Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Utafanya nini kama umefiwa, umeupeleka mwili wa mpendwa wako kuhifadhiwa alafu unapigiwa simu kwamba mwili hauonekani? Umepotea? Haujulikani ulipo? Tafuta popcorn, ambaa na kisa hiki.. Baada ya...
11 Reactions
59 Replies
4K Views
Hii ngoma Rayvany ametuonyesha unafiki upo mwingi sana kwenye mapenzi ya kisasa. [emoji444]Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi,na kukupamba kwenye simu.[emoji23][emoji445] Wanaume huwa tunakamatwa...
2 Reactions
9 Replies
748 Views
K-Lyinn Noorah Aha CHORUS Kama ni penzi labda utapata ukimwacha (niambie nani huyo?) Maybe chochote utapa unachokitaka (ndio nachotaka hicho) Nasema penzi labda utapa ukimwacha (niambie basi nani...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Ngoma imeachiwa jana iko katika platforms isikilize baadhi ya mistari nimeikubali anakwambia Boss hana neno ila wapambe wana nguvu Moyo una amani karume and my soul is free Nawapoteza fasta kama...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
P diddy alikuwa ana marafiki wengi sana ambao alikuwa nao au alionekana nao kwenye party ambazo alikuwa akiziandaa kwenye nyumba zake za kifahari. Wengine alikuwa nao karibu sana mfano Jay Z...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
MWANGWI wa vilio na simanzi kutoka kwa watu waliopoteza maisha baada ya meli kuzama kwenye mkondo wa bahari wa Nungwi, Zanzibar, uliambaa kwenye maji na kwenda kugota kwenye ukuta wa chini ya...
5 Reactions
3 Replies
3K Views
| Origin and Workflow Electro Dance Music ni muziki unaochakatwa Kidigitali ukitegemea mfumo wa kimekanika "Mechanical". Muziki huu utayarishwa kwa kutumia Digital Audio Workstation, MIDI, Power...
8 Reactions
91 Replies
9K Views
Wakuu hivi karibuni natarajia 'kumuozesha dada', naombeni mnisaidie mikwaju ya kisasa itayoleta vibe la kutosha ukumbini niiwasilishe kwa Dj. Ahsante!
1 Reactions
9 Replies
946 Views
Heshima kwenu wakuu. Samahani wakuu, naomba msaada namna ya kuipata hadithi au mwandishi wa hadithi fulani iliyopata kuchapishwa hapa jukwaani. Hadithi hii nilipata kusoma hapa jukwaani hapo...
0 Reactions
2 Replies
515 Views
Sana sana nahitaji Da Cor do Pecado /Shades of sin. Mwenye anajua namna ya kuipata hii mtandaoni, hata kwa kulipia 🙏🏻🙏🏻
1 Reactions
10 Replies
606 Views
Binafsi huwa ninapenda sana simulizi ambazo zina uhalisia wa maisha ya kila siku tunayoishi hususan kwetu sisi wapambanaji na watafutaji wa kila siku. Yaani simulizi ambazo msimuliaji ndiye...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Nafanya delivery ya kuweka Playlist ya nyimbo za dini kwenye Flash. Ukiplay playlist nzima utasikiliza kwa siku tano hujamaliza. Sifa ya Playlist Ni nyimbo zote nzuri sana pengine hujawahi...
7 Reactions
49 Replies
2K Views
Kwa wapenzi wa series napata wap vibanda au series za hivi za black america ambazo hazijatafsiriwa Kudownload n gharama bando angalizo: vibanda vingi vipo na za kutafsiriwa za kihindi na...
3 Reactions
12 Replies
781 Views
Habari zenu wakuu, Siku kama ya leo miaka 10 iliyopita, gwiji wa muziki wa Dansi nchini Tanzania, Shaaban Ally Mhoja Kishiwa maarufu kama Tx Moshi William alitutoka ghafla na kuacha pengo kubwa...
4 Reactions
28 Replies
11K Views
Niende kwenye moja kwa moj kwenye mada binafsi sio mpenzi sana wa kuangalia tamthilia kutokana na kuchelewa kurudi kutoka kwenye majukumu. Ila kutokana na hiki kipindi cha sikukuu toka pasaka...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Wimbo wa mtoto wa geti ulikuwa kwa ajili ya kuwapa faraja " watoto wa kiume" (elewa maana ya " mtoto" wa kiume) pamoja na wanaume makabwela wasio kuwa na akili za kiume. Wimbo huo ulikuwa una...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Wapenzi wa muziki wa Dansi wengi ukiwatajia jina la Neema kumbukumbu zao hurejea kwenye sauti ya Cosmas Chidumule akiwa na DDC bendi iliyomilikiiwa na Shirika la Maendele Dar es Dalaam (Dar es...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nisiwe msemaji sana. Kama wewe mdau wa Horror, hii gem nimeiotea leo inaitwa Trauma ya 2017. Mademu wanne walienda vacation weekend porini kwenye nyumba flani. Kula sana bata. Bwana si...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
since nimesaini sony music sasa hivi mitaani nimekua ankwepekabo thing driving big cars big nyashi big chains na ndoto zmekua ankwepokabo dreams riski allhamdulilaih kila chuma kikitoka ni...
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Back
Top Bottom