FEBIANI BABUYA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 1,035
- 1,925
Simulizi hii inahusu utafutwaji wa NYARAKA namba 72 waweza kuiita DOCUMENT namba 72 ambayo ina siri nzito sana ndani yake.
DOCUMENT hiyo inadaiwa kuwa na majina ya watu ambao wanatakiwa kupatikana kwa gharama yoyote ile hata kama ni kwa kuyatoa maisha ya watu wengine.
Watu hao ambao wanatafutwa, wanahusishwa na tukio la kikatili ambalo muda mfupi uliokuwa umepita lilikuwa limetokea ndani ya nchi ya Tanzania. Ni tukio ambalo liliondoka na maisha ya wana siasa zaidi ya miamoja na tisini (190) ndani ya siku moja tu pekee.
Watu hao ambao walikufa kwenye hilo tukio waliponzwa na bwana mdogo mmoja tu mwisho wa siku kiongozi mmoja akapakaziwa kuhusika na hilo tukio hali iliyo pelekea yeye kunyongwa.
Kufanikiwa kwa tukio hilo anahusishwa daktari mmoja mkubwa sana ambaye anatokea ndani ya nchi ya RWANDA hivyo inapaswa afanyiwe uchunguzi mkali kama sio kukamatwa kama ushahidi ukipatikana.
Daktari huyo anahisiwa kuwa mmoja kati ya watu hao ambao wanatakiwa kupatikana, ukweli na ushahidi wote wa nani yupo nyuma ya hiyo michezo yote upo ndani ya hiyo DOCUMENT namba 72. Hapo ndipo shirika la kijasusi la nchi ya Tanzania linaamua kumtuma jasusi wa kike ambaye anajulikana kama Tina ili kwenda huko kufanya upepelezi kwa sababu mtuhumiwa anadaiwa kwamba anaihusudu sana ngono, ndiyo sababu anatumwa jasusi wa kike.
Tina kusafiri kwenda ndani ya jiji la Kigali, Rwanda unakuwa mwanzo wake mbaya wa kuingia kwenye mikono ya hao watu akiwa kwenye mbio za kuisaka hiyo NYARAKA/ DOCUMENT namba 72 ambayo inalindwa na mwanaume anaye semekana kuwa KICHAA (hana akili timamu).
Tina anapitia mateso makali na unyama wa kutisha ikiwa ni kubakwa kila baada ya siku mbili ili aweze kusema yeye ni nani haswa na nani kamtuma. Mateso hayo yanamkutanisha na binti mmoja ambaye anamsaidia kutoroka ambapo anaishia kwenye msitu mmoja, ambako nako anatekwa na kukutana na unyama mwingine lakini anafanikiwa kutoroka pia akili yake ikiwa haipo sawa.
Anafanikiwa kufika ndani ya ardhi ya nchi yake na kukutana na mkurugenzi wa shirika la kijasusi la nchi ya Tanzania pamoja na mdogo wake wa damu kabisa.
Sasa baada ya kusimulia aliyo yapitia huko pamoja na siri kadhaa ambazo alifanikiwa kuzijua, anatumwa mdogo wake kwenda kuichukua hiyo DOCUMENT namba 72 huko RWANDA. Huo unakuwa mwanzo wa matukio ya kutisha na ya kikatili sana ndani ya hii simulizi.
Najua unataka kujua kwamba DOCUMENT hiyo ina nini ndani yake! Najua unataka kujua ilikuwaje mpaka wakauawa viongozi zaidi ya miamoja na tisini ndani ya siku moja na sababu hasa zilikuwa ni zipi?
Unatamani kumjua huyo mdogo wake na Tina? Una hamu ya kujua nini kilitokea ndani ya Rwanda na historia nzima ya watu ambao walikuwa huko na hawa majasusi walio tumwa huko na kuonekana kuwa ndugu wa damu?
Basi niazime muda wako tulisome kwa pamoja moja kati ya andiko bora sana la mwaka 2023.
Chao.
Episode 1
Episode 2
Episode 3
Episode 4
Episode 5
Episode 6
Episode 7
Episode 8
Episode 9
Episode 10
Episode 11
Episode 12
Episode 13
Episode 13(2)
Episode 14
Episode 15
Simulizi ya kipelelezi: Document number 72 (Nyaraka namba 72)
DOCUMENT hiyo inadaiwa kuwa na majina ya watu ambao wanatakiwa kupatikana kwa gharama yoyote ile hata kama ni kwa kuyatoa maisha ya watu wengine.
Watu hao ambao wanatafutwa, wanahusishwa na tukio la kikatili ambalo muda mfupi uliokuwa umepita lilikuwa limetokea ndani ya nchi ya Tanzania. Ni tukio ambalo liliondoka na maisha ya wana siasa zaidi ya miamoja na tisini (190) ndani ya siku moja tu pekee.
Watu hao ambao walikufa kwenye hilo tukio waliponzwa na bwana mdogo mmoja tu mwisho wa siku kiongozi mmoja akapakaziwa kuhusika na hilo tukio hali iliyo pelekea yeye kunyongwa.
Kufanikiwa kwa tukio hilo anahusishwa daktari mmoja mkubwa sana ambaye anatokea ndani ya nchi ya RWANDA hivyo inapaswa afanyiwe uchunguzi mkali kama sio kukamatwa kama ushahidi ukipatikana.
Daktari huyo anahisiwa kuwa mmoja kati ya watu hao ambao wanatakiwa kupatikana, ukweli na ushahidi wote wa nani yupo nyuma ya hiyo michezo yote upo ndani ya hiyo DOCUMENT namba 72. Hapo ndipo shirika la kijasusi la nchi ya Tanzania linaamua kumtuma jasusi wa kike ambaye anajulikana kama Tina ili kwenda huko kufanya upepelezi kwa sababu mtuhumiwa anadaiwa kwamba anaihusudu sana ngono, ndiyo sababu anatumwa jasusi wa kike.
Tina kusafiri kwenda ndani ya jiji la Kigali, Rwanda unakuwa mwanzo wake mbaya wa kuingia kwenye mikono ya hao watu akiwa kwenye mbio za kuisaka hiyo NYARAKA/ DOCUMENT namba 72 ambayo inalindwa na mwanaume anaye semekana kuwa KICHAA (hana akili timamu).
Tina anapitia mateso makali na unyama wa kutisha ikiwa ni kubakwa kila baada ya siku mbili ili aweze kusema yeye ni nani haswa na nani kamtuma. Mateso hayo yanamkutanisha na binti mmoja ambaye anamsaidia kutoroka ambapo anaishia kwenye msitu mmoja, ambako nako anatekwa na kukutana na unyama mwingine lakini anafanikiwa kutoroka pia akili yake ikiwa haipo sawa.
Anafanikiwa kufika ndani ya ardhi ya nchi yake na kukutana na mkurugenzi wa shirika la kijasusi la nchi ya Tanzania pamoja na mdogo wake wa damu kabisa.
Sasa baada ya kusimulia aliyo yapitia huko pamoja na siri kadhaa ambazo alifanikiwa kuzijua, anatumwa mdogo wake kwenda kuichukua hiyo DOCUMENT namba 72 huko RWANDA. Huo unakuwa mwanzo wa matukio ya kutisha na ya kikatili sana ndani ya hii simulizi.
Najua unataka kujua kwamba DOCUMENT hiyo ina nini ndani yake! Najua unataka kujua ilikuwaje mpaka wakauawa viongozi zaidi ya miamoja na tisini ndani ya siku moja na sababu hasa zilikuwa ni zipi?
Unatamani kumjua huyo mdogo wake na Tina? Una hamu ya kujua nini kilitokea ndani ya Rwanda na historia nzima ya watu ambao walikuwa huko na hawa majasusi walio tumwa huko na kuonekana kuwa ndugu wa damu?
Basi niazime muda wako tulisome kwa pamoja moja kati ya andiko bora sana la mwaka 2023.
Chao.
Episode 1
Episode 2
Episode 3
Episode 4
Episode 5
Episode 6
Episode 7
Episode 8
Episode 9
Episode 10
Episode 11
Episode 12
Episode 13
Episode 13(2)
Episode 14
Episode 15
Simulizi ya kipelelezi: Document number 72 (Nyaraka namba 72)