIA. Toka mwaka 2002 mpaka sasa 2022 ni miaka 20 imepita toka album ya "mkuki moyoni" toka kwa Afande Sele izame sokoni. Mwaka 2004 hii album kwa uzito wa...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Yash Chopra (marehemu) alikuwa ni moja ya wafanya filamu wakubwa India. Director huyu mzito alifanya filamu nyingi nzuri kupitia kampuni yake, Yash Raj Films, ambayo imekuwa ikitoa filamu kubwa na...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Ukipigwa muziki utaona mtu anaishia kujitikisa kichwa au kujibinuabinua bila mpangilio yani kifupi skills za kucheza mziki ni sifuri kabisa Ukikuta mwenye mpododo ndo shida tupu. Basi hata...
0 Reactions
2 Replies
360 Views
Mm napenda a good laugh,hasa nikishamoka,pembeni nipo na juisi yangu pendwa ya miwa na vichapuza,then niweke muvie Kali ya komedi nichekee mpaka basi. Katika safari yangu ya kucheka nimegundua...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Hadija Kopa amevikwa Cheo Cha Malikia wa mipasho. Lakini kiuhalisia ameshawahi kushindwa katika vita ya mipasho kubaki muziki wa taarab. Tukitaka kutenda haki basi Malikia wa Mipasho anapaswa kua...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Najua zipo series nyingi sana ambazo waandishi walituliza akili kuziandika kama vile vikings,lord of the rings etc,ila bado sijakutana na mzigo mkali kama Game of thrones, humu mwandishi alijua...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
PRODUCER ENRICO KUTOKA STUDIO ZA SOUND CRAFTERS. _____________________ 👉🏿Anaitwa Enrico figueiredo almaarufu enrico wa sound crafter's huyu ni mtayarishaji Muziki ( producer) mkongwe wa zamani...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
SOGGY DOGGY ANTER. Jamvi la Ukwaju wa Kitambo lilibahatika kupiga stori na Msanii mkongwe katika Game ya Bongo fleva soggy doggy. Tulibahatika kuzungumza mengi ila kwa faida ya wafuatiliaji wa...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
HABARI ZA WAKATI HUU WAFUATILIAJI WA JAMVI HILI LA UKWAJU WA KITAMBO. ................................... ✍🏻kama ilivyo destru yetu wadau na wafuatiliaji wa jamvi la Ukwaju wa Kitambo, huwa tuna...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Bob Marley aliwai kusema "the good thing about music, when it hits you, you feel no pain". Sikatai lakini... Jana baada ya mechi ya yanga na kuchoma Cannabis Sativa kidogo niliingia local bar...
3 Reactions
10 Replies
725 Views
Kutoka kitabu hadithi za Kisukuma. Methali na Tafsiri Makono hoya babyaji ba banhu: Mikono ndiyo wazazi wa watu: fanya kazi kwa mikono yako uishi. Buka mundi tukalye sha balimi: Miguu yangu...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
HIP HOP HAIUZI - MADEE WIMBO UNAOONGOZA KWA KUJIBIWA BONGO HAMADI ALLY ndilo jina lake halisi lakini alipoingia kwenye uga wa michano akaona atafute jina ambalo litakaa kisanii lakini halitatoka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
[KASHALA - Maquis du Zaire] Kasha, Kashala sikilliza nikueleze , Mimi nateseka shauri yako bibi, Ungenieleza mapema, ............. Sikutegemea Kashala, Kama ungeweza kunivalia ngozi ya...
4 Reactions
10 Replies
19K Views
Wengi tunamfahamu kama Zahara ila majina yake ni Bulelwa Mkutukana, alikuwa ni mwimbaji wa nyimbo kutoka Afrika Kusini, mtunzi wa nyimbo, na mpiga gita mzuri sana. Katika Kijiji cha Phumlani...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Klabu mpya ya Kikristo iliyopo Nashville, Tennessee, Marekani, inayojulikana kama The Cove, imeanzishwa kwa ajili ya waumini wa Kikristo wenye umri wa miaka 18 na zaidi wanaokusanyika kwa lengo la...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom