Harunahoba
Member
- Oct 15, 2019
- 33
- 45
Kama kuna sehemu unahitaji kuielewa ambayo huenda hukuielewa kwenye movies hizi sema ueleweshwe.
😁😂😂😁😁Jumong mwanzo hadi mwisho sikuelewa,naomba nieleweshwe hatua kwa hatua,yaan episode kwa episode..asante
ukifocus kula tunda utaishia ku forward movie ilikipande kama hiko kifike ila ukifocus na movie hata hivyo vipande utaona vinakupotezea mda tuKwanini spatacus wanakula sana tunda afu sisi tunabaki kuwashangaa??
"Jumong mwanzo hadi mwisho sikuelewa,naomba nieleweshwe hatua kwa hatua,yaan episode kwa episode..asante"Mchambuzi mbona umepotea ?😂😂😂
nilikua offline tu mzee kama nalo linakuchekesha bas cheka uongeze siku za kuishiMchambuzi mbona umepotea ?😂😂😂
JIBU LA SWALI LA 21.Sikujua kwann thracian walikataa ofa ya legatus kujiunga na jeshi la roma?
2.kuna uhusiano gani kati ya bathiatus na vigogo wa serikali wakati anamadeni na sio kiongozi..
JIBU LA SWALI LA KWANZA1.Sikujua kwann thracian walikataa ofa ya legatus kujiunga na jeshi la roma?
2.kuna uhusiano gani kati ya bathiatus na vigogo wa serikali wakati anamadeni na sio kiongozi..
movie ya jumong inaanza baada ya wavamizi kuivamia ardhi ya wagojosen na kuligawanya taifa hilo katika matabaka na makabila mengi. Han na puyol ndio zilizochukua eneo kubwa hasa Han empire. mataifa haya mawili (han na puyol) waliweza kuzifuta records zlte za taifa la joseng na kubaki na nyaraka zao muhim kuhus mipaka ya taifa hilo majina ya miji ya taifa hilo technologia ya taifa hilo ambayo waliificha kwa maandishi ya code na namna ya uongozi wake kwa ujumla. wagojosen baada yake waligeuka watumwa wa ardhi yao wenyewe. alitokea mtu wa kuwapambania wagojosen alieitwa haemosu alipendwa na kuungwa mkono na wagojosen ila kwa wakati huo haemosu alikuahana taarifa zozote kuhus taarifa za mipaka (boundaries) za nchi anayotaka kuipambania alifanya hivyo kuokoa watu tu wanaoteseka. Haemosu alikua na rafiki yake ambaye ni prince wa taifa la puyol prnce geumwa (kikorea kumwa). Rafiki huyu ndio anaeleta wazo la haemosu kujiunga na puyol kupigana na han empireJumong mwanzo hadi mwisho sikuelewa,naomba nieleweshwe hatua kwa hatua,yaan episode kwa episode..asante
Unahisi pengine sosunho asingeamua kuondoka goguryeo na watoto wake 2, jumong angewezaje kuchagua crown prince kati ya mtoto wake na wale wengine 2 wa sosunho?Kama kuna sehemu unahitaji kuielewa ambayo huenda hukuielewa kwenye movies hizi sema ueleweshwe.
nadhani walifanya vile kwasababu ya movie tu iliwalete story ya baikije lakin kwa maon yang hata angebaki jumong angeweza kumchagua aliefaa kuna kipande jumong alisema alishapitia ushindani wa crown prince hilo jambo analielewa na atafanya uamzi sahihi ila sosunho hakutaka maana mtoto wake alishajarib kumuua jumong kwa hila za shangazi yakeUnahisi pengine sosunho asingeamua kuondoka goguryeo na watoto wake 2, jumong angewezaje kuchagua crown prince kati ya mtoto wake na wale wengine 2 wa sosunho?
Cc: adriz
sikumbuki kipande kama iko maana kweny movie ya spatacus uchawi sio moja ya ujumbe uliopoKuna mwamba alitakiwa kuuwawa sasa wakati anaenda mbele kukatwa kichwa. Alitoa kakichupa kamoja ikumbi wote wakaanza kutombana. Nini kilipelekea iwe vile na nini hasa ujumbe wake kwa Hadhira
Hii ni movie tofauti, nadhani inaitwa perfumeKuna mwamba alitakiwa kuuwawa sasa wakati anaenda mbele kukatwa kichwa. Alitoa kakichupa kamoja ikumbi wote wakaanza kutombana. Nini kilipelekea iwe vile na nini hasa ujumbe wake kwa Hadhira?
itakuaHii ni movie tofauti, nadhani inaitwa perfume