Gere unanionea mie nakunifanya hasidi, kwakuwa unatambu kazi yangu jukwaani, hata hivyo nyuma, sitarejea, wajifanya wajua, jua linakuwakia.
Naomba mwenye link ya huu wimbo ama anae mfahamu msanii...
Ilikuwa nikizisikiliza zamani mwenye redio free Afrika (RFA)
Au redio Tanzania daresalaam (RTD)
Ni nyimbo flani hivi msanii anaimba ila ni kama anaongea story flani hivi za masikitiko.
Mara...
Filamu zote ni maigizo na sio uhalisia halisi wa maisha. Lakini katika ulimwengu wa filamu, mara nyingi tunakutana na uongo ambao hauna maana.
Mimi nilikua nafuatilia sana movie za kihindi ila...
Wadau mimi ni mpenzi wa mziki na kabla mambo yangu ya kiuchumi hayajayumba nilikuwa namiliki HK ONYX STUDIO 7 bahati mbaya ilikuja kuungua. Sasa kutokana na uchumi wangu kuwa bahati nasibu...
Amrish Puri, Mwamba Alisumbua Sana Kwenye Filamu Za Kihindi Na Sidhani Kama Kuna Muigizaji Atakuja Kuigiza Vizuri Nafasi Ya Adui Kama Huyu Mzee.
Filamu Gani Unaikubali Ambayo Aliigiza Amrish Puri?
[Verse 1 – Professor Jay]
Naahidi kuwa makini mpaka siku nafukiwa chini
Na Mungu aliye hai bado yu pamoja na mimi
Emcee shika vizuri karibu tawi linakatika
Na kwa wote mliopo juu na chini sauti...
Napenda sana kusoma vitabu, hali hii imenifanya nipende kuandika visa kadhaa ambavyo huwa ni vya kweli, Sina visa vya kutunga.simulizi zote zina ukweli kwa asilimia nyingi.lakini pia...
Kwa Maoni yangu GENTAMYCINE ( Rais wa Wapenzi wote wa Bendi ya Wenge Musica BCBG JamiiForums nzima ) japo niliumia sana kwa Bendi hii Kuvunjika na kila Mtu Kuunda Wenge Musica yake yaani JB Mpiana...
Katika dunia ya sasa, tunaona shetani akitumia wasanii mbalimbali kuharibu kizazi hiki.
Tumeona wasanii wa bongo fleva watu wote waliojiunga na freemasonry, wakija na project mbali mbali za...
Wakuu tangu Kanumba atoweke tasnia uigizaji nchini imekua haifuatiliwi sana watanzania waliowengi.
Hivi bwana Simba hawezi kuziba pengo la Kanumba kweli?
Nyimbo nyingi za Simba zimekua zikianza...
Steven Charles Kanumba alizaliwa 8 Januari, 1984. Alikuwa miongoni mwa waigizaji maarufu nchini Tanzania.
Aliingiza katika tasnia ya uigizaji miaka ya 90 na na kujizoelea umaarufu mwaka 2002...
SIMULIZI FUPI, LOVE STORY
Kijana mmoja alitokea kumpenda sana dada mmoja ijapokuwa dada huyo alikuwa akimtolea nje mara kwa mara lakini kijana hakukata tamaa, akiendelea kurusha ndoano huku...
Agizo la majini 1-5
RIWAYA: AGIZO LA MAJINI
MTUNZI: MR ROYNOO
WHATSP NO: 0786978618
Sehemu ya 1
Naitwa Mr Roynoo a.k.a mnyama dumaa wengine wanapenda kuniita kwa kwakufupisha hasa hasa...
Muvi ya Godzilla minus one sio sound sio visual vyote ni ya viwango vya juu sana, Wajapan nimewavulia kofia.
Rasmi ntaanza kufatilia na kuangali muvi zao Maana Hollywood siku hizi muvi zao...
Taja film za kutisha nzuri kwako plus tamthilia.
Zangu the walking dead hasa ilipokuwa inatafsiriwa na dj ommy.
Conjuring zote plus Anabelle, the nun, ghost house, the hunted house, the animal, etc
Sehemu ya kwanza
Katikati ya msitu mnene, giza zito likiwa limetanda kila kona ya msitu huo alionekana kijana akikimbia huku jasho likimtoka ni dhahiri alikuwa amekimbia kwa muda mrefu sana na...
Wakuu,
Huyu jamaa ni mmoja kati ya watu waliotoa albums zao zikafanya vema miaka ya 90, akiwa na kina Tshala Muana. Nilikuja kufuatilia habari zake nikaambiwa kwa sasa anaishi Atlanta GA kutokana...
Ni napenda n ninafurahishwa jinsi wasanii wetu walivyokuwa na inventive n innovative minds kwenye kuja n ideas mpya za music. Hii ngoma way back ya country, ni trap kama ckosei. At last nimeskia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.