skyline tech
Member
- Apr 9, 2021
- 37
- 64
Katika kusoma soma riwaya za kisasa zaidi za karne hii nimetambua kuna waandishi wazuri na wenye hadithi tamu wanafanana namna ya kuandika simulizi zao, maudhui yote kwa ujumla.
Kuna George Iron Mosenya jamaa ni fundi sana huyu ila uandishi wake unashabihiana na wa ABASY MZIGUA na ELIAS SHELUKINDO na kuna huyu dada Crarency Sanga.
Sema hawa waandishi wanashirikiana sana, wanaupiga mwingi kongoreee
Ongeza na wewe kama unadhani wapo.
Kuna George Iron Mosenya jamaa ni fundi sana huyu ila uandishi wake unashabihiana na wa ABASY MZIGUA na ELIAS SHELUKINDO na kuna huyu dada Crarency Sanga.
Sema hawa waandishi wanashirikiana sana, wanaupiga mwingi kongoreee
Ongeza na wewe kama unadhani wapo.