Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Siku chache baada ya kuripotiwa kuwa ni mjamzito, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameibuka na kufunguka kuwa, aachwe azae kwani umri unazidi kuyoyoma. Akizungumza na mwanahabari wetu...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Ni mawazo yangu, Imefika wakati ma celebrities wetu wapewe ushuru na wamiliki wa magazeti ya udaku kwani ndo wanaowaweka mjini. Ili gazeti liuze lazima heading ibebwe na jina la celebrity...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
MTANGAZAJI wa Redio Times FM, Khadija Shaibu ' Dida' amesema siku zote anapokuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi akigundua mtu wake ana ' date ' na mwanamke mwingine, kamwe hatathubutu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jose cameleon
0 Reactions
101 Replies
36K Views
AY amesema kampuni yake ya Unity Entertainment haimsimamii tena aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa The Chase, Feza Kessy. AY amekiambia kipindi cha Mambo...
0 Reactions
45 Replies
11K Views
Anaejua historia ya huyu kijana naomba anijuze kidogo maana naona watu wanadhani pesa alizoshinda ni nyingi sana ila namuona kama ni mtoto wa kisure inawezekana hizo ziko nyumbani nyingi tu. Sasa...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Habari ya mjini! Gumzo katika ulimwengu wa mastaa Bongo ni kitendo cha mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz' kuendelea kujiachia na staa wa mrembo mwenye maskani...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Maana naona siku hizi watu tunahimizwa katika Media zote as if ni sahihi kufanya hivyo coz mi sioni yanatufundisha chochote katika maisha zaidi ya upuuzi mtupu. Kama vipi nendeni mkawaombee kura...
13 Reactions
204 Replies
23K Views
WIMBI la uuzaji na utumiaji wa madawa ya kulevya limeshika kasi hivi sasa kwa wasanii na watu mbalimbali huku Waziri wa Uchukuzi, Harrison Mwakyembe akilivalia njuga kulikomesha. Wakati hayo...
0 Reactions
34 Replies
14K Views
Nimekuwa nikitizama shughuli za mziki tanzania nkagundua kuna miungu watatu, Ruge, Said fella na babu tale. Hawa jamaa wana ka cartel kao, ukigombana na mmoja unapotea kabisa. Ila wana sifa...
0 Reactions
87 Replies
17K Views
Ishu ya Diamond na Davido imeleta mitazamo tofauti. Kuna ambao wanaona Diamond kamkosea Davido kwa kujibu mapigo na kuna wanaoona Davido kawakosea adabu watanzania kwa ujumla kutokana na tweet...
4 Reactions
40 Replies
7K Views
Mapema leo Diamond alipogusa Aiport ya Mombasa... Diamond akiwa pamoja na watoto yatima huko Mombassa kabla ya tamasha lake.
0 Reactions
124 Replies
14K Views
Jux ndio muanzilishi wa kampeni ya 'Unfollow Davido' kule instagram. Jana SAA NNE usiku ndio alipost kampeni hiyo ikiwa ni dakika 20 tangu Davido a post ile sentensi. Watu wakaanzia pale na...
0 Reactions
76 Replies
14K Views
Wakuu heshima kwenu. Kwa mara ya kwanza nimeamua kuangalia mashindano ya Miss World lengo likiwa kujua ni wasichana wa aina gani wanaenda huko na vitu gani hasa wanavipa kipaumbele. Ukweli...
12 Reactions
129 Replies
15K Views
Karne ya 19 mwishoni, mtaalamu wa uchumi nchini Italia, Vilfredo Pareto, alitambulisha kanuni inayoitwa "The Principle of Least Effort" ambayo inajulikana pia kama 80/20, kwamba asilimia 80 ya...
21 Reactions
72 Replies
27K Views
Mwanamitindo maarufu wa Tanzania Flaviana Matata alikuwa bega kwa bega na mwekezaji na nguli wa hiphop Russell Simmons katika utambulisho rasmi na kuchangia Flaviana Matata Foundation 'FMF'...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Salaam Yule mshiriki wa BBA season 9 kutoka Africa kusini mrembo Samantha kesho ataingia nchini. Source: ukurasa wa twitter wa Idri$ $ultan(ultimate hotshot)
1 Reactions
17 Replies
4K Views
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu " Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu”...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jamani kuna mahali nimesoma kuwa miss Ukonga 2013 Martha Gewe kafariki dunia. So sad, Rest in peace Martha.
0 Reactions
39 Replies
12K Views
Huyu ndo kijana mtanashati anayetuwakilisha mjengoni BBA kwa mwaka huu 2014, anaitwa Idris Sultani. Alikuwa photographer/graphic designer ndani ya kampuni ya i view studio. Kila la kheri...
2 Reactions
218 Replies
33K Views
Back
Top Bottom