Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu niaje? Karibuni tukumbushane baadhi ya scene kali kabisa kwenye Movies zetu pendwa. Leo mimi nadondonsha scene hii fupi kutoka Shaolin Soccer. Unaikumbuka?
0 Reactions
12 Replies
594 Views
Wakuu habari za uzima na poleni kwa majukumu. Najua wengi huwa tunafuatilia Tamthilia, maana nyingi hufundisha mambo yanayotokea katika jamii. sasa mama watoto Huwa ninamuhadithia kuhusu...
1 Reactions
7 Replies
682 Views
Moja ya kitu kinafelisha bongo series ni kutokua na waandishi wazuri wa series na muvi yaani Screenwriter/Scriptwriters. Mtu kwakua ana stori anayo kichwani basi yeye mwenyewe anaiandikia script...
15 Reactions
180 Replies
13K Views
Wakuu naomba mwenye wimbo wa orchestra makassy Dar es salaam jiji umbea mwingi, ukila kisamvu kaza roho mama Mwanza aaaa mteva, shinyangaaa mteva naomba kuwasilisha.
0 Reactions
0 Replies
522 Views
Afrika imepata baraka kubwa ya kuwa na wanamuziki wengi, wapo watakaosema kuwa bendi bora ni Ladysmith Black Mambazo, au Mahotella Queens ya dada watatu Hilda Tloubatla, Nobesuthu Mbadu, pamoja na...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
EPISODE ONE ________________________________ UCHAMBUZI MAKINI WA KITABU CHA: "SIRI ZA AKILI YA MTU TAJIRI" (SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND). NA: LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
1. 13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi (2016) 2. From Paris with Love (2010) 3. 6 Days (2017) 4. Escape from Mogadishu (2021) 5. Argo (2012) 6. 12 Strong (2018) 7. The Doorman (2020) 8...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Unakuta nyimbo inasema " bora niinjoi maisha mafupi matamu si simpo, kama kumpenda bora nimpende mama yangu kama kupenda nitajipenda mi mwenyewe, sasa kwa hali hiyo msinyimane tu unyumba na ndoa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
1. S.W.A.T.: Under Siege (2017) 2. 24 (2001–2010) 3. MI-5 (2002–2011) 4. The Shield (2002–2008) 5. The Wire (2002–2008) 6. S.W.A.T.: Firefight (2011) 7. S.W.A.T. (2017–2024) 8. Hawaii Five-0...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
1. Animal (2023) 2. The Hunger Games: The Ballad of Songbirds & Snakes (2023) 3. Salaar (2023) 4. The Creator (2023) 5. Violent Night (2022) 6. Silent Night (2023) 7. The Hunger Games (2012) 8...
1 Reactions
1 Replies
481 Views
1. The Wall (II) (2017) 2. Hard Kill (2020) 3. Jarhead 3: The Siege (2016) 4. Kill, Die, Laugh (2017) 5. A Grunt's Life (2019) 6. We, the Marines (2017) 7. Dead Sea (2014) 8. Devil Dogs (2017) 9...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Brothers 2. Lone Survivor 3. The Outpost 4. Zero Dark Thirty 5. Hyena Road 6. Combat Obscura 7. The Covenant 8. Armadillo 9. Red Sands 10. Lions For Lambs 11. The Old Guard 12. Charlie Wilson's...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Series tamu sana, mapenzi, hustles, mahusiano. Marafiki wanne wa chuo kikuu, ambao uhusiano wao mkubwa umewaweka pamoja japo safari zao za maisha zimewapeleka katika njia tofauti sana. Follows...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Miongoni mwa vipaji ambavyo Tanzania imetunukiwa, ni pamoja na orodha kubwa ya waandishi wa hadithi za Kiswahili. Waandishi wengi wamechomoza kwa uhodari na umahiri wao kila mmoja katika kona...
12 Reactions
106 Replies
42K Views
Ningependa kupata taarifa za makundi ya bongo fleva.... Yaliundwa na wasanii gani, yalianzishwa mwaka gani, na walitoa ngoma gani na pia kupata picha zao 1: Living with Purpose (LWP) 2: Big Dog...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimeanza kusikiliza Gengetone. Naburudika, nacheka na kushangaa. Msaada wa gengetone kali kali. Natanguliza shukrani. https://youtu.be/kfzc-JOotH0?si=UrWSjEj8YvAph9lE
0 Reactions
1 Replies
571 Views
Hawa wajinga wa Monty Python sijui walikuwa wanawaza nini. Watu wengi wamejikuta wamepata matatizo ya kiafya kwa kucheka sana baada ya kuangalia movie hii...
2 Reactions
1 Replies
603 Views
Wanangu wa Hip hop naweka mtanange hapa, kati ya hizi collabo mbili zilizo umiza kipindi hicho. ipi ni collabo kali ? Ukisikia paah ya JCB original + Remix VS Mchizi wangu ya Nako2Nako...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Ilikuwa kwenye mida ya saa mbili usiku wakati tumekaaa kwaajili ya chakula cha usiku. Wakati nakula simu yangu ikaita kuangalia mpigaji ni mpenzi wangu Sam ila nikashindwa kunyanyuka kwenda...
9 Reactions
180 Replies
95K Views
Niende moja kwa moja kwenye point. Kwasasa hapa Tanzania nyimbo mbili toka wasanii wa Mbeya ndio zinazotakiwa kupewa Tuzo. Pia Midundi hii inastahili kuwa muziki unaoitambilisha Tanzania. 1...
1 Reactions
4 Replies
770 Views
Back
Top Bottom