Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hatimaye Alikiba amekabidhiwa tuzo yake ya MTV EMA – Best African Act aliyoshinda mwaka jana. Staa huyo wa Aje amekabidhiwa tuzo hiyo nchini Afrika Kusini alikoenda kwaajili ya ziara yake ya...
5 Reactions
17 Replies
4K Views
Leo nimetokea kuwakumbuka members wawili wa ECT iliyokuwa ikiundwa na AY, FA, GK, SNARE NA PAULINE ZONGO wazee wa upanga east wako wapi snare na pauline zongo?! Nimeikumbuka sana ngoma ya snare...
2 Reactions
33 Replies
11K Views
Wasalaam wana jamvi. Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva The Bosslady amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kudate na mwanaume ambaye hajui kuongea kingereza kwa kuwa yeye katika...
5 Reactions
138 Replies
16K Views
Ñimebahatik kuisikia nyimbo yake mpya kijuso ukweli uwezo wa huyu dada ni mdogo na nyimbo yake yakawaida Ila naomba tumsupport kwa kuwa ni mwanamke wa kwanz kutok wcb tusimkatishe tamaa
6 Reactions
90 Replies
13K Views
Baada ya kufanya vizuri na hit songs kadhaa zilizompelekea kufanya shows nyingi hatimaye mkali huyo wa kujiamini katika game ya Bongo Flava Elibariki Munisi maarufu kama Nay wa Mitego ameyaweka...
6 Reactions
31 Replies
19K Views
Nashindwa kuelewa kwanini MAULID KITENGE anapenda kufanya matangazo na kidude masikioni(blue tooth receiver) huo ni ulemavu au ushamba... Au ndo identity yake!!!
4 Reactions
36 Replies
8K Views
Za chini kwa chini tunaambiwa kuna producer wa Filamu Bongo anataka kuwakutanisha Zari na Wema Sepetu katika movie moja matata na yupo tayari kuwapa mkwanja watakaohitaji kupitia sponsor but...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni juzi tu umetoka polisi kwa kesi ya madawa ya kulevya, na video clip yako imeonekana kwenye mitandao kiukweli kutokana na ulivyoongea ni dhahiri kuwa umejifunza kitu,umeongea kwa hisia na kwa...
23 Reactions
160 Replies
29K Views
Baada ya fununu na malalamiko mengi hatimaye Diamond nae kaitwa kutoa maelezo polisi. Hata hivyo,bado haijafahamika kaitwa kwa tuhuma gani. Tetesi ni kwa kosa la kuendesha gari huku akicheza...
19 Reactions
107 Replies
20K Views
Kati ya wasanii (wanaodaiwa 'kula unga') ambao huwa nikiwaona walivyopungua na kupoteza mwili mzuri waliokuwa nao hapo awali ni Chid Benz. Je, kuna ambae kwa upande wako anakusikitisha?
9 Reactions
454 Replies
123K Views
Msanii wa bongo movie Wastara amemchana mpenzi wake wa sasa Bond kwamba asipojirekebisha baadhi ya tabia zake atamuacha na akimwacha hatarudi tena kwake. Hata hivyo Wastara amesema anaweza...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Msanii Kala Pina akihojiwa na E News ya EATV amesema ametumia fedha nyingi sana kumsaidia Chid Benz ila anasikitika juhudi zake hazijazaa matunda na kusema angepata msaada zaidi angefanikiwa...
6 Reactions
40 Replies
10K Views
Msanii pekee wa Kimataifa kutoka ardhi ya Tanzania ambaye amefanya kolabo kibao na wasanii kutoka nchi ya Donald Trump kama Ne-Yo. Rihana, Rossey, leo kupitia akaunti yake ya Instagram ametupia...
20 Reactions
127 Replies
49K Views
Wakuu hivi ni kwa nini wanamuziki wa kizazi hiki hawavai uhusika wa mwanamke kulinganisha na wanamuziki wa miaka ya 90? Tuchukulie baadhi kama Sam mapangala, mbaraka mwishehe nk ni kawaida sana...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Mchekeshaji maarufu kutoka nchini Kenya, Erick Omondi ijumaa iliyopita ya tarehe 10 alifunguka jinsi Diamond alivyomsaidia kupenya kwenye soko la Tanzania. Omondi anasema kwa mara ya kwanza...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Akihojiwa na kituo maarufu cha radio mjini, staa na mpenzi wa mwanamuziki maarufu nchini Diamond Platinumz, Zarinah Hassan, amesema kuwa hakuna kilichomvutia kwa mwanamuziki huyo ila wamejikuta tu...
0 Reactions
125 Replies
26K Views
Baada ya kufanikiwa kulinyakua taji la Miss Tanzania 2016/2017 na kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya kumtafuta mrembo wa dunia huko nchini Marekani mwishoni mwa mwaka jana, mrembo Diana...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Fid Q WIMBO unaokuwa mzuri na umekamilika kuanzia sauti, uimbaji, utayarishaji na ikiwezekana video nzuri ni rahisi kutamba, lakini katika dunia ya sasa kuna vigezo vya ziada vimekuwa...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Msanii wa mziki wa kizazi kipya NAY WAMITEGO amesema kuwa yeye yuko mbiyoni na wazo la siku za usoni, kujenga kanisa nakulimiliki yeye mwenyewe . Alipoulizwa sababu ya kujenga kanisa msanii huyo...
1 Reactions
43 Replies
17K Views
Leo Makonda alimtaja mtu mmoja na kusema amkute polisi leo hii. Hope atakuwa ni PAPA sana. Jina ametaja "Chidd Mapenzi". Huyu ni nani? Wanaomjua watusaidie file lake tafadhali. Anaishi wapi? N.k.
3 Reactions
94 Replies
25K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…