Wakuu niaje?
Karibuni tukumbushane baadhi ya scene kali kabisa kwenye Movies zetu pendwa. Leo mimi nadondonsha scene hii fupi kutoka Shaolin Soccer. Unaikumbuka?
Wakuu habari za uzima na poleni kwa majukumu.
Najua wengi huwa tunafuatilia Tamthilia, maana nyingi hufundisha mambo yanayotokea katika jamii.
sasa mama watoto Huwa ninamuhadithia kuhusu...
Moja ya kitu kinafelisha bongo series ni kutokua na waandishi wazuri wa series na muvi yaani Screenwriter/Scriptwriters. Mtu kwakua ana stori anayo kichwani basi yeye mwenyewe anaiandikia script...
Wakuu naomba mwenye wimbo wa orchestra makassy Dar es salaam jiji umbea mwingi, ukila kisamvu kaza roho mama Mwanza aaaa mteva, shinyangaaa mteva naomba kuwasilisha.
Afrika imepata baraka kubwa ya kuwa na wanamuziki wengi, wapo watakaosema kuwa bendi bora ni Ladysmith Black Mambazo, au Mahotella Queens ya dada watatu Hilda Tloubatla, Nobesuthu Mbadu, pamoja na...
EPISODE ONE
________________________________
UCHAMBUZI MAKINI WA KITABU CHA:
"SIRI ZA AKILI YA MTU TAJIRI" (SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND).
NA:
LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA...
1. 13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi (2016)
2. From Paris with Love (2010)
3. 6 Days (2017)
4. Escape from Mogadishu (2021)
5. Argo (2012)
6. 12 Strong (2018)
7. The Doorman (2020)
8...
Unakuta nyimbo inasema " bora niinjoi maisha mafupi matamu si simpo, kama kumpenda bora nimpende mama yangu kama kupenda nitajipenda mi mwenyewe, sasa kwa hali hiyo msinyimane tu unyumba na ndoa...
1. Animal (2023)
2. The Hunger Games: The Ballad of Songbirds & Snakes (2023)
3. Salaar (2023)
4. The Creator (2023)
5. Violent Night (2022)
6. Silent Night (2023)
7. The Hunger Games (2012)
8...
1. The Wall (II) (2017)
2. Hard Kill (2020)
3. Jarhead 3: The Siege (2016)
4. Kill, Die, Laugh (2017)
5. A Grunt's Life (2019)
6. We, the Marines (2017)
7. Dead Sea (2014)
8. Devil Dogs (2017)
9...
1. Brothers
2. Lone Survivor
3. The Outpost
4. Zero Dark Thirty
5. Hyena Road
6. Combat Obscura
7. The Covenant
8. Armadillo
9. Red Sands
10. Lions For Lambs
11. The Old Guard
12. Charlie Wilson's...
Series tamu sana, mapenzi, hustles, mahusiano.
Marafiki wanne wa chuo kikuu, ambao uhusiano wao mkubwa umewaweka pamoja japo safari zao za maisha zimewapeleka katika njia tofauti sana.
Follows...
Miongoni mwa vipaji ambavyo Tanzania imetunukiwa, ni pamoja na orodha kubwa ya waandishi wa hadithi za Kiswahili. Waandishi wengi wamechomoza kwa uhodari na umahiri wao kila mmoja katika kona...
Ningependa kupata taarifa za makundi ya bongo fleva.... Yaliundwa na wasanii gani, yalianzishwa mwaka gani, na walitoa ngoma gani na pia kupata picha zao
1: Living with Purpose (LWP)
2: Big Dog...
Nimeanza kusikiliza Gengetone. Naburudika, nacheka na kushangaa. Msaada wa gengetone kali kali. Natanguliza shukrani.
https://youtu.be/kfzc-JOotH0?si=UrWSjEj8YvAph9lE
Hawa wajinga wa Monty Python sijui walikuwa wanawaza nini. Watu wengi wamejikuta wamepata matatizo ya kiafya kwa kucheka sana baada ya kuangalia movie hii...
Wanangu wa Hip hop naweka mtanange hapa, kati ya hizi collabo mbili zilizo umiza kipindi hicho. ipi ni collabo kali ?
Ukisikia paah ya JCB original + Remix
VS
Mchizi wangu ya Nako2Nako...
Ilikuwa kwenye mida ya saa mbili usiku wakati tumekaaa kwaajili ya chakula cha usiku.
Wakati nakula simu yangu ikaita kuangalia mpigaji ni mpenzi wangu Sam ila nikashindwa kunyanyuka kwenda...
Niende moja kwa moja kwenye point.
Kwasasa hapa Tanzania nyimbo mbili toka wasanii wa Mbeya ndio zinazotakiwa kupewa Tuzo.
Pia Midundi hii inastahili kuwa muziki unaoitambilisha Tanzania.
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.