Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 3,563
- 10,552
Binafsi napenda mziki mzuri, hasa kulingana na nyakati.
Hali ya hewa leo na huu muda wa usiku hizi ngoma zinachoma moyoni sana.
1> Bane by Oliver NGoma
2>Samba Mpangala -Marina
3> Monique Seka -Okaman
4> M. Seka -Adeba
5> O. N'Goma -Fely
Etc
Aisee mizigo ni mingi wacha niwaachie wadau (Wazee wenzangu) na nyie mniwekee za kwenu..
NB: Wale wa Amapiano (Asumaniiii) hatutaelewana hapa.
Hali ya hewa leo na huu muda wa usiku hizi ngoma zinachoma moyoni sana.
1> Bane by Oliver NGoma
2>Samba Mpangala -Marina
3> Monique Seka -Okaman
4> M. Seka -Adeba
5> O. N'Goma -Fely
Etc
Aisee mizigo ni mingi wacha niwaachie wadau (Wazee wenzangu) na nyie mniwekee za kwenu..
NB: Wale wa Amapiano (Asumaniiii) hatutaelewana hapa.