Zari: Hakuna kilichonivutia kwa Diamond nilipomuona mara ya kwanza

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,382
Akihojiwa na kituo maarufu cha radio mjini, staa na mpenzi wa mwanamuziki maarufu nchini Diamond Platinumz, Zarinah Hassan, amesema kuwa hakuna kilichomvutia kwa mwanamuziki huyo ila wamejikuta tu wakiwa kwenye mawasiliano.

Zari aliendelea kutiririka kuwa hata walivyoonana na Diamond kwa mara ya kwanza hakuvutiwa a nae kimapenzi.

1155c5fdda49ba51e88e7f37b256e279.jpg

=======

Tazama video kadhaa za mahojiano hayo..


 
jamani hakuna sehem ya ku edit khaaaa sio kwa mchapio huo, umbea huu
 
Akihojiwa na kituo maarufu cha radio mjini, staa na mpenzi mwanamuziki maarufu nchini diamond platinums, zarinah hassan, amesema kuwa hakuna kilichomvutia kwa mwanamuziki huyo ila Wamejikuta tu wakiwa kwenye mawasiliano, zari aliendelea kutiririka kuwa hata walivyoonana na diamond kwa mara ya kwanza hakuvutiwa a nae kimapenzi
2c43cc15935d6edf9f325f6c288282f2.jpg
1155c5fdda49ba51e88e7f37b256e279.jpg
Mwongo huyo
 
Back
Top Bottom