East Coast Team, wapi alipotelea Snare na P. Zongo

Mkangaf

Senior Member
Dec 27, 2014
199
148
Leo nimetokea kuwakumbuka members wawili wa ECT iliyokuwa ikiundwa na AY, FA, GK, SNARE NA PAULINE ZONGO wazee wa upanga east wako wapi snare na pauline zongo?!

Nimeikumbuka sana ngoma ya snare "funguo iliyopotea" na ngoma ya pauline zongo "nashindwa".

Tujue walipo tumewamiss kwenye game, even tujue hata ac zao za insta tu tosha. ni hayo tu, much love. hivi @AY au @FA hawako humu?! kweli?.
 
Last edited by a moderator:
leo nimetokea kuwakumbuka members wawili wa ECT iliyokuwa ikiundwa na AY, FA, GK, SNARE NA PAULINE ZONGO wazee wa upanga east wako wapi snare na pauline zongo?! nimeikumbuka sana ngoma ya snare "funguo iliyopotea" na ngoma ya pauline zongo "nashindwa". tujue walipo tumewamiss kwenye game, even tujue hata ac zao za insta tu tosha. ni hayo tu, much love. hivi @AY au @FA hawako humu?! kweli?.
 
Naililia funguo,funguo iliyopoteaa!!
Instagram account ni Adam snare
Pauline sijui yuko Wapi.
 
VIROBA SIO VIZURI MKUU! O-TEN(WATU PORI MORO) NA EAST COST UPANGA TEAM WAPI NA WAPI?!

We jamaa unawajua East Coast Team kweli??? Halafu unamuita mwenzio viroba? East Coast walikua AY, GK, FA,O ten, Buff G, Pauline Zongo.......
 
We jamaa unawajua East Coast Team kweli??? Halafu unamuita mwenzio viroba? East Coast walikua AY, GK, FA,O ten, Buff G, Pauline Zongo.......
Shukrani kwa kumpa za uso uyo dogo mana inaonesha mziki hata haujui
 
Leo nimetokea kuwakumbuka members wawili wa ECT iliyokuwa ikiundwa na AY, FA, GK, SNARE NA PAULINE ZONGO wazee wa upanga east wako wapi snare na pauline zongo?!

Nimeikumbuka sana ngoma ya snare "funguo iliyopotea" na ngoma ya pauline zongo "nashindwa".

Tujue walipo tumewamiss kwenye game, even tujue hata ac zao za insta tu tosha. ni hayo tu, much love. hivi @AY au @FA hawako humu?! kweli?.
Snare bado yupo town hapa, cku hizo namuona kwenye Movie za kibongo.
 
Snare nimemwona jana maeneo Regency Hospital kaegamia Toyota Grand yake White anavuta masigara tu"
East Cost team nilikua nalikubali sana hili kundi na kuvunjia kwake kuliniuma kulko lilipovunjika Kundi lolote hapa Tz..
 
Back
Top Bottom