Siku chache baada ya kuripotiwa kuwa ni mjamzito, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameibuka na kufunguka kuwa, aachwe azae kwani umri unazidi kuyoyoma.
Akizungumza na mwanahabari wetu...
Ni mawazo yangu, Imefika wakati ma celebrities wetu wapewe ushuru na wamiliki wa magazeti ya udaku kwani ndo wanaowaweka mjini. Ili gazeti liuze lazima heading ibebwe na jina la celebrity...
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, Khadija Shaibu ' Dida' amesema siku zote anapokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi akigundua mtu wake ana ' date ' na mwanamke mwingine, kamwe hatathubutu...
AY amesema kampuni yake ya Unity Entertainment haimsimamii tena aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa The Chase, Feza Kessy.
AY amekiambia kipindi cha Mambo...
Anaejua historia ya huyu kijana naomba anijuze kidogo maana naona watu wanadhani pesa alizoshinda ni nyingi sana ila namuona kama ni mtoto wa kisure inawezekana hizo ziko nyumbani nyingi tu.
Sasa...
Habari ya mjini! Gumzo katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz' kuendelea kujiachia na staa wa mrembo mwenye maskani...
Maana naona siku hizi watu tunahimizwa katika Media zote as if ni sahihi kufanya hivyo coz mi sioni yanatufundisha chochote katika maisha zaidi ya upuuzi mtupu. Kama vipi nendeni mkawaombee kura...
WIMBI la uuzaji na utumiaji wa madawa ya kulevya limeshika kasi hivi sasa kwa wasanii na watu mbalimbali huku Waziri wa Uchukuzi, Harrison Mwakyembe akilivalia njuga kulikomesha.
Wakati hayo...
Nimekuwa nikitizama shughuli za mziki tanzania nkagundua kuna miungu watatu, Ruge, Said fella na babu tale. Hawa jamaa wana ka cartel kao, ukigombana na mmoja unapotea kabisa. Ila wana sifa...
Ishu ya Diamond na Davido imeleta mitazamo tofauti. Kuna ambao wanaona Diamond kamkosea Davido kwa kujibu mapigo na kuna wanaoona Davido kawakosea adabu watanzania kwa ujumla kutokana na tweet...
Jux ndio muanzilishi wa kampeni ya 'Unfollow Davido' kule instagram. Jana SAA NNE usiku ndio alipost kampeni hiyo ikiwa ni dakika 20 tangu Davido a post ile sentensi. Watu wakaanzia pale na...
Wakuu heshima kwenu.
Kwa mara ya kwanza nimeamua kuangalia mashindano ya Miss World lengo likiwa kujua ni wasichana wa aina gani wanaenda huko na vitu gani hasa wanavipa kipaumbele. Ukweli...
Karne ya 19 mwishoni, mtaalamu wa uchumi nchini Italia, Vilfredo Pareto, alitambulisha kanuni inayoitwa "The Principle of Least Effort" ambayo inajulikana pia kama 80/20, kwamba asilimia 80 ya...
Mwanamitindo maarufu wa Tanzania Flaviana Matata alikuwa bega kwa bega na mwekezaji na nguli wa hiphop Russell Simmons katika utambulisho rasmi na kuchangia Flaviana Matata Foundation 'FMF'...
Salaam
Yule mshiriki wa BBA season 9 kutoka Africa kusini mrembo Samantha kesho ataingia nchini.
Source: ukurasa wa twitter wa Idri$ $ultan(ultimate hotshot)
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-Thats Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael Lulu...
Huyu ndo kijana mtanashati anayetuwakilisha mjengoni BBA kwa mwaka huu 2014, anaitwa Idris Sultani.
Alikuwa photographer/graphic designer ndani ya kampuni ya i view studio.
Kila la kheri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.