Orodha ya waandishi wanaofanana kwenye utunzi wa hadithi zao

skyline tech

Member
Apr 9, 2021
37
64
Katika kusoma soma riwaya za kisasa zaidi za karne hii nimetambua kuna waandishi wazuri na wenye hadithi tamu wanafanana namna ya kuandika simulizi zao, maudhui yote kwa ujumla.

Kuna George Iron Mosenya jamaa ni fundi sana huyu ila uandishi wake unashabihiana na wa ABASY MZIGUA na ELIAS SHELUKINDO na kuna huyu dada Crarency Sanga.

Sema hawa waandishi wanashirikiana sana, wanaupiga mwingi kongoreee

Ongeza na wewe kama unadhani wapo.

afa6cc90-1f1f-45c9-b938-457fab42d191.jpg

5ad1ed5a-eb25-40f2-9590-ebd617e846a2.jpg

0e0e8065-1459-405b-a49e-d497075f26b8.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom