Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Franco ambaye alizaliwa Tarehe 6 Julai, 1938, katika Kijiji cha Sona Bata Magharibi ya Kongo, atakumbukwa na watanzania wakati alipofanya onyesho kweye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam mwaka...
16 Reactions
54 Replies
16K Views
Tasnia ya sanaa inaoneka kuwa mtu akiwa mwanamuziki au muigizaji au muhuni lakini imeonekana kuwa na faida baada ya kutoa viongozi mbalimbali nchini. Baadhi ni hawa: 1. Hamis Mwinjuma 'Mwana FA'...
1 Reactions
4 Replies
969 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : YA JEAN 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI '''''''''''''''''' '''''''''''''''''''' ''''''''''''' 𝙅𝙚! 𝙐𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙬𝙖𝙘𝙝𝙖 𝙢𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞 𝙬𝙖𝙠𝙤 𝙠𝙬𝙖 𝙨𝙖𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙮𝙖 𝙣𝙙𝙤𝙩𝙤 𝙢𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙪𝙡𝙞𝙮𝙤𝙤𝙩𝙖...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : BIYA 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: 𝙈𝙆𝘼𝙉𝘿𝘼𝙍𝘼𝙎𝙄 """""""""" """""""" """"""" """""""""" """"""" "𝘽𝙄𝙔𝘼" 𝙣𝙞 𝙟𝙞𝙣𝙖 𝙡𝙖 𝙢𝙠𝙚 𝙢𝙠𝙪𝙗𝙖 𝙬𝙖 𝙈𝙖𝙙𝙞𝙡𝙪. 𝙉𝙖 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙞𝙢𝙗𝙤 𝙖𝙡𝙞𝙪𝙩𝙪𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙡𝙪𝙢 𝙠𝙬𝙖𝙖𝙟𝙞𝙡𝙞 𝙮𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙬𝙖𝙜𝙞𝙖 𝙨𝙞𝙛𝙪...
2 Reactions
0 Replies
811 Views
Wacha niwaorodheshee Top 15 ya ngoma pendwa duniani 1. Despacito ya Luis Fonsi na Daddy Yankee yenye watazamaji 8,441,831,151846,384 YouTube 2. See You Again ya Wiz Khalifa na Charlie Puth yenye...
2 Reactions
18 Replies
988 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : Cavalier Solitaire 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : J.B MPIANA ft PAPA WEMBA 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: 𝙎𝙐𝙇𝙀 𝙈𝙆𝘼𝙉𝘿𝘼𝙍𝘼𝙎 𝙒𝙖𝙨𝙬𝙖𝙝𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙨𝙚𝙢𝙖 "𝙐𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙣𝙞 𝙨𝙬𝙖𝙡𝙖 𝙙𝙤𝙜𝙤 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙬𝙖𝙬𝙞𝙡𝙞 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙤𝙥𝙚𝙣𝙙𝙖𝙣𝙖" 𝙃𝙞𝙞 𝙞𝙣𝙖𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙮𝙖 𝙠𝙬𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙞𝙠𝙞𝙬𝙖...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni miongoni mwa hadithi moja tamu sana. Ni ndani ya kijitabu kidogo chenye mvuto wa aina yake. Kilichochapwa 2007. APUL AENDA NAIROBI I Ilikuwa ikimuelezea kijana mmoja ambaye...
1 Reactions
0 Replies
351 Views
Kwangu mimi ni the red wedding (episode ya the rains of castamere) pamoja na kifo cha Hodor..... Naliaga kabisa kwenye hizi scenes 😭😭 The red wedding 💔
3 Reactions
55 Replies
2K Views
Series inahusu mji mdogo ambao ukijichanganya tu kuingia unashindwa kutoka yaani unakua umekwama na huwezi kuondoka kwa namna yoyote. Na balaa zaidi ni usiku kuna viumbr wanakuja, haitakiwi...
11 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari, Mwenye kufahamu tafadhali. Sehemu ambayo kuna michezo ya watoto Kigamboni. Asante.
2 Reactions
5 Replies
2K Views
MIKA MWAMBA PRODUCER ALIYEIBUA VIPAJI VYA WASANII WENGI BONGO Ngoma za huyu mwamba zilikuwa na vinanda vyenye ma-vibe ya kufa mtu: Tamara + ni wewe - Hard Mad Eno maiki - Ziggy Dee (Uganda)...
14 Reactions
42 Replies
4K Views
Bado sijawahi kuona mapigano hatari kw series zote zaidi ya hawa wawili.
0 Reactions
0 Replies
484 Views
Ahsanteni https://youtu.be/v6Zw5duTJeA?si=ZCzpze04z1gcx-T-
1 Reactions
1 Replies
333 Views
Mashujaa wetu wanazeeka! 😢 Yupi kati ya hawa alikuwa muigizaji bora kwako?
6 Reactions
58 Replies
2K Views
Nyimbo ya kwa ni ya DEO MWANAMBILIMBI INAITWA MKE NI NDUGU AU RAFIKI nyimbo ya pili , HII NYIMBO NI YA BUSHOKE INAIMBWA HIVI WATU WENGI WALISEMA HUYU MSICHANA NI MTU ANAEMILIKIWA NA MTU MWENYE...
0 Reactions
2 Replies
420 Views
Wahenga wenzangu, Nipo nasikiliza hizi ngoma mbili 'Kama Unataka Dem' ya JayMo na 'Mabinti' ya Mwanafalsafa. Hizi ngoma kwa pamoja zilisumbua sana miaka ya 2001/2002 kwenye charts mbalimbali za...
2 Reactions
79 Replies
13K Views
Jina lake halisi ni Fatuma Binti Baraka, inakadiriwa kua alizaliwa mnamo mwaka 1910 huko Unguja. Alikiri kujifunza muziki kwa mwanamuziki wa zamani maarufu kama Sitti binti Saad. Mbali na kuimba...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Bila shaka mmewahi kuusikia Wimbo wa 'Nina siri na Yesu', ukiimbwa na mwimbaji mashuhuri wa nyimbo za injili kutoka nchini Rwanda mwenye asili ya Congo, Israel Mbonyi. Sasa siku kadhaa...
5 Reactions
8 Replies
7K Views
Kuna movie niliangalia miaka mingi kidogo kama 25 iliyopita kuna kijana alimchumbia mwanamke aliyekuwa na uhusiano na baba yake nafikiri yule mchumba wake alikuwa anafanya kazi ofisi ambayo baba...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom